Koba mmeo?Koba jamani
Koba,
..utawala wa Kinshasa unawatambua M23 kama raia wa DRC.
..M23 walikuwa sehemu ya jeshi la DRC ila waka-defect baada ya baadhi yao kuambiwa watakuwa deployed maeneo tofauti na eastern Congo.
..kwa msingi huo utaona kwamba ni M23 ndiyo wanaojitenga na ndugu zao wa maeneo mengine ya DRC.
..lakini hawa M23 siyo kikundi cha kwanza kuleta vurugu zisizokuwa na msingi DRC. sijui kama unawakumbuka wakina Bizima Karaha[alikuwa anaungwa mkono na Kagame] na wenzake ambao walidai wanapigania Congo na wanaungwa mkono wa wananchi waliowengi. Baada ya kufanyika uchaguzi, matokeo yameonyesha kwamba wananchi wa Congo wamewakataa.
Koba look, hiyo ingeweza kutekelezwa siku za nyuma, lakini sasa hivi kuna kila dalili za kuonyesha kwamba kibao kimewagehukia wakina PK,M7, M23 na factions nyingine nchini DRC. Kitu kingine M23 sio hit and run ragtag army, wako well organised na sio siri tena kwamba wanakuwa funded/trained na watu ambao hawataki pawepo AMANI ya kudumu nchini Congo, defectors ndio wame-spill the beans(ebishimbo) ingawa hiyo ilikuwa inajulika siku nyingi tu kwamba M23 are not a lone RANGER. In short International Community imekuwa fedup na an open ended mazungumzo ambayo tukiwa wakweli yalikuwa hayana tija yoyote zaidi ya wahusika kufaidika kulala kwenye a five star hotels huko Kampala na kupata posho!! Oh yes, mbinu za key players kutaka ku-buy time ili waendeleze uporaji wao wa rasilimali za DRC. Nakubaliana nawe kwamba wa Kongomani ndio wanapashwa kuleta amani ya kudumu nchini mwao - lakini kumbuka amani haiwezi kupatikana wakiwa wanaingiliwa na mataifa ya nje mara kwa mara kwa kisingizio chochote kile.MONUSCO sio wajinga kujiingiza kwenye guerilla warfare na hawa rebels and they will never attack or force to disarm anybody,the only thing they will do ni kuweka buffer zone na kusimamia kama kutakuwa kuna makubaliano yeyote btn hizi factions,Congolese hakuna mtu atapigana vita yenu ni nyie wenyewe ndio mtaleta peace, MONUSCO wako pale kusimamia amani and disarm kama kutakuwa na makubaliano yeyote.
Koba anatakiwa aelelawe wakongomani ni kikundi cha mai mai, hawa wengine akina bosco ntaganda, laurent nkunda, sultan makenga ni biashara ya nchi jirani, vikundi vya wakongomani kwa sasa vimetulia. baada ya baba lao kupelekwa ze hegi (The Hague)Koba look, hiyo ingeweza kutekelezwa siku za nyuma, lakini sasa hivi kuna kila dalili za kuonyesha kwamba kibao kimewagehukia wakina PK,M7, M23 na factions nyingine nchini DRC. Kitu kingine M23 sio hit and run ragtag army, wako well organised na sio siri tena kwamba wanakuwa funded/trained na watu ambao hawataki pawepo AMANI ya kudumu nchini Congo, defectors ndio wame-spill the beans(ebishimbo) ingawa hiyo ilikuwa inajulika siku nyingi tu kwamba M23 are not a lone RANGER. In short International Community imekuwa fedup na an open ended mazungumzo ambayo tukiwa wakweli yalikuwa hayana tija yoyote zaidi ya wahusika kufaidika kulala kwenye a five star hotels huko Kampala na kupata posho!! Oh yes, mbinu za key players kutaka ku-buy time ili waendeleze uporaji wao wa rasilimali za DRC. Nakubaliana nawe kwamba wa Kongomani ndio wanapashwa kuleta amani ya kudumu nchini mwao - lakini kumbuka amani haiwezi kupatikana wakiwa wanaingiliwa na mataifa ya nje mara kwa mara kwa kisingizio chochote kile.
Ni kweli mkuu kundi la MAI MAI ambao ni Wakongomani asili walikuwepo toka ENZI za Mobutu, factions nyingine ni za kuchonga tu na viongozi wenye agenda zao za siri kuhusu DRC, alafu walivyo waongo na wanafiki wanafikili DUNIA haijui historia ya kweli kuhusu Taifa la DRC.Koba anatakiwa aelelawe wakongomani ni kikundi cha mai mai, hawa wengine akina bosco ntaganda, laurent nkunda, sultan makenga ni biashara ya nchi jirani, vikundi vya wakongomani kwa sasa vimetulia. baada ya baba lao kupelekwa ze hegi (The Hague)