M4C-OPD jijini Mwanza katika Picha (Feb 01, 2014)

M4C-OPD jijini Mwanza katika Picha (Feb 01, 2014)

Earthmover

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2012
Posts
25,975
Reaction score
25,292
....

....

..Picha zaidi kutoka kwa JF members Mwanza eneo la mkutano....

.....Hapo chini Maelfu ya wakazi wa jiji la Mwanza waliojitokeza leo jioni -
M4C OPD !!!

Shukrani nyingi zimfikie Kamanda PRISCUS JR kwa Picha alizopiga

na
Jamii forums jukwa la siasa kwa kazi nzuri katika jukwaa hili...

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php



attachment.php



attachment.php


attachment.php


attachment.php
 
Asante mkuu,mimi nimepiga nying mno nikawa na zituma direct kwa Mods lakini hawaja apload hata 1 waweza ni PM email yako nikutumie uziweke hapa pia
 
Asante mkuu,mimi nimepiga nying mno nikawa na zituma direct kwa Mods lakini hawaja apload hata 1 waweza ni PM email yako nikutumie uziweke hapa pia

.....Kamanda Idimulwa kwanza shukrani kubwa ziwafikie Makamanda wote mliokuwapo eneo la tukio ...ntakurushia soon ila kazi kubwa sana mmeifanya japo walitubania !!!
 
Asante kwa watu wa Mwanza. Ninyi ni wazalendo wa kweli na mnaionesha njia....kuelekea magogoni 2015. Atakaye kwenda kinyume na mahamuzi yenu ktk sadunduku la kura haitakii mema Tanzania, lakini pia hatutamwonea aibu.
 
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
 
unawatukana watanzania hawana akili wamefuata chopa na sio sera za ukombozi? hata shetani alimwambia Hawa Mungu kawadanganya wakila tunda hawatakufa bali watajua mema na mabaya, endeleni kujifariji kwa kualika vikundi vya zecomedy na bongo fleva kwenye mikutano yenu ili kuwajaza watu wakati katika chadema watu huja wenyewe. msisahau 2015 hakuna kuiba kura tena, JK ayuko madarakani kwa kura kiduchu 5M kati ya watu 40m
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
 
Asanteni makamanda na wazalendo wa Mwanza. Nimefurahishwa na wingi wenu.
 
Hakika nchi ipo tayari kwa mabadiliko na ukombozi wa pili wa taifa hili... PAMOJA DAIMA MPAKA IKULU.. Kazi ya kuyaondoa magamba kuanzia kwenye Serikali za Mitaa imeanza na Mwakani kwenye uchaguzi Mkuu tunamalizia kuponda kichwa cha Magamba...

Asanteni Mwanza kwa kuonyesha ukomavu... Mwanza tayari, Kilimanjaro, Mbeya, Arusha, Manyara, Shinyanga, Geita, Mara, Bukoba, Kigoma, Rukwa, Ruvuma, Iringa, kote tayari.. kazi bado kidogo sana DAR, MORO, MTWARA, TANGA, SINGIDA... Ila mikoa ya Lindi, Pwani, Tabora na Zanzibar bado wanajivuta miguu... Hatuwezi kusubiri wote tuwe tayari... Mikoa iliyotayari inatosha kuanza safari ya kuelekea IKULU 2015 hiyo Mikoa pasua kichwa itatukuta tumeshafika...
 
pamoja daima!!!! nipo hapa shutterz napata moja moto moja baridi! karibuni makamanda!
 
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.
Wewe uko kundi gani ? Makonda ama Lowassa?
 
kwa watu walivyokuwa wengi hakuna.kamera ingeweza kucover watu wote hao
CCM Walishafutika hapa mwanza
 
.....Kamanda Idimulwa kwanza shukrani kubwa ziwafikie Makamanda wote mliokuwapo eneo la tukio ...mntakurushia soon ila kazi kubwa sana mmeifanya japo walitubania !!!


Pamoja sana kamanda
 
Hizi drama za watu kufuata chopa tumieshazoe hata fiesta huwa tunaona watu wengi kuzidi hawa hauwezi kuchukuwa nchi kwa chopa.

Ushasema fiesta......fiesta kuna Chopa...Wananchi wa mwanza hawawezi kushangaa chopa.Kwa taharifa yako hata mikutano ya Wenje na Kiwia wanajaa hivi unavyoona....Hawasombwi.....viva Chadema
 
Back
Top Bottom