M2 kuongea na wanahabari kesho Nov 27, 2013

M2 kuongea na wanahabari kesho Nov 27, 2013

Status
Not open for further replies.
Kwa taarifa zilizonifikia ni kwamba M2 yuko njiani kuelekea eneo la mkutano.
 
Umbea na Kiherehere...kama unamjua si ututajie....aaaaghhhhhhhhhhhhhhhh???????????????????????????
 
Watu wameshaanza kuwasili eneo la tukio - Travetin Magomeni
 
Mkuu ni sa tano ya usiku au asubuhi hiii?? Naona kama vile inaelekea saa sita au yuko Kigali Rwanda?
 
nimeamini maneno ya kingwangalla sijui yule wa nzega kwamba tindu lissu ni mgonjwa.

watu kama hawa mzee mengi kasema wapelekwe mirembe si kwa hiari yao.
 
Waafrika hatuendi na muda,au ccm wamekataa kufadhili press conference?
 
Kazi kweli kweli, Mungu kumbe ndio maana kajificha angekuwepo masaki walahi watu wangemuua
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom