hii haiuzuiliki mkuu...ngoja nikapige vyomboWe mzee mwenye nyumba umekalia pombe na nyama choma wengine mipira ya Premier league ukirudi upo bize na laptop unajidai upo bize.
Hata ukipewa game full kulalamika eti umechoka, kimoja hoi. Mwenzio houseboy yupo home saa zote wife akirudi amechoka anaanza kwanza na Salaam Shikamoo Mama.
Pole anampokea begi anamuandalia juice maji ya kuoga sasa siku anatunukiwa papuchi anapiga papuchi kama hana akili nzuri.
..............na mapenzi ni uchafu..........Mtu Kula housegirl au kuliwa na houseboy ni uchafu tu.... Hauna justifications
uchafu na mautundu ndiyo mapenzi yenyeweyani we kiwavi kweli, ndo ninyi mnaoishi na housegirls kama siwatu, mnawalisha makombo,viporo na kuwavisha matambara ya deki....