Ma-handsome hawana lolote kitandani

Ma-handsome hawana lolote kitandani

Huu umaarufu wa kuweka sredi nyingi JF unawapeleka kubaya!
Sasa hapa nikikuuliza ushaona performance za mahandiii wangapi utarusha ngumi!
Vp kuhusu madushe yao ?marefu mafupi?.
Enh ndo maswali unataka tukuulize!,na uyajibu!

mkuu, naona jiwe lililotupwa kizani limekupata--ndio maana unalalamika!
 
Blaza u are way too old for this ujuee!
Ishapita hiii tupa kule
Aaaand If at all Lara ndo piko kikweli will you puleeez make zis puraivet!
Itakusave vitu vingi sana blaza!

Matola zis is awa sista, pliz konsida ha advais!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaaaaaaa! Brigedia General nasubiria tu attack zizidi niingie uwanjani! For now i fold my cards!
 
Blaza u are way too old for this ujuee!
Ishapita hiii tupa kule
Aaaand If at all Lara ndo piko kikweli will you puleeez make zis puraivet!
Itakusave vitu vingi sana blaza!

itifaki imezingatiwa, kuna wakati watu wanakulazimisha kuingia kwenye mambo ambayo hata mwenyewe huyapendia. nadhani hili limekwisha.
 
I wish to meet some of you guys in real life, maana hii mikwara humu ndani mtu akisoma anaweza Hama forum kwa staili hiyo, maana duuh
 
mwanamke uwe na heshima nimesema yamekwisha naomba kama unachangia jikite kwenye topic sasa. mimi ndio final say.
WHAAAAAAAAT.? So you think i deserve their wrath? Reallly? Take back your oders or i will have to disobey you my King! MY HONOR IS AT STAKE HERE! Please reconsider my lord!
 
Kundi la kwanza: Ma-handsome boys, hawa kitandani ni hovyoo kabisa, wanadhani watapendwa kwasababu ya sura zao pekee na si kugegeda.

Kundi la pili: Wanaume wenye pesa, hawa wanadhani watapendwa kwa pesa zao hivyo hawana time ya kutumia nguvu zao nyingi kwenye kugegeda, pesa inaongea.

Wanawake wengi wanaotembea na makundi hayo hapo juu huchepuka kwa lengo la kutafuta kuridhishwa kimapenzi.

Kundi la mwisho: ni ndugu zangu namimi, sio mahandsome na wala hatuna pesa... aisee, mwanamke usimuachie mbunye mwanaume wa aina hii... lazima iote sugu, tena utakimbia na chupi mkononi, atakusugua mpaka utasikia raha baadae itakuwa maumivu na kero.

Wanaume hawa kwakuwa hawana pesa wala si mahandsome hivyo wao silaha yao ni kugegeda tu, hapo ndipo wanapochukua marks zao za bure. Wanawake wanaogegedwa na hili kundi la hawa jamaa mara nyingi huchepuka kutafuta mabwana wa kupiga nao picha na wenye pesa. Ila kwa kugegeda hili ndio kundi linaloongoza Tanzania na Africa mashariki na kati.

MCHUNGUZI HURU

We ni mvulana au msichana?
 
hahahaaahhahaa wewe mwanamkee wewe nakufata kwako na si pm
Hahaaaaaaa! HAPA VITA IMEPAMBA MOTO! Brigedia niko kazini, i have to wipe out all my enemies!

Hongera by the way kwa USHINDI ulioupata kwenye gazeti la makorokocho! Wish you become our next queen of the country! So impressed! Najua unashangaa how i knew, but i know!
 
mchunguzi huru wewe ni wa kike? kuna shuhuda tunategemea kuzipata kwa wahusika wenyewe.

Kutumia mtandao hakufanyi mtu aonekane si kichaa, wewe ni kichaa na kwa bahati mbaya haufaham hilo hivyo utapinga. Uchunguzi huh umefanyka kwa watu ambao tayari wamekutana na watu wa namna hiyo. Period
 
Back
Top Bottom