Ma house boy na wake za watu

Ma house boy na wake za watu

People always have justification for their stupidity,and this is another naive justification.
 
Kwangu Mimi cheating ya mtu ambae wana relate naweza kuelewa kabisa ...sasa houseboy wanaongea nini?zaidi ya kuvua nguo tu na ku sex? More of a penis for hire...that is low... Unless huyo mke wangu nae ni housegirl ndo ntaelewa..

Watu hucheat (na hata kuwa tu na mahusiano ya kujamiiana) kwa sababu wanazozijua wenyewe aisee. Ukianza kujaribu ku-make sense of it unaweza usipate jibu.

Sasa 'relatability' unayoizungumzia wewe sijui ni ipi maana waweza kukuta huyo 'houseboy' ana body ambayo mkeo anaizimia.

Au waweza kukuta huyo mkeo anaipenda sana sense of humor ya huyo 'houseboy'. Au huyo 'houseboy' anaweza akawa na busara/ common sense ambayo mkeo anaipenda na inamfanya avutike kwa huyo 'houseboy'. Kwa sababu kisa tu mtu ni 'houseboy' hiyo haimaanishi kwamba hawezi kuwa na busara za maisha kwa ujumla.

Ku-relate na mtu si lazima muongelee mambo ya NASDAQ Stock Market au FTSE 100 Index. Mnaweza hata kuwa mnataniana mambo ya kawaida tu na mka-relate na vile unavyomchekesha mwenzako ndo anaanza ku-catch feelings za kimapenzi na wewe. Nadhani utakubaliana nami kuwa haya mambo hayafuatagi kanuni.
 
Wanaume tubadilike response ya wanawake,kwenye Uzi huu inatia shaka.
 
Mtu Kula housegirl au kuliwa na houseboy ni uchafu tu.... Hauna justifications

yani we kiwavi kweli, ndo ninyi mnaoishi na housegirls kama siwatu, mnawalisha makombo,viporo na kuwavisha matambara ya deki....
 
Watu hucheat (na hata kuwa tu na mahusiano ya kujamiiana) kwa sababu wanazozijua wenyewe aisee. Ukianza kujaribu ku-make sense of it unaweza usipate jibu.

Sasa 'relatability' unayoizungumzia wewe sijui ni ipi maana waweza kukuta huyo 'houseboy' ana body ambayo mkeo anaizimia.

Au waweza kukuta huyo mkeo anaipenda sana sense of humor ya huyo 'houseboy'. Au huyo 'houseboy' anaweza akawa na busara/ common sense ambayo mkeo anaipenda na inamfanya avutike kwa huyo 'houseboy'. Kwa sababu kisa tu mtu ni 'houseboy' hiyo haimaanishi kwamba hawezi kuwa na busara za maisha kwa ujumla.

Ku-relate na mtu si lazima muongelee mambo ya NASDAQ Stock Market au FTSE 100 Index. Mnaweza hata kuwa mnataniana mambo ya kawaida tu na mka-relate na vile unavyomchekesha mwenzako ndo anaanza ku-catch feelings za kimapenzi na wewe. Nadhani utakubaliana nami kuwa haya mambo hayafuatagi kanuni.

Superb .....!!
 
Waambie hao na wajue tulitoka makwetu kuja kufata mtarimbo na si funiture zao na mali zao. Tunataka mchezooo wa baba&maa~maa.

u have impressed me to the maximum. shikamoo madam, pole na uchovu wa kazi.:embarrassed:
 
kwa kweli kwa mke wa mtu kutembea na houseboy utakuwa umedhalilisha familia yako kwa ujumla
 
Natafuta kazi ya u house boy nyumbani kwa charminglady.....popote pale alipo habari hizi zimfikie....
 
Ha ha haaaaa Kaveli maa~haabaaaaa!

pole na uchovu wa kazi madam, lete nikupokee mkoba madam. pumzika kidogo apo kwenye sofa nikufanyie massage ya miguu afu nikuandalie maji ya kuoga. madam kwani baba mbona siku hizi anachelewa sana kurudi? mmh alafu madam leo umependeza sana icho kitop, madam unajua kuvaa wewe!
 
ivi kumbe wengi wanawachukulia ma hg na ma hb kama sh viumbe kamili..! Aisee chungen sana...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom