ngilenengo1
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,275
- 605
Hasara uliyopata hapo ni elfu kumi tu
Bibie unasahau mkate, elf 10 tayari anayo feki kwenye droo yake, je mkate umeshaondoka na mwizi wake
Hasara uliyopata hapo ni elfu kumi tu
Ile chenchi haikuhusu wewe.... Haikutoka kwakoD
Mkate wa dogo. 2000
Chenchi uliompa dogo 8000
Hela uliomrudishia duka jiran 10,000
Jumla hasara 20,000
sent from iPhone 7+ using jamii forums mobile app
Elfu 2 ya mkate ilikuwa sio hasara, kumbuka mkate ulikuwa umenunuliwa na elfumbili halali kabisa... kwenye droo la mwenye duka kuna elfu mbili halali (sio fake) ya malipo ya mkate.Mwenye duka kapata hasara ya sh elfu kumi aliyompa jirani aliyetoa chenji na sh elfu mbili ya mkate aliyompa mteja... Total ni 12000.
Mkate haukuwa hasara, mkate ulinunuliwa kwa elfu mbili halaliJibu ni A. 12,000/=
Hasara ya kwanza ni mkate wa alfu 2 ambao mteja keshachukua;
Hasara ya pili ni tsh alf 10 feki uliyomuomba change jirani na baadaye akahitaji umrejeshee.
Jumla inakuwa 12,000/=
LoRd JeSuS ChRiSt - The Creator Of All.
Huu ni uongo mwingine. Unasahau kuwa chenji ilitoka kwa jirani huyo huyo
sasa mkate si ndio amembadilishia kwa hiyo 10,000 feki? kwa mantiki yako hiyo unamaanisha angempa hiyo 10,000 feki bila ya yeye kumpa mkate still angekuwa na hasara, kitu ambacho sio kweliBibie unasahau mkate, elf 10 tayari anayo feki kwenye droo yake, je mkate umeshaondoka na mwizi wake