M4C-OPD: Ndani ya Manispaa ya Bukoba - Jan 26, 2014

M4C-OPD: Ndani ya Manispaa ya Bukoba - Jan 26, 2014

Mh. Kagasheki alisema yeye atakuwepo mpaka bunge lianze, bilashaka aliudhuria hapo. Ninaamini hadi keshokutwa tutakuwa tumeshamsikia majibu yake.
 
Mh. Kagasheki alisema yeye atakuwepo mpaka bunge lianze, bilashaka aliudhuria hapo. Ninaamini hadi keshokutwa tutakuwa tumeshamsikia majibu yake.

Unamaanisha atakuwepo bukoba? au? aangalie sasa Jimbo analikosa hivihivi
 
Hiyo nidhamu ya ukaaji kusikiliza hotuba nimeipenda sana.
 
wewe unafikiri kwanini wamemtumia mohamed saidi bukoba na sio maeneo mengine? hiyo inamaanisha nini?

kwa hiyo akimaliza Bukoba anarudi Dar au ????? udini utakuua mbulura wewe!!!! magamba mmefilisika hoja mmekuwa watu wa kutapatapa tu, kifo chenu kilishatimia!!!!
 
peleka ujinga ww liccm eti bananga.ww tunaongelea ya bukoba unaingiza ya sombetini khe!! CHADEMA hua tunasonga na kushinda kwa michango midogo midogo nasio ufisad kama nyie.safari hii maccm nilazima yakae.CHADEMA inawatu maccm yana wehu
 
😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace::msela::msela:
 
sio mbaya,

wengine tokea kuzaliwa kwao walikuwa hawajawahi ziona chopa

sasa bila kuwapelekea wangeziona lini??

wajinga huliwa na wajinga wenzao

mkuu Paw Invisible, Moderator haya majina ya ajabu ajabu should be eliminated! They are compelely against public policy na hata sheria za humu haziruhusu!
 
Last edited by a moderator:
mimi sina la kusema kwani hata wanaojibiza hawajui, mh, Mohamed yupo kwenye msafara mzima na wala sio bukoba tu, kwani hata kigoma, ngara, karagwe alikuwepo
 
mkuu Paw Invisible, Moderator haya majina ya ajabu ajabu should be eliminated! They are compelely against public policy na hata sheria za humu haziruhusu!

sasa wewe unawaambia mods walifute jina langu la muuza gongo kwa kosa gani??

mbona rais wenu slaa anasema akichukua nchi ataruhusu kuuzwa kwa gongo wazi wazi??

nyinyi watu acheni kujitoa ufaham
 
Wana jf, jana ndio ilikuwa siku lasmi ya kuizika ccm ktk viwanja vya mashujaa (mayunga) kwani wana bukoba wengi sana kutoka maeneo mbalimbali walirudisha kadi za ccm na kujiunga na cdm.
 
pamoja xana makamanda. magamba ndio baaaasi tena!
 
. . . Na bado! Tunahakikisha tunawafikia watanzania wote wa mijini na vijijini, kwa njia ya bahari, mito, maziwa, nchi kavu na anga.

CHADEMA, PAMOJA DAIMA.
 
Hahaaaa......huyu anayejiita zit to yupo? Hii ndiyo habari ya mujibu sio mambo yake ya mtoto na kishamba
 
Back
Top Bottom