Maafa ya mvua Dar leo Disemba 15, 2015

Maafa ya mvua Dar leo Disemba 15, 2015

Nadhani hizi ni athari za kujenga mabondeni!!! Ile elnino ya kweli ilipotokea miaka ya 90s mbona haikuleta maafa ya hivi zaidi ya kuharibu miundo mbinu? Nadhani kwa vile watu walikuwa hawajajenga mabondeni. Solution ni kuhama tu mabondeni. Kukiwa wazi mafuriko yataenda na mkondo wake na hakutakuwa na maafa ya kupoteza uhai wa watu.
Maeneo ya Mbagala, Bonde la kuelekea Mission panahofiwa kutokea vifo; Nyumba zimebomoka kwa maji watu wakiwa ndani.

Mbunge wa Kawe Halima Mdee yupo Tegeta Kibo muda huu anakagua uharibifu uliofanywa na mvua na tayari na malori yanamimina vifusi.

attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
 
Pia tatizo ni watu kujenga ovyo sehemu hatarishi!!!!
Kinachoigharimu DSM ni miundombinu mibovu kupindukia. Unakuta mahali mtaro umejengwa vizuri, lakini hauna toleo lolote mwishoni, hasa hayo maji yataenda wapi?
 
Ungejua where I live, kudadadeki....!!!!! hata saruti ungenipigia
Haijalishi unaishi wapi, labda kama ungeniambia kuwa hata siku moja hutakufa na kuacha eneo hilo unaloishi, pili kwa jinsi unavyoonekana ni lazima unaishi kwa baba yako, hivyo, wewe ni kula, kulala na kujaza choo. Aidha, elimu yako maisha ni ndogo sana ndo maana unaringia unaloishi unaloishi bila kutambua kuwa hakuna aliyeoomba azaliwe masikini. Halafu, nini maana ya neno saruti ?
 
Back
Top Bottom