Ma-Single Maza

Ma-Single Maza

abia mbaya za mume wakashindana
5. Kufiwa na mume

Sasa basi tusiwahukumu Kila kitu kinasababu yake.
Pliiz inapozungumzwa kesi ya singo mama wasiingizwe wanawake waliofiwa na waume zao (lugha sahihi wajane)

You know,ugomvi na single mothers unatokana hasa na wao baada ya kudhaminiwa na mwanaume mwengine kujirudisha tena kule alikozalishwa na kuvua chupi mwisho kuleta dharau kwa mume mpya hapo tu ndiyo pana ugomvi mkubwa so mjane hawezi rudi alikotoka maana mume ameshakuwa tuta.
 
Acheni watu waishi watakavyo maana wengine wamechanjiwa kwenye damu kumwambia hapa ni kama kujipotezea muda tu yaani ipo hivi
1.Kuna mtu humwambii kitu kuhusu single maza
2.Kuna mtu humwambii kitu kuhusu mishangazi na mishangingi
3.Kuna wengine wanaforciwa
4.Kuna wengine wanafuata pesa
5.Wengine wanapenda makebo
6.Wengine ndizi nshale(wembamba)
7.Wengine hununua malaya njiani so kila mtu aishi atakavyo
 
Singo maza ni chombo cha starehe, mkojolee ipite hivi, sio unataka kujifanya una muweka ndani malaya
 
Sipo kwenye mahusiano na mama wa aina hiyo
Ila ukweli ni kuwa zipo sababu nyingi ambazo zingine kuwahukumu ni kuwaonea ,tusipende kufanya mjumuisho kwa vitu ambavyo hatujafuatilia kwa makini .

Kuhusu kujihami ,sijajihami bwana mdogo baharia 1 ila imebidi nikueleze mapema maana kwa vile unavyojitanabaisha kuwa na hela nilijua utadhani labda ni umasikini ndiyo unanituma kukuattack bwana tajiri .

Ila narudia tena ,hunizidi chochote kwa umri wako na ulivyo navyo ila zaidi labda umaarufu wako wa hapa jamvini ulioupata kwa kuwachamba masikini wanaopambana kujitafuta .

Sihitaji tuzungumze kwa michambo ,wala kusutana kama wamama ila nataka tufanye kwa vitendo ,niko tayari nikufuate popote ili nikuoneshe nilivyo navyo ujilinganishe ,JE UKO TAYARI RAFKI ? nataka tufanye hivyo leo .

Toa location PM nije tushindanishe utajiri wetu kijana mwenzangu
Sasa unajidhalilisha ndugu, tunzeni muda, muache kazi zingine kwaajili ya kushindana utajiri dah
 
Kitu nimegundua kuna trend kubwa ya watu kuwasema singomaza maana watu wameona ina engagement sana.

Ila kiukweli naamini hata 80% of you guys hamjui chochote kuhusu singomaza na wala hamjawahi ku-date na singomaza.
Naam. Si kweli kwamba singo maza wote wanapatikana kwa kuchagua kutowajibika kwa machaguo yao ya mahusiano.
.....btw kwanini wanaume tuchukie kitu tulichokitengeneza?
 
19-23 mnawalaumu bure, kila mzazi atoe elimu ya kutosha kwa watoto wake..
Umri huo wanadanganyika kirahisi, ndio kwanza wameingia kwneye mapenzi kwa pupa..
Bado hila na fix zetu sisi wanaume, kuna muda ukikaa mwenyewe unajicheka kwa mbinu kabambe ambazo tumezitumia kung'oa watoto wakali.
 
Kitu nimegundua kuna trend kubwa ya watu kuwasema singomaza maana watu wameona ina engagement sana.

Ila kiukweli naamini hata 80% of you guys hamjui chochote kuhusu singomaza na wala hamjawahi ku-date na singomaza.
Waambie kamanda
Hawaoni watu wanao enjoy maisha wameo kina nani?

Angalia wema na yule Aziz. Tulisema haidumu ila wapi? Unajua ukifuata trend bila kuwa na empirical evidence ni Sawa na atheist aliyeshindwa kuprove kama Kweli Mungu hayupo.
 
Mkuu nimestuka sio muda na usingizi umekata🙄. Shetani aje tu kuna seme mpya uvunguni mwa kitanda changu
Anhaa shetani kwasasa anatembea na miguu mikubwa kama hii
 

Attachments

  • Screenshot_20260620_033100_Gallery.jpg
    Screenshot_20260620_033100_Gallery.jpg
    64.4 KB · Views: 4
Back
Top Bottom