Ma genius mkuje huku

Ma genius mkuje huku

Jibu ni B, kwa sababu:

Mauzo 2,000= 10,000-8,000

1. Hasara 8,000 (chenchi ya mteja)

2. Hasara 10,000 (fidia kwa jirani)

Jumla ya hasara ni 18,000= 10,000+8,000.
 
Kama ningeambiwa nijitetee, ningesema hivi.

Jibu ni D, kwa sababu:

1. Hasara 2,000 (Mkate)

2. Hasara 8,000 (chenchi kwa mteja)

3. Hasara 10,000 (fidia kwa jirani)

Jumla ya hasara ni 20,000= 10,000+8,000+2,000.
 
a4e299591f3b486fa3cf7dfed638b232.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali ya chekechea hayo!
 
Kumbuka alivyokupa elfu 10 feki wewe ulienda kuomba chenji kwa jirani hiyo chenji uliyompa hukutoa kwenye fedha zako. Hadi hapo ulikuwa umeuza mkate wako safi kabisa ila yule jirani ndio alikuwa amepata hasara ya elfu 10 yote aliyokup chenji. Hivyo alivyorudi jioni ukampa elfu 10 halali(hii yote umeitoa kwenye droo yako) ina maana ni hasara kwako. Maana umebaki na elfu 10 feki but kumbuka ule mkate uliouza una faida yake(lets say 200), hivyo hasara kwako ni 10,000 toa FAIDA YA KWENYE ULE MKATE.
Kwa maana nyingine hapo ni kuwa tukiamua kupotezea faida ndogo ya kwenye ule mkate basi hasara kwako ni elf 10 tu(8000 + mkate).
 
Kama ningeambiwa nijitetee, ningesema hivi.

Jibu ni D, kwa sababu:

1. Hasara 2,000 (Mkate)

2. Hasara 8,000 (chenchi kwa mteja)

3. Hasara 10,000 (fidia kwa jirani)

Jumla ya hasara ni 20,000= 10,000+8,000+2,000.

Huu ni uongo mwingine. Unasahau kuwa chenji ilitoka kwa jirani huyo huyo
 
Kumbuka alivyokupa elfu 10 feki wewe ulienda kuomba chenji kwa jirani hiyo chenji uliyompa hukutoa kwenye fedha zako. Hadi hapo ulikuwa umeuza mkate wako safi kabisa ila yule jirani ndio alikuwa amepata hasara ya elfu 10 yote aliyokup chenji. Hivyo alivyorudi jioni ukampa elfu 10 halali(hii yote umeitoa kwenye droo yako) ina maana ni hasara kwako. Maana umebaki na elfu 10 feki but kumbuka ule mkate uliouza una faida yake(lets say 200), hivyo hasara kwako ni 10,000 toa FAIDA YA KWENYE ULE MKATE.
Kwa maana nyingine hapo ni kuwa tukiamua kupotezea faida ndogo ya kwenye ule mkate basi hasara kwako ni elf 10 tu(8000 + mkate).

Mkuu umeeleza vizuri, lakn mwishoni umepotoka kidogo. hasara hapa ni sh. 10,000 (maana anayo feki) + faida ya mkate 1 (naona muuliza swali yy amechukulia sh 2000) = 12,000
 
Back
Top Bottom