Ni ujinga mkubwa uliofanywa na serikali zilizopita. Wachaga na watu wa kaskazini wameuhujumu sana mkoa wa Mara.
Kwa takwimu za Tanapa, zaidi ya 80% ya watalii wanaokuja nchi hii wanakuja kwa sababu ya mbuga ya serengeti, ukiona shilingi 100 ya utalii basi shilingi 80 inatokana na mbuga ya serengeti.
Serengeti ndio utalii wa nchi hii, bila serengeti hakuna utalii. Lakini cha ajabu serengeti hakuna miundombinu yoyote, hata chuo cha utalii au maliasili, yote haya yalifanyika makusudi kuhujumu mkoa wa Mara. Kuna kipindi hata makao makuu ya serengeti national park yalikua Arusha.
Kuna kipindi ilikua ujengwe uwanja wa ndege serengeti, wachaga wakasema ukijengwa uwanja wa ndege utau KIA, hivyo hiyo ikapigwa chini, Magufuli ndie kakomaa sasa wanajenga ila miaka yote huo uwanja ulikua unapingwa na kupigwa vita eti utadhoofisha KIA.
Juzi aliongea Msiba, kwenye magroup ya mkoa wa Mara hasa ya waliokua viongozi na ambao bado wapo walimshambulia sana ila alisema ukweli. Tumekua na wasomi na watu wenye madaraka wengi lakini hakuna walichosaidia mkoa wa Mara.