utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Leo tarehe 9.12.1961 Tanganyika inakabidhiwa uhuru wake kutoka katika makucha ya wakoloni waliomnyonya mtanganyika miaka na miaka. Leo desemba 9 hapa uwanja wa uhuru, mwalim julius ka,barage Nyerere anakabidhiwa nchi hii na hivyo kuwa rais wa kwanza wa tanganyika na kukomesha utawala dhalimu wa mkoloni.
kwa kumbukumbu hiyo, leo tarehe 9 desemba 2013 tunakuletea live updates za yanayojiri uwanja wa uhuru ambapo rais wa nne wa jamhuri ya muungano wa tanzania anakuwa mgeni rasmi kusherehekea makabidhiano ya tanganyika huru.
Televisheni ya taifa, tbc1 na radio tanzania/ tbc fm wanarusha moja kwa moja maadhimisho haya ya 52 ya uhuru wa tanganyika.
tufuatilie.
kwa kumbukumbu hiyo, leo tarehe 9 desemba 2013 tunakuletea live updates za yanayojiri uwanja wa uhuru ambapo rais wa nne wa jamhuri ya muungano wa tanzania anakuwa mgeni rasmi kusherehekea makabidhiano ya tanganyika huru.
Televisheni ya taifa, tbc1 na radio tanzania/ tbc fm wanarusha moja kwa moja maadhimisho haya ya 52 ya uhuru wa tanganyika.
tufuatilie.