Maajabu 7 ya Serikali Mpya ya Tanzania

Maajabu 7 ya Serikali Mpya ya Tanzania

kuna maajabu mengi sana.yanaongezeka daily.tangu tupate uhuru polisi hawajawahi kufanya mazoezi,ila wakaanza ghafla baada ya kuskia ukuta.hahahahhah na saivi hata hawaendelei
 
Tutaendelea kuyachuja kufika 2020 tutengeneze kitabu
 
Mabadiliko makubwa, lazima yaje na mapigo makubwa makubwa..... Hakuna namna....
 
Mtukufu anawaita watoto wa masikini waliopata dv1ya sayansi vila......... wakati huo huo Jescar....... yupo chuoni na dv 4.......... [emoji28][emoji28]
Teh teh teh teh
 
Kinachutucost watanzania bado tupo kwenye kampeni na hii inaonyesha ni jinsi gani watu walivyo washabiki.
 
1: Bandari inakosa Meli TPA wanakiri mizigo imepunga alafu serikali inasema hakuna mizigo Iliyopungua!!

2: V.A.T inapanda Gavana wa Benki kuu anasema hii itakuwa kwa Mteja Waziri wa fedha unakuja na kusema watoa huduma ndio watalipa!!

3: Rais anasimama na Kumuita mwananchi wake ****** alafu Mwananchi akimuita ****** anafunguliwa kesi ya jinai na faini ya milioni 7

4: Police anamkamata mtu kwa kosa la kuvuta bangi ambayo ni starehe binafisi anashindwa kukamata watu waliosababisha twiga wetu wakapanda ndege na kupelekwa nje ya nchi!!

5: TBC anashindwa kuonyesha bunge Live Wakati huohuo wanaonyesha Harusi live!!

6: Mikataba ya Nchi inapitishwa kwa hoja ya Dharura kama walivyofanya kwenye Gesi alafu Rais wa nchi anaenda kuwapa wananchi wake Magwangala!!

7: Mbunge wa Bunge anapewa Dakika 10 za kuongea bungeni 3 anaishukuru familia yake 3 anamsifia Rais Mtukufu 4 anawashambulia wabunge wenzake ambao mawazo yanakinzana na Baada ya hapo anasaini posho anaenda baa na kulala hoterini!!

Tutafika nchi ya viwanda kweli?
8.Ujenzi wa reli ya kati kwa standard gauge
9.Kuondoa Watumishi hewa
Ulikua umesahau
 
hawa jamaa walisema mabank hayataruhusiwa kuongeza gharama za miamala lakini naona wahindi wametekeleza lile tangazo lao la kuongeza gharama!
 
heshima yako mkuu ingependeza sana hiyo namba saba ingekuwa namba moja
 
1: Bandari inakosa Meli TPA wanakiri mizigo imepunga alafu serikali inasema hakuna mizigo Iliyopungua!!

2: V.A.T inapanda Gavana wa Benki kuu anasema hii itakuwa kwa Mteja Waziri wa fedha unakuja na kusema watoa huduma ndio watalipa!!

3: Rais anasimama na Kumuita mwananchi wake ****** alafu Mwananchi akimuita ****** anafunguliwa kesi ya jinai na faini ya milioni 7

4: Police anamkamata mtu kwa kosa la kuvuta bangi ambayo ni starehe binafisi anashindwa kukamata watu waliosababisha twiga wetu wakapanda ndege na kupelekwa nje ya nchi!!

5: TBC anashindwa kuonyesha bunge Live Wakati huohuo wanaonyesha Harusi live!!

6: Mikataba ya Nchi inapitishwa kwa hoja ya Dharura kama walivyofanya kwenye Gesi alafu Rais wa nchi anaenda kuwapa wananchi wake Magwangala!!

7: Mbunge wa Bunge anapewa Dakika 10 za kuongea bungeni 3 anaishukuru familia yake 3 anamsifia Rais Mtukufu 4 anawashambulia wabunge wenzake ambao mawazo yanakinzana na Baada ya hapo anasaini posho anaenda baa na kulala hoterini!!

Tutafika nchi ya viwanda kweli?
Hiyo namba 7 hiyo 7 imenifurahisha sana.
 
Zinduka mkuu tukaujenge ukuta kwa awamu ya pili oct mosi[emoji16][emoji16][emoji16]
 
2: V.A.T inapanda Gavana wa Benki kuu anasema hii itakuwa kwa Mteja Waziri wa fedha unakuja na kusema watoa huduma ndio watalipa!!

4: Police anamkamata mtu kwa kosa la kuvuta bangi ambayo ni starehe binafisi

7: Mbunge wa Bunge anapewa Dakika 10 za kuongea bungeni 3 anaishukuru familia yake 3 anamsifia Rais Mtukufu 4 anawashambulia wabunge wenzake ambao mawazo yanakinzana na Baada ya hapo anasaini posho anaenda baa na kulala hoterini!!

Namba 7 ni Kambi gani hiyo

Anyway nimecheka bila kujipanga nashukuru umeniongezea siku za kuishi
 
Back
Top Bottom