Maajabu haya ya nywele

Maajabu haya ya nywele

bora uwaambie mana nikisema mimi utasikia oooh mabahili upend kumtunza mpenzi wako kumbe na epuka mambo kama haya nampenda ndo mana mambo ya mawig wig haya hakuna

ila mkuu kuna wanawake wengine manunda ukimwambia ivyo anakwambia sio mbaya akapata majini ya kizungu
 
Habarini za asubuhi watukuka wa JF
Leo sijatupia mida ya wanga sikupenda kuwaogopesha wale wapendwa wangu
Maajabu haya ya nywele! Usipeleke mawazo yako kwenye yale majina yake kwamba zote ni nywele lakini zinatofautiana majina kutokana na mahali zilipo(ota)
Maajabu ya nywele ninayotaka kuzungumzia ni haya
-akili hulinganishwa na nywele kwenye muktadha wa methali za kiswahili
-nywele hutumika kama malighafi bora kabisa kwenye ulimwengu wa giza
-nywele huendelea kuota kwa muda fulani hata baada ya mwili kufa
-nywele hubaki bila kuharibika hata baada ya mwili kuoza kabisa
-rohochafu mapepo hata baadhi ya majini hupenda kukaa kwenye nywele ndio maana baadhi ya vichaa wakinyolewa tu hupata nafuu
Kwa akina dada zangu unapovaa wigi halisi la nywele za mtu unabeba usisoyajua hasa kama mwenyewe keshatangulia kaburini

Za kupandikizwa za mchezaji Romney tuziiteje
 
kwaiyo unatushaurije? tufuge nywele au tuwe vipara kama kikeke.
 
kwaiyo unatushaurije? tufuge nywele au tuwe vipara kama kikeke.
il_570xN.738924194_5v7j.jpg
armana-egypt-hair.jpg
hapana kama haw
 
Mshana uko dodoma kwenye mkutano mkuu wa ccm? Wenzio wengi nawaona huku,wamekesha wanarekebisha ukumbi kwa kuwapiga watu usembe wasiwe wakorofi mkutanoni
 
Mshana uko dodoma kwenye mkutano mkuu wa ccm? Wenzio wengi nawaona huku,wamekesha wanarekebisha ukumbi kwa kuwapiga watu usembe wasiwe wakorofi mkutanoni
Nilikuwepo kwa mwaliko maalum


Ooh sorry wrong sent msg pls delete
 
Mbona haiendelei au unasubiri mida yako ya wanga Giza nene
 
Wana taaluma wanasema nywele zinashabihana na mifuko ya rambo
 
Mshana Jr kwa hapo nimekukubali, nyongeza chifu mkuu hawezi kuongea na mizimu kwa niaba ya jamii akiwa na upara yaani kanyoa zungu. Nywele zina matereal yaliyotengeneza plastiki ndiyo maana haziozi.
 
Hivi huyu jamaa ni mganga au mchawi maana nimekuwa nikipitia post zake nyingi , yaani ni mambo ya elimu dunia tu,

Japo nyingine zinafundisha na nyingine vijui ,,ila pia nachokiona anajaribu kuonyesha mila za waafrika walipo toka na jinsi walivyo weza kupambana na mazingira yao kwakutumia imani zao hizi,

Ila swali langu sasa ni kwamba je huyu mshana jr, ni mganga au mchawi?
 
Back
Top Bottom