Sipo kwenye mahusiano na mama wa aina hiyo
Ila ukweli ni kuwa zipo sababu nyingi ambazo zingine kuwahukumu ni kuwaonea ,tusipende kufanya mjumuisho kwa vitu ambavyo hatujafuatilia kwa makini .
Kuhusu kujihami ,sijajihami bwana mdogo
baharia 1 ila imebidi nikueleze mapema maana kwa vile unavyojitanabaisha kuwa na hela nilijua utadhani labda ni umasikini ndiyo unanituma kukuattack bwana tajiri .
Ila narudia tena ,hunizidi chochote kwa umri wako na ulivyo navyo ila zaidi labda umaarufu wako wa hapa jamvini ulioupata kwa kuwachamba masikini wanaopambana kujitafuta .
Sihitaji tuzungumze kwa michambo ,wala kusutana kama wamama ila nataka tufanye kwa vitendo ,niko tayari nikufuate popote ili nikuoneshe nilivyo navyo ujilinganishe ,JE UKO TAYARI RAFKI ? nataka tufanye hivyo leo .
Toa location PM nije tushindanishe utajiri wetu kijana mwenzangu