simon_Andrea
Member
- Jan 19, 2014
- 21
- 1
Wenyewe kwa wenyewe mnazinguana sasa mtafikia kweli goals zenyu
Bwana Mbowe baada ya gari lake kugonga mwendesha pikipiki na yeye kukodi gari nyingine na kumtelekeza mwendesha pikipiki akiwa na Maumivu Makali sana na yeye Mbowe kuendelea na ziara yake, wananchi Wa Esau kuwa kiongozi huyu kumbe Hana huruma kabisa, na wamesema Leo watafurika kumshuhudia kiongozi katili na Wameapa kumuuliza maswali bila kujali kwamba yeye Mbowe amewaandaa Redbrigade kuwatisha au kuwadhuru wananchi watakaothubutu kumuuliza maswali kiongozi huyo , maswali yaliyozuiliwa ni kuhusu zitto na lile la ajari. Taarifa hizi tumezipata kutoka kwa viongozi wetu waadilifu ndani ya Chadema kutoka Geita.
Bwana Mbowe baada ya gari lake kugonga mwendesha pikipiki na yeye kukodi gari nyingine na kumtelekeza mwendesha pikipiki akiwa na Maumivu Makali sana na yeye Mbowe kuendelea na ziara yake, wananchi Wa Esau kuwa kiongozi huyu kumbe Hana huruma kabisa, na wamesema Leo watafurika kumshuhudia kiongozi katili na Wameapa kumuuliza maswali bila kujali kwamba yeye Mbowe amewaandaa Redbrigade kuwatisha au kuwadhuru wananchi watakaothubutu kumuuliza maswali kiongozi huyo , maswali yaliyozuiliwa ni kuhusu zitto na lile la ajari. Taarifa hizi tumezipata kutoka kwa viongozi wetu waadilifu ndani ya Chadema kutoka Geita.
huo uzushi mpelekee malaya wako na si kwa wanageita! Huku ccm tunamalizia kuizika najua umepost ili upate buku saba zako! Huna hata aibu wananchi watafurika kumlaki kamanda wa anga mbowe na mwaka huu mpaka ma..vi yagonge chu..pi ndani ya magamba,hauna tofauti na madada poa
Bwana Mbowe baada ya gari lake kugonga mwendesha pikipiki na yeye kukodi gari nyingine na kumtelekeza mwendesha pikipiki akiwa na Maumivu Makali sana na yeye Mbowe kuendelea na ziara yake, wananchi Wa Esau kuwa kiongozi huyu kumbe Hana huruma kabisa, na wamesema Leo watafurika kumshuhudia kiongozi katili na Wameapa kumuuliza maswali bila kujali kwamba yeye Mbowe amewaandaa Redbrigade kuwatisha au kuwadhuru wananchi watakaothubutu kumuuliza maswali kiongozi huyo , maswali yaliyozuiliwa ni kuhusu zitto na lile la ajari. Taarifa hizi tumezipata kutoka kwa viongozi wetu waadilifu ndani ya Chadema kutoka Geita.
huo uzushi mpelekee malaya wako na si kwa wanageita! Huku ccm tunamalizia kuizika najua umepost ili upate buku saba zako! Huna hata aibu wananchi watafurika kumlaki kamanda wa anga mbowe na mwaka huu mpaka ma..vi yagonge chu..pi ndani ya magamba,hauna tofauti na madada poa
huo uzushi mpelekee malaya wako na si kwa wanageita! Huku ccm tunamalizia kuizika najua umepost ili upate buku saba zako! Huna hata aibu wananchi watafurika kumlaki kamanda wa anga mbowe na mwaka huu mpaka ma..vi yagonge chu..pi ndani ya magamba,hauna tofauti na madada poa
Kwanza kuwa na adabu we mdada,acha kiherehere!
Halafu unazungumzia Geita gani wewe ambapo chadema itaizika CCM?!
Mwaka 2010 mlishindwa kuuchuku ubunge wa jimbo la Geita pamoja na kusaidiwa na wanaccm wenyewe kwa sababu walikuwa hawamtaki Max,lakini baadhi yenu mkanunuliwa na ccm hiyo hiyo,sasa leo unatoa wapi ujasiri huo?!
Mwaka 2008 mashindwa kuchukua ubunge katika jimbo la Busanda kwenye uchaguzi mdogo na bado ikawa hivyo 2010 sasa mtaweza lini na wapi?!
Mmekuwa na migogoro ya kugombani madaraka mara kwa mara,sasa hivi Rogers mmeanza kumpiga vita eti sio mzaliwa wa Geita kwa sababu anatokea Mpanda!
Leo mnamuunga mkono Joseph Mangilima mbaye kila siku anawaibia fedha za kuhudumia jamii zinazotolewa na GGM!
Ni ngumu mkuu chadema kushinda kati ya majimbo yote matatu yaliyopo Geita.
loading.......................
Bwana Mbowe baada ya gari lake kugonga mwendesha pikipiki na yeye kukodi gari nyingine na kumtelekeza mwendesha pikipiki akiwa na Maumivu Makali sana na yeye Mbowe kuendelea na ziara yake, wananchi Wa Esau kuwa kiongozi huyu kumbe Hana huruma kabisa, na wamesema Leo watafurika kumshuhudia kiongozi katili na Wameapa kumuuliza maswali bila kujali kwamba yeye Mbowe amewaandaa Redbrigade kuwatisha au kuwadhuru wananchi watakaothubutu kumuuliza maswali kiongozi huyo , maswali yaliyozuiliwa ni kuhusu zitto na lile la ajari. Taarifa hizi tumezipata kutoka kwa viongozi wetu waadilifu ndani ya Chadema kutoka Geita.
tatizo la watu wahamiaji haramu ndo hili,wewe huijui geita unaropoka tu! Kwa ufup ccm hamna chenu tena na huyo zezetz max harud tena mjengoni upo utaniambia
Bwana Mbowe baada ya gari lake kugonga mwendesha pikipiki na yeye kukodi gari nyingine na kumtelekeza mwendesha pikipiki akiwa na Maumivu Makali sana na yeye Mbowe kuendelea na ziara yake, wananchi Wa Esau kuwa kiongozi huyu kumbe Hana huruma kabisa, na wamesema Leo watafurika kumshuhudia kiongozi katili na Wameapa kumuuliza maswali bila kujali kwamba yeye Mbowe amewaandaa Redbrigade kuwatisha au kuwadhuru wananchi watakaothubutu kumuuliza maswali kiongozi huyo , maswali yaliyozuiliwa ni kuhusu zitto na lile la ajari. Taarifa hizi tumezipata kutoka kwa viongozi wetu waadilifu ndani ya Chadema kutoka Geita.