kwa mtazamo wangu hawa mashekhe ni kama wale wazee wa dar es salaam.. wanaona tatizo kwa macho yao ya nyama lakini bado wanapiga vigelegele so they have benefits behind this matter
masheiks wengi hawana shule! sio watu wa kutilia maanani sana. hivi kwanini wakisema wanasema kwa niaba ya waislamu wote. je huwa wanafanya mkutano na waislamu wote kupata maoni yao. ina maana mawazo na msimamo wa masheik ndo ya waislamu wote?
I agree wanaweza kuwa na benefits kwa kuunga mkono Meya wa arusha ambaye tunakubali uchaguzi uliompa hiyo nafasi ulikiuka taratibu....Benefits si za kichama kwa maoni yangu,zaweza kuwa zile za uanzishwaji wa mahakama ya kadhi ambayo ni kwa ajili ya waislamu wote bila kujali itikadi zao au benefits nyingine tusizozijua....wanaojua waseme,labda twaweza pata majibu kwa nini waliunga mkono Meya????
Haijalishi tamko litolewe na masheikh au serikali, wampe ushirikano wasimpe hoja ya msingi ni kuwa uchaguzi ni batili (uliomweka meya madarakani) kwa kuwa sheria haijakidhiwa tena makusudi huku CCM wakichekelea, Chadema tutadai haki hiyo kutumia sauti ya watu sio kusubiri masheikh waseme (afterall uelewa wao si mkubwa katika mambo ya sheria na elimu zao ni finyu) Nawasilisha!!1
Sijaona tusi langu kwa Mshekh Mkuu,Mbona unamtete huyo Mama hivyo,kwenye kikao chake na waandishi unajua aliyosema ilhali yeye ndo chanzo cha yote, je na Mashekh walikuwa wanasubiri nn kutoa tamko hadi waliposikia la Maaskofu,maana tamko lao limekaa opposite na lile la Maaskofu,haihitaj kuwa hata na Certificate kung'amua hilo.Mary Chitanda alikosea lakini na wewe hujatumia busara maana ya maaskofu yalikua ya Mary. lakini wewe kuwatukana masheikh ni ujinga wako unauonyesha na chuki za kidini.
Yawezekana mary aliona kosa na akikiri hata rudia lakini safari hii unamshawishi aendelee kufanya ujinga
Hujatumia busara kusuluhisha tatizo vinginevyo useme hayo ni maneno umeamua kuwatukana masheikh
Mleta mada ni mchukia uislam habari yake haina source na uislamu umekataa kuuwa/kudhulum nafsi hao mashekh watakaohalalisha mauaji yale ya Arusha watakuwa si mashekh ni mashehena.
{{Wala msiue nafsi ambayo Mwenyezi Mungu amekataza (kuiua) isipokuwa kwa haki (Akahuhumu hakimu kuwa mtu huyo anastahiki kuuawa na akatoa amri ya kuuawa). Na mwenye kuuawa kwa kudhulumiwa, basi Tumempa nguvu mrithi wake (juu ya muuaji huyo, akitaka ataomba kwa hakimu kuwa amuuwe kama alivyomuuwa mtu wake na akitaka atamsamehe, na akitaka atamtoza kitu). Basi (huyo mrithi asifanye fujo katika kuua kwa ajili ya huyo mtu wake aliyeuliwa). Hakika yeye atasaidiwa (na Sharia maadamu anayo haki).}} [17:33]
Tukiegemea kwenye aya hii, hairuhusiki kwa Uislamu kuua mtu yeyote asiye na kosa kwa baadhi ya makosa ya jinai. Ni vyema tukakumbuka katika nukta hii, tofauti iliyofanywa hapo juu baina ya Qur-aan na Sunnah, na Waislamu; ni Qur-aan na Sunnah pekee ndizo zilizoafikiwa kuwa zinaendana pamoja na matakwa ya Muumba, wakati Waislamu wanaweza sana kutetereka. Hivyo, kama Muislamu yeyote ataua mtu asiye na hatia, Muislamu huyo ametenda dhambi mbaya kabisa, na hakika tendo hilo haliwezi kudaiwa kuwa limefanywa kwa jina la Uislamu.
Siwezi kukataa ila ukweli utabaki paleplae hao masheikh ni wale wa jumuia ya Kiislam ya CCM inaitwa BAKWATA. Wao wapo kwa ajili ya maslahi ya chama zaidi.
...kwani toka lini wakawa na busara ama kutaka amani!!Kama ni kweli viongozi wa kiislam watakuwa hawafanyi vema??? Naona kama wanasababisha tu mambo kuzidi kuwa shaghalabaghala. Wangeanza wao kutoa kauli ya kumtambua huyo meya ningesema labda wana sababu za msingi!!!! Lakini kwa hapa naona wanachemsha tu.... Kwanini wasubiri kilichosemwa na maaskofu ndo waende kinyume nacho.... huu ni udini...Mimi ningeshauri kama wenzao wametoa kauli waangalie ni kwa nini ikiwezekana wajadiliane nao kwanza kupata sababu na malengo kabla hawajaenda against.. otherwise wanyamaze tu itawapa heshima zaidi kuliko hii ya kupinga tu ili mradi na wao wasikike!!!
Ni hayo tu.:A S 27::A S 27::A S 27:
Hapa hakuna kumung'unya maneno wala kusema kwa Mafumbo,kwenda kwao kinyume na tamko la Maaskofu,sio kweli kwamba wame exercise Democracy au freedom of speech,uhuru wa kuongea upo,ila sio kuongea VITU VYA AJABU kama walivyofanya Mashekh ARUSHA,chanzo cha vurugu ni uchaguzi wa Mayor,na Mayor hakupatikana kwa Uchaguzi wa huru na haki (Kama Muungwana),wao kusema wanamtambua ni haki yao lakini kwa undani ZAID ni kama wamebariki Mauaji ya ARUSHA ambayo kimsingi chanzo chake ni huyo Mayor wanayempigia Chapuo,suala la maaskofu Kuunga mkono hoja ambayo CDM ni haki yao pia,tujiulize je Madai ya CDM katika uchaguzi wa Mayor Arusha hayana MsingiMUONGO MKUBWA,fanya utafiti acha kueleza uongo mradi utetee hoja yako.Masheikh wa BAKWATA si wote wako CCM na BAKWATA si organization ya kisiasa,kwahiyo tuseme maaskofu wako CHADEMA kwakuwa wali-condemn mauaji ya Arusha,wao walikuwa wanatimiza wajibu wao na BAKWATA imetimiza wajibu wake......Kwakuwa wametofautiana kauli kwenye hili la meya ndo unaanza kuwasema kwa kejeli???Lini na wapi imeandikwa kwamba BAKWATA na MAASKOFU wakubaliane kwenye kauli zao.......i call this cheap arguments,thats demorcracy and there is freedom which allow us to differ in our opinions for God's sake.Eti wako kumaslahi ya chama zaidi?????kama wewe ulivyo kwa maslahi ya chama zaidi na ndo maana unasema uongo kutetea hoja ya chama fulani iliyoungwa mkono na maaskofu.
Una uhakika na unachokisema? Unajua title ya sheikh ni kama Dr wenu wa divinity bwana Slaa acha kudharau wewe!!