M4C-OPD ndani ya Geita - Jan 27, 2014

M4C-OPD ndani ya Geita - Jan 27, 2014

kila la kheri kamanda Mbowe katika ujeshi wa ukombozi wa kweli wa Mtanzania.
 
endelea kutumika hapo wenzio wanapiga ruzuku wanaenda kununua majumba dubai huku wakivinjari na mahawara zake wee upo tu hapo

Na magamba je,huwa haibi pesa si ndiyo? Acha ushabiki wa kipumbavu na hali watu wako serious na mambo ya msingi. Kama vipi pisha njia wazalendo waeneze injili.
 
kwa hisani ya bwana rogers j ruhega, kaimu katibu wa chadema mkoa wa geita

wanachama wote wa chadema na wote wapenda mabadiliko na uhuru wa kweli, wazalendo wote na wapenda maendeleo wa geita, mnakaribishwa sana na mnaomba kuendelea kuwaalika wengine katika mkutano huo mkubwa sana wa kufungua mwaka utakaofanyika geita mjini ndani ya kata ya kalangalala.

Mkutano huo utafuatiwa na kikao cha baraza la mashauriano la chadema mkoa wa geita litakalokuwa na lengo kubwa la kutathimini shughuli ya ujenzi wa chama kupitia programe ya chadema ni msingi ndani ya majimbo yote sita yaliyomo ndani ya mkoa wa geita.

Wadau; muda na eneo husika la wapi mkutano utakapofanyikia tutazidi kufahamishana jinsi siku zinavyozidi kukaribia, please stay tuned!

Mwaka 2014 ni mwaka wa maandalizi ya mwisho mwisho kabla ya ukombozi mkuu wa uhuru wa mara pili 2051.

hawa nao kwa kuunguruma makoo yatawauma sasa.

na hapo kwenye red umetabiri vyema hongera.
 
Wekeni mbali mademu zenu safari ya dubai inaweza ikaanzia huko.
 
Wewe Nyamigota nilishakwambia kwamba huwa unakurupuka sana,na ndiyo tabia yako miaka yote,na hata kwenye kazi unakurupuka tu! Badilika vinginevyo itafika hata huo mwaka 2051 unaousema kwamba utakuwa ni wa uhuru na ukombozi bado msifanikiwe,wenzakomtunawaza uchaguzi wa mwakam2015 wewe unawaza 2051!!
unamkosoa mwenzako kwa kukosea mwaka vp na ww uzi wako mbna hauna spacin? au ndo msemo wa nyan haoni kundule? afu nyamigota na katoro znauhusiano gan? acha kuassume unajua sehemu ambazo inawezekana haujafka na haujui.. lekaga tuja nyanda
 
Kwa hisani ya Bwana Rogers J Ruhega, Kaimu Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Geita

Wanachama wote wa CHADEMA na wote wapenda mabadiliko na uhuru wa kweli, wazalendo wote na wapenda maendeleo wa Geita, mnakaribishwa sana na mnaomba kuendelea kuwaalika wengine katika mkutano huo mkubwa sana wa kufungua mwaka utakaofanyika Geita mjini ndani ya kata ya kalangalala.

Mkutano huo utafuatiwa na kikao cha baraza la mashauriano la CHADEMA Mkoa wa Geita litakalokuwa na lengo kubwa la kutathimini shughuli ya ujenzi wa chama kupitia programe ya CHADEMA ni msingi ndani ya majimbo yote sita yaliyomo ndani ya Mkoa wa Geita.

Wadau; muda na eneo husika la wapi mkutano utakapofanyikia tutazidi kufahamishana jinsi siku zinavyozidi kukaribia, please stay tuned!

Mwaka 2014 ni mwaka wa maandalizi ya mwisho mwisho kabla ya ukombozi mkuu wa uhuru wa mara pili 2051.
Kumbe matarajio yenu ni mwaka 2051, duuu!!!! hiki chama ni kama kundi la magoigoi.
 
Back
Top Bottom