The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 8,304
- 27,163
Pliiz inapozungumzwa kesi ya singo mama wasiingizwe wanawake waliofiwa na waume zao (lugha sahihi wajane)abia mbaya za mume wakashindana
5. Kufiwa na mume
Sasa basi tusiwahukumu Kila kitu kinasababu yake.
You know,ugomvi na single mothers unatokana hasa na wao baada ya kudhaminiwa na mwanaume mwengine kujirudisha tena kule alikozalishwa na kuvua chupi mwisho kuleta dharau kwa mume mpya hapo tu ndiyo pana ugomvi mkubwa so mjane hawezi rudi alikotoka maana mume ameshakuwa tuta.