KONGAMANO LA BIMA YA AFYA KWA WOTE

KONGAMANO LA BIMA YA AFYA KWA WOTE

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,773
Reaction score
1,174
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete anawakaribisha katika Kongamano la Bima la Afya kwa wote, Mgeni rasmi ni Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Mtambi

Kongamano hili litafanyika Agosti 21, 2026 katika Hotel ya CMG, Tarime Mjini.

▪️Fursa kwa Makundi Maalum.
▪️Ujenzi wa Bweni la Wasichana.
 

Attachments

  • IMG-20260820-WA0006.jpg
    IMG-20260820-WA0006.jpg
    152.9 KB · Views: 1
Back
Top Bottom