Maajabu 7 ya Serikali Mpya ya Tanzania

Maajabu 7 ya Serikali Mpya ya Tanzania

Kweli mkuu ni mtendaji na huenda akafanikiwa kwa mengi, ila atakiacha chama pagumu sana baada ya kuondoka.
 
Namba nne imenikumbusha bembea na museum ya Bob kuleee Jah Make Ya!!!!!
 
Nakumbuka wakati serikali hii inaanza watu humu walikuwa wanapendekeza katiba ibadilishwe Rais aliepo aendelee tu kutawala, naona watu wanabadili mawazo.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Back
Top Bottom