Ma-Single Maza

Ma-Single Maza

Kitu nimegundua kuna trend kubwa ya watu kuwasema singomaza maana watu wameona ina engagement sana.

Ila kiukweli naamini hata 80% of you guys hamjui chochote kuhusu singomaza na wala hamjawahi ku-date na singomaza.
Mimi binafsi kupitia Jf niliweza kufanikiwa kupata tricks za kuweza kufanya uvuvi wa single mother.
Hakika nilipata SM wangu kutoka Mkoani.
Katika maongezi yetu mwenyewe alikuwa anakiri wazi kwamba anajua siwezi kumuoa na ni kweli sikuwa na huo mpango. Ila msauzi yule alikuwa na viuno feni.
 
Kitu nimegundua kuna trend kubwa ya watu kuwasema singomaza maana watu wameona ina engagement sana.

Ila kiukweli naamini hata 80% of you guys hamjui chochote kuhusu singomaza na wala hamjawahi ku-date na singomaza.
Single ma,a wee date ila kitakachokukuta usilaumu watu.
Nachojua mbususu zao tamu na wanajua kulenda ila sharti lao la umpende mtoto wangu kuliko mimi huo ni ufala
 
Wanaume wenzetu mnapata faida gani kuleta mada za namna hii kila wakati? Mbona hamtoi elimu kwa wanaume wenzetu wanao changia hilo wimbi la uwepo wa akina mama wanao lea watoto peke yao??

mwenye uwezo wa kumdhibiti mwanaume ni mwanamke..

wanawake wakikaza wanaume watatulia.

ila ukisema mwanaume ndo akaze wengi hawatatoboa maana wanaume mh!.
 
Ukishajua kwamba wanawake wengi ni wahanga wa mapenzi ya kilaghai utajikuta unawahurumia badala ya kuwahukumu single mothers wengi (siyo wote).

kwan huo si hua unakua ni uchumba ?.

uchumba wowote unaweza kuvunjwa.

tendo la ndoa ni la baada ya ndoa kabla ya hapo ni umalaya tu hakuna ulaghai kwenye kuvunja uchumba.

tatizo uchumba mnageuza inakua ni ndoa.
 
Tatizo vijana wa siku hizi mmekariri kua Single maza wote wamezalishwa wakiwa makwao,

Hamjui kua kuna single maza wametelekezwa au kuachika na waume zao,

Kuna wanaume wametelekeza familia zao kwa sababu mbalimbali,ikiwemo kutekwa na michepuko,ulevi wakupindukia,kutojishughilisha na kazi za kuwaingizia kipato,kushinda vijiweni...

Nafikiri ni vizuri zaidi kujadili chanzo cha tatizo kuliko kujadili tatizo lenyewe,

Hao single maza hawakujipa mimba wenyewe,kuna mwanaume amehusika hapo.
 
Kitu nimegundua kuna trend kubwa ya watu kuwasema singomaza maana watu wameona ina engagement sana.

Ila kiukweli naamini hata 80% of you guys hamjui chochote kuhusu singomaza na wala hamjawahi ku-date na singomaza.
umesema ukweli nnaoutaka kila siku. Mtu hata hajafikisha umri wa kuoa kisa tu anamiliki simu anakuja na swag za singo maza na kusema ukweli hajawahi pata hata wa kuongea nae. Mtu anayejielewa hufanya kwanza utafiti kwa kujenga urafiki na hao mass ingle maza na sio siri watakupa mambo ambayo hata wewe ulikuwa huyajui au tofauti na unachofikiria. Sio kupenda kwao wakawa hivyo wengne walipata watoto kwa kutojijua. Wakulaumiwa ni sisi wanaume kwan ndio chanzo cha yote kwa tamaa zetu za mwili. Na mwisho wa siku tunawakimbia. Mimi nna watatu na wote tulijikuta mapenz yamenoga mimba hiyo ikabidi tuendelee na maisha hadi wa leo ni mama watoto wangu.
 
Kabla ya kuja kuwabeza hawa masingle maza jaribu kwanza ujue kinachosababisha wawe hivyo tafadhali. Mfano sisi wanaume tulivyo na midomo mitamu kwao na hawachomoi unatarajia nini. Wanaume ss ndo chanzo ndugu na sio hao watu yaan kama kuna mtu anaumia kweli kimahusiano ni wanawake bro coz sisi leo utaachana na sara kabla hujafka home umekutana na jane ukamuomba akakupa ukapoa lakini hao watu wanaharibika hadi akili. Kwa hiyo heshmu tu hao watu bure.
 
umesema ukweli nnaoutaka kila siku. Mtu hata hajafikisha umri wa kuoa kisa tu anamiliki simu anakuja na swag za singo maza na kusema ukweli hajawahi pata hata wa kuongea nae. Mtu anayejielewa hufanya kwanza utafiti kwa kujenga urafiki na hao mass ingle maza na sio siri watakupa mambo ambayo hata wewe ulikuwa huyajui au tofauti na unachofikiria. Sio kupenda kwao wakawa hivyo wengne walipata watoto kwa kutojijua. Wakulaumiwa ni sisi wanaume kwan ndio chanzo cha yote kwa tamaa zetu za mwili. Na mwisho wa siku tunawakimbia. Mimi nna watatu na wote tulijikuta mapenz yamenoga mimba hiyo ikabidi tuendelee na maisha hadi wa leo ni mama watoto wangu.
Kwanini ukubali kuzaa ukiwa ujaolewa? Unasomeshwa upate degree kwa jasho na kujinyima the end unawaletea wazazi wako watoto wakulelee
 
Tatizo vijana wa siku hizi mmekariri kua Single maza wote wamezalishwa wakiwa makwao,

Hamjui kua kuna single maza wametelekezwa au kuachika na waume zao,

Kuna wanaume wametelekeza familia zao kwa sababu mbalimbali,ikiwemo kutekwa na michepuko,ulevi wakupindukia,kutojishughilisha na kazi za kuwaingizia kipato,kushinda vijiweni...

Nafikiri ni vizuri zaidi kujadili chanzo cha tatizo kuliko kujadili tatizo lenyewe,

Hao single maza hawakujipa mimba wenyewe,kuna mwanaume amehusika hapo.
Achana na wale wafiwa wa mume, na wale waliobaka sema ni vile tu mtoa mada ameshindwa kuwasilisha vizuri Kuna wimbi kubwa za mabinti zetu kuzalia nyumbani hawa hawapaswi kuonewa huruma mzazi anajitoa na kujinyima kukusomesha badala ya kumletea degree unakuja kumletea watoto wa kulea kama sio umalaya ni Nini? Kwanini ukubali kuzaa na mtu ambaye hajakuletea hata posa kwenu?
 
Kwanini ukubali kuzaa ukiwa ujaolewa? Unasomeshwa upate degree kwa jasho na kujinyima the end unawaletea wazazi wako watoto wakulelee
hilo swali kama una dadako au hata rafiki wa kike ambaye mnataniana atakwambia hujikuta tu bro na mwisho wa siku inakua hivyo. Mfano umempeleka mtoto shule akasome lakin ikafka mda mwingne akaishiwa matumiz coz ni lazma awe nayo sio kama sisi wanaume unaweza maliza hata wiki mbili hujaoga, na akakuta mtu amemnunulia labda tuseme chakula na siku hyo ndo siku yake ya hatari na kawaida mwanamme mjulus ukishaamka dawa ni kudumbukiza tu ndo ipoe mwisho mimba umempa. Hapo ulipo mfano una mke au mchumba but stili unamtaka mwingne huko yaan kipozeo ukimpachka unarud kwa yule wako je nan mwene makosa hapo?
 
Achana na wale wafiwa wa mume, na wale waliobaka sema ni vile tu mtoa mada ameshindwa kuwasilisha vizuri Kuna wimbi kubwa za mabinti zetu kuzalia nyumbani hawa hawapaswi kuonewa huruma mzazi anajitoa na kujinyima kukusomesha badala ya kumletea degree unakuja kumletea watoto wa kulea kama sio umalaya ni Nini? Kwanini ukubali kuzaa na mtu ambaye hajakuletea hata posa kwenu?
Hapo umeongelea upande mmoja wa gender,
Vipi kuhusu hao vijana wanaowapa mimba hao wasichana ikiwa hawana uwezo wa kulea?
Wao hawalaumiki? wapo sawa?

Ndio maana nikasema hii issue ni vizuri zaidi ikajadili chanzo cha tatizo kuliko kujadili matokeo ya tatizo.
 
hilo swali kama una dadako au hata rafiki wa kike ambaye mnataniana atakwambia hujikuta tu bro na mwisho wa siku inakua hivyo. Mfano umempeleka mtoto shule akasome lakin ikafka mda mwingne akaishiwa matumiz coz ni lazma awe nayo sio kama sisi wanaume unaweza maliza hata wiki mbili hujaoga, na akakuta mtu amemnunulia labda tuseme chakula na siku hyo ndo siku yake ya hatari na kawaida mwanamme mjulus ukishaamka dawa ni kudumbukiza tu ndo ipoe mwisho mimba umempa. Hapo ulipo mfano una mke au mchumba but stili unamtaka mwingne huko yaan kipozeo ukimpachka unarud kwa yule wako je nan mwene makosa hapo?
Mkuu acha kutetea upumbavu kama kila mwanamke aamue kutumia shida zake kupata anachohitaji si wanawake wote wangekuwa Malaya mbona wewe hutoi ndogo ili upate pesa? Ila Kuna vijana wengi wakiume wanatoa ndogo ili waendeshe maisha hapa town
 
Back
Top Bottom