Hapana huo ni usumbufu.
hela zangu bado nisumbuke.
Kunatakiwa angalau kuwepo na mfumo wa kuzuia kutoa pesa mara tu uipokeapo kwa angalau dakika 10, ili kuwezesha mtumaji kama amekosea aweze kuwasiliana huduma kwa wateja na pesa irudishwe
Umeshawahi kuuguwa kichaa? Unafahamu maana ya mtu anapokuwa na dharura na anatuma pesa sehemu? Usubiri dakika 10 ili iweje wakati kabla ya kutuma unaoneshwa mpaka jina la unayemtumia?Kunatakiwa angalau kuwepo na mfumo wa kuzuia kutoa pesa mara tu uipokeapo kwa angalau dakika 10, ili kuwezesha mtumaji kama amekosea aweze kuwasiliana huduma kwa wateja na pesa irudishwe
Kwa kufanya hvyo unachelewesha biashara za watu. Wakati unatuma pesa Mara nyingi anayetumiwa huwa anaulizwa ni jina gani litakalo jitokeza, pia kuhakiki namba ya sim unayotumia hela lakin pia kuna kipengele cha kuthibitisha kuwa unatuma hela kwa flani. Swala LA vodacom kujua aliyetumiwa hela sio mlengwa sio rahisi the simple reason ni kuwa umethibitisha kabla ya kutuma. Kitu vodacom wanachoweza kufanya ni kuzizuia hizo hela ikiwa tu alizipokea hajawahi kuzitoa pili kuwasiliana naye na kumweleza kuwa amepokea pesa ambazo hakupaswa kuzitoa, tatu kuiseti account yake ikiwa tu pesa zimeingia basi wanafanya direct deduction na kumrefund mhusika. Asante sana karibu vodacom
Asante sana, Kuna la kujifunza!Na siku hizi kwa mpesa hatua ya mwisho ni kuhakiki jina la mtu unayemtumia pesa. Nafikiri ni ngumu kwa jina la mtumiwa kimakosa kufanana na lile sahihi lililokusudiwa.
Umemtumia shilling ngapi?Walichoniambia MPESA nimwombe mwizi arudishe hela zangu na ameamua kukaa kimya.
Jina la mwizi ni SAMWELI DEU MWENYE NAMBA 0759548421 na anaolafudhi ya kisukuma yet wanajidai hawawezi kumpata
Nikuulize... wewe ni binaadam ama ni malaika..??Umeshawahi kuuguwa kichaa? Unafahamu maana ya mtu anapokuwa na dharura na anatuma pesa sehemu? Usubiri dakika 10 ili iweje wakati kabla ya kutuma unaoneshwa mpaka jina la unayemtumia?
Kwa akili zako ndogo kama za kuku ulitaka iwe mtu anakuuzia bidhaa kwa Mpesa halafu ukiondoka unawithdraw pesa yako?Vodacom wapuuzi sana. Wameshindwa hata kuweka withdraw code ambazo angekuwa anatumiwa anayetuma pesa naye anamtumia aliyemtumia pesa kwa msg ya kawaida.
Upuuzi na ujinga sana
Voda wako ovyo kwenye huduma kwa wateja especially ukiwa na shida... kama hayajawahi kukukuta unaweza ukabisha....Nadhani huwa unapata Ujumbe kuwa Hakikisha Namba Kabla ya kutuma Fedha zako, Makosa ni yako hapo sio yao!
Nakushauri nenda kwenye ofisi zao kama upo maeneo ambayo ni mjini.... unaweza ukapata msaadaNimetuma hela kwa mtu anaitwa Samweli Deus kimakosa na in ten minutes nikawapigia MPesa kwa dial 100 na niliongea na dada aliyeko kitengo cha lugha ya Kiingereza na akaniambia nimpe receipt number ya hiyo transaction. Amekuwa fasta kucheki na kuniambia niliyemtumia hela ameshazichukua kwa wakala na THEY CAN DO NOTHING na itanibidi mimi nimpigie mwizi wa hela zangu na akikataa niripoti polisi. Hii ilikuwa accident na sijawahi kosea tangu nianze kutumia hii huduma. Nimesikitika kuwa MPESa haina mechanism ya security kuhakikisha watumiaji wa huduma hawaibiwi. Kwao wanahesabu wamefanya business bila kujali mteja kaibiwa;. Nimejiuliza maswali yafuatayo:
1. VODA hawana uwezo wa kumtrack mteja wao aliyewaibia wateja wengine?
2. Namba ya aliyechukua hela zangu ni 0759548521 inakuwaje Vodacom wanashindwa kunisaidia kupata hela zangu na badala yake kuniambie is non of their business.
3. TCRA inawabanaje hawa wenye kutoa hizi huduma kuhakikisha fedha za mteja hazichopolewi hata pale anapokosea namba au ni kilio cha samaki.
4. Im sure voda wanamjua hata wakala aliyetoa hela na ni rahisi kwa wao kumtumia kumtia mbaroni mwizi ; how come hawataki kujishughulisha na kumwachia aliyeibiwa afanye negotiation na mwizi?
5. Aliyeibiwa yuko Arusha na aliyeiba yuko kanda ya Ziwa na wao wana muscles za kufuatilia nchi nzima ni kwa nini tusione kuwa MPESA siyo salama?
Naomba tusaidiwe hata kama tulikosea ili kupata hela zangu na bado ninaamini wana uwezo wa kufanya hivyo onlu nimekutana tu na VERY WRONG IRRESPONSIBLE AND SHORTSIGHTED STAFF.
Hilo lawezekana, ila kwa case ya Mtoa post.. sioni shutuma inayowastahili Vodacom!Voda wako ovyo kwenye huduma kwa wateja especially ukiwa na shida... kama hayajawahi kukukuta unaweza ukabisha....
Hayajawahi kukupata ndio maana unasema hivo....sasa hatakiwi kusema M-pesa sio salama!
exactTunatumia pia Paypal kuagiza vitu nje kwa mtu usiyemfahamu kabisa na kama akichukua fedha zako bila kutuma item anafuatiliwa popote alipo duniani na atakamatwa
Unayetuma unatakiwa kuwa makini.Asisingizie voda kwa tatizo lake la kutokuwa makiniDu kumbe hata jina la mwizi umewapa. Huu ni uzembe
Utaratibu uko hivyo, ila maranyingi kama mtu amechukua hela nyingi anatupa kabisa simcardHakuna wizi hapo, umekosea mwenyewe so ni suala la umakini wako na intergrity ya mpokeaji. But one thng angalau voda wangefanya ni Wangeweka utaratbu wa kuingiza deni kwenye line ya aliyepokea kimakosa ili siku akipokea hela ikatwe kufidia kiasi kile.
Mifano yako haifanani mkuu... je ni kwanini tunasajili line za simu????Mkuu Hapo usiwablame Voda hata kidogo hata Mimi niliwahi kukosea Japo ka elfu hamsini ila ikapotea kwa sababu Muhusika aliitoa, ni sawa na wewe udondoshe Fedha kisha useme kwanini Polisi wasimtafute aliyeziokota!
Polisi pia wanataka pesa.Voda hawana makosa, sasa kama mwizi ameshaitoa pesa unafikiri watakusaidia kuirudisha?!!! Ingekua bado haijatolewa wangekusaidia , option iliyopo ni kuwasiliana na huyo mtu uliyemtumia kimakosa akurudishie pesa zako akikataa nenda kamripot namba yake, police ndo watajua watamkamataje
PayPal inafanya kazi Tanzania?Tunatumia pia Paypal kuagiza vitu nje kwa mtu usiyemfahamu kabisa na kama akichukua fedha zako bila kutuma item anafuatiliwa popote alipo duniani na atakamatwa