Elevenn
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 9,775
- 19,435
Mkuu siamini kabisa ktk hayo mamboNyoka kaka kwajili ya ulinzi wa nyumba
Mkuu siamini kabisa ktk hayo mamboNyoka kaka kwajili ya ulinzi wa nyumba
Mkuu bado una usingizi wewe bwana 😀😀Mkuu siamini kabisa ktk hayo mambo
Bwashee nitaumia macho bure tuu hapo quality iko chini sana.Mkuu bado una usingizi wewe bwana 😀😀
Serious na wewe umeamini ni nyoka kweli ? Hapana fikicha macho ikiwezekana nawa maji ya baridi usoni tizama tena utaelewa ila usisahau kuocheki mechi ya Brazil maana wahaiti wapo wamemkaba kooni mpaka huruma
Na watachqpwa kweliBwashee nitaumia macho bure tuu hapo quality iko chini sana.
Sasa dk ya 14 tu? Hao lazima wachapwe tu
Nipo kwa bed mie 😆ShesRise_1 kwanini haulali au unamsubilia mbrazil afanye chochote kitu
Kwa bed ndiyo hautaki kulala unapita kimya kimya mpaka ibabidi tukudake tukuumbue hapaNipo kwa bed mie 😆
Nisamehe mie 😢😢Kwa bed ndiyo hautaki kulala unapita kimya kimya mpaka ibabidi tukudake tukuumbue hapa
Viboko vitakuhusu sio muda
Uwe na amani mkuu ,pumzika bwana ulisema uko kwa bed ,basi njozi njema ndugu yanguNisamehe mie 😢😢
Sawa asanteeUwe na amani mkuu ,pumzika bwana ulisema uko kwa bed ,basi njozi njema ndugu yangu
Mida ya kupalilia ndoa hii 🤣, nimeingia huku nakutana na hizi nyuzi za kuchefua, ngoja nitoke humu wasije wakaniharibia mood.Binti wa zamani kipenzi usiku huu unasoma meseji kimya kimya ila sasa nimekudaka sema suuu ,kama hauko kwenye mizagamuano
Linda ndoa kuliko vyote ulivyo navyo ndugu ,aliwahi kusema mwanajf mmoja kuwa msiache kulombana kila upatapo muda .Mida ya kupalilia ndoa hii 🤣, nimeingia huku nakutana na hizi nyuzi za kuchefua, ngoja nitoke humu wasije wakaniharibia mood.
Achana na huo upuuziUSIJIPE MZIGO KUOA SINGO MAZA KAMA UCHUMI WAKO DUNI KITAKULAMBAA
YANI MIMI LEO WA KULAZIMISHWA KULIPA ADA YA MTOTO WAO NA BABA MTOTO LIKO TUU LINAENJOY
KIJANA MWENZAGU KAA MBALI NA SINGO NASEMA WAOGOPE KAMA UKOMA
SINGO MAZA HANA MAPENZI ANACHOJALI NI VIPENGELE VYAKE TUU
MWEZI WA SABA SHULE INAFUNGULIWA BABA WA KAMBO NISHAAMBIW NIANDAE ADA
Kufiwa na mume sawa ila hayo mengine yote ni tabia za kimalayaSingo maza wengine wala hawajajihusisha na umalaya, inawezekana amekuwa hivyo kwasababu:-
1. Mimba ya bahati mbaya kutoka Kwa mwanaume aliempenda
2. Kudanganywa kuwa ataolewa na huyo alie mpa mimba
3. Uelewa mdogo juu ya maswala ya mapenzi na ngono
4 kuachika , kuacha mume kutokana na sababu mbalimbali inaweza kuwa tabia mbaya za mume wakashindana
5. Kufiwa na mume
Sasa basi tusiwahukumu Kila kitu kinasababu yake.