Nikuanzia SAA 7 mchana katika viwanja vya magereza, kamanda wa Anga Mbowe ataongoza mashambulizi.
Source: WAITARA tupo naye hapa Geita tangu mchana Leo.
Deshmo mimi apa nabishaa
Asma mila?
Saa nne asubuhi hii atakuwa Masumbwe wilaya ya Mbogwe hapa Geita.Kila la heri wanageita! Chadema hakikisheni mnaingia ndani vijijini, ambako serikali dhaifu ya ccm imewanyima umeme, barabara na maji safi!
ccm inakufa,nani anabisha?
thread nyingine bana!!Bwana Mbowe baada ya gari lake kugonga mwendesha pikipiki na yeye kukodi gari nyingine na kumtelekeza mwendesha pikipiki akiwa na Maumivu Makali sana na yeye Mbowe kuendelea na ziara yake, wananchi Wa Esau kuwa kiongozi huyu kumbe Hana huruma kabisa, na wamesema Leo watafurika kumshuhudia kiongozi katili na waneapa
Utaumbuka muda si mrefu,Bwana Mbowe baada ya gari lake kugonga mwendesha pikipiki na yeye kukodi gari nyingine na kumtelekeza mwendesha pikipiki akiwa na Maumivu Makali sana na yeye Mbowe kuendelea na ziara yake, wananchi Wa Esau kuwa kiongozi huyu kumbe Hana huruma kabisa, na wamesema Leo watafurika kumshuhudia kiongozi katili na waneapa