Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,119
hii ishara mbaya sana kwa TZ...!!!
Kwani hawa watu wa Dar wana shida gani, wanajidekeza kama kuku wa kisasa, mvua kidogo tu wanadi kuna mafuriko, kijana akipita mmoja amevaa mlegezo wanakimbia eti panya road wanakuja !! Nyie watu vipi, ifike mahali muwe watu wazima sio kila wakati kudeka tu.
Kwani hawa watu wa Dar wana shida gani, wanajidekeza kama kuku wa kisasa, mvua kidogo tu wanadi kuna mafuriko, kijana akipita mmoja amevaa mlegezo wanakimbia eti panya road wanakuja !! Nyie watu vipi, ifike mahali muwe watu wazima sio kila wakati kudeka tu.
mrudi kwenu ukiulizwa we mngoni mhehe mjita mmasai na makabila mengine.tunaomba mafuriko yazidi yawaachie nauli tu.ya nini muisshi utumwani
Hawa wa Dar wamezidi maana wanawakimbia panya road na kuacha wake na watoto wao !!hivi hawa wa dar na wale wanafanya wake zao wavuke boda nani lofa?au hawa wa dar na wale wanaojisifu wana nguvu huku wakikimbizwa na kajamaa kamoja kameshika kibastola nani lofa?
Hawa wa Dar wamezidi maana wanawakimbia panya road na kuacha wake na watoto wao !!
Kwani hawa watu wa Dar wana shida gani, wanajidekeza kama kuku wa kisasa, mvua kidogo tu wanadi kuna mafuriko, kijana akipita mmoja amevaa mlegezo wanakimbia eti panya road wanakuja !! Nyie watu vipi, ifike mahali muwe watu wazima sio kila wakati kudeka tu.
Ofisi za Fastjet huku Japan ziko kwenye Prefecture ipi ? Mimi niko Okinawa Prefecture, naomba unielekeze niende.Tatizo lako hata dar hujawahi fika unapaona kwenye runinga tuu.. Nenda ofisi za fastjet hapo mkoani nishakufanyia mpango wa ticket uje dah ushangae shangae magorofa kidogo
Ofisi za Fastjet huku Japan ziko kwenye Prefecture ipi ? Mimi niko Okinawa Prefecture, naomba unielekeze niende.
Mbona sijazimia, wewe vipi huko Tandale, umepona ugonjwa ule wa kula ma.vi .a.k.a kipindua pindua.Ukiwa huko si utazimia