Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,264
Nimekuwa na muda mzuri sana toka juzi jana na leo hii nimekuwa napitia post mbalimbali humu jf za siasa na nilichogundua zaidi ya ritz hamna mwana ccm anayeweza kuhimili huo moto wa gas m4c unaowaka hapa.na kama yupo na ajitokeze.hakika nguvu ya umma ni nguvu ya Mungu!