habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,753
Mkuu ni sa tano ya usiku au asubuhi hiii?? Naona kama vile inaelekea saa sita au yuko Kigali Rwanda?
Ni saa sita tayari tena na madakika masaba
Mkuu ni sa tano ya usiku au asubuhi hiii?? Naona kama vile inaelekea saa sita au yuko Kigali Rwanda?
WASIFU WA LUKOSI
1.Huyu jamaa alikuwa polisi akafukuzwa sababu ya ajali katika msafara wa pm wakati ule John Malecela na kukimbilia Botwana kwa dada yake ambaye ni Nurse.2 2.Lukosi alifuatana na dadake nchini uk baada ya kupata kazi uk nayeye alipata nafasi ya kuambatana naye uk. 3.Lukosi alipata nafasi ya kujifanya mkimbizi na kuukana utanzania pamoja na porojo zake yeye uk anafahamika kama mkimbizi wa kisiasa na njaa. 4. Lukosi alipata kazi ya kuwa traffic warden kwa bahati mbaya alipata ajali ambayo ilimfanya adhurike kichwani alilazwa kwa muda mrefu na aliathirika na ajali ile kichwani.Kampuni aliyokuwa akiifanyia kazi ilimlipa malipo kutokana na ajali hiyo,na baada ya muda aliacha kazi na kuanza biashara. 5 Lukosi alianza biashara za kupeleka magari mabovu Tanzania na baiskeri za wizi kutokea maeneo ya barking&dagenham na baada ya muda alianza biashara nyingine ambazo wengi wanazijua. 6 Lukosi alijaribu kujiingiza kwenye siasa baada ya kukutana na mbunge Lema jijini London,na nia kubwa akifikiri atapata tender za kusafirisha mizigo na magari ya chadema.Alipewa nafasi kukaa hotelini kwa mzee ndesambulo jijini Dar kwa week moja free of charge. 7 Baada ya kukosa tender hiyo Lukosi alirudi ccm ambapo hajawahi kuwa mwanachama uk,na alianza kashfa nyingi kuhusu chadema na hii ni kutokana na waajiri wake wa biashara (sizisemi) kutoka Tanzania ambao ni wafadhiliwa na ccm kutokana biashara hizo.Ametumia muda mwingi mtandaoni ili wamkubali kuwa katoka chadema na anaichafua. 8. Tumdharau Lukosi kwa sababu ana ugonjwa wa pressure na inasemekana ni muathirika wa vvu si mwana siasa ila ni stress zinamsumbua
Kwa taarifa zilizonifikia ni kwamba M2 yuko njiani kuelekea eneo la mkutano.
Ha ha ha kama kweliM2 nasikia ametekwa na gaidi NCHEMBA ,kwa hiyo muondoke hapo press conf.haitakuwepo hadi mtakapotaarifiwa
Naunga mkono hoja.Huyu Mpwa wetu anastahili kabisa IFE BAN na awe castrated akipatikana
Salaam tena wakuu.
Baada ya uzi wangu wa jana usiku kufutwa kwa sababu ambazo sikujulishwa, asubuhi hii nimeamka na kuamua kufuatilia tetesi za jana.
Ni kweli kwamba mtu alituhumiwa na kutajwa kama MM2 na kamati kuu ya CHADEMA, ameamua kujitokeza na kuzungumza na wanahabari.
Mkutano huo na wanahabari ambao awali ulikua ufanyike Ubungo Plaza saa nne asubuhi, hivi sasa umehamishwa na utafanyika Travetine Hotel - Magomeni kuanzia saa tano na nusu asubuhi.
Kulingana na chanzo changu cha habari, MM2 asingependa atajwe mapema mapema kwenye mitandao kwa sababu za kiusalama ila ni kweli kwamba atazungumza na Wanahabari leo.
Mada atakazozigusa ni pamoja na ukweli kumhusu yeye, msimamo wake na wa kikundi chake dhidi ya wanaoitwa Wahafidhina na mikakati yake na kikundi chake pamoja na harakati watakazofanya mikoani katika kile wanachokiita demokrasia ya kweli ndani ya CHADEMA.
Nitaendelea kuwaupdate juu ya kinachoendelea.
NB: Mod sio mbaya nikapata taarifa ya sababu ya kufuta uzi wa jana. Thanks in advance.
Huyu nae ni dikteta wa kimtindo, ndio maana wameshindwana na Ben maana wana hulka zinzaofanana. Ila nitaandaa mapinduzi makubwa mno huko Chit-Chat, namuandaa kijana wangu Chimbuvu aje ashike hatamu.
Mkuu samahani pale bawacha wewe ni nani vile au unacheo gani.
Mbowe kajigeuza Procurement Officer na Chief Supplier wa Vifaa vya Chadema. Yeye ndo Mnunuzi na Muuzaji wa kila kinachohitajika. Wakat wa Uchaguz 2010 ilidaiwa anasaidia Chama bt baada ya Matokeo kaleta Invoice za Gharama za Uchaguz na kuzoa 500Mil za Ruzuku sasa Chama kinaendeshwa kwa sadaka za kwenye Mikutano ya Hadhara. Source; Waraka wa DKt wa Ukweli Mh.Kamanda Kitila Mkumbo!
Mara ando
Saa yako inasema ni saa ngapi? Saa tano na nusu kwenu bado haijatimia?? Mods tunaomba taarifa zisizokuwa na uhakika zisipokelewe hapa jamvini. Zinapoteza muda watu kuchangia na kuanza kutajana majina bila taratibu. Nategemea mtaufuta huu uzi hadi hapo huyo M2 atakapoongea kama ni kweli!!! Jua kuna thread nyingi sana za akina Kapuya na Saliti Zitto kwa hiyo pro hao watu wanaweza kuja hapa ili kufanya diversion za mada. Thanks.