Nimetumia jana iko poaKwa wateja wa hii huduma he mnakumbana na tatizo la transactions kulipia huduma za mtandao .
Mimi kwangu Ina goma kila wakati haiwezi lipo tatizo sijui ni nini? na Voda wamekaa kimya
Nilifuta kadi nikatengeneza ingine lakini Tatizo liko vile vile
Je, wamesitisha huduma hii?
Je, Kuna tatizo la kiufundi?
Jaribu na wewe utupe mrejesho?
Habari mkuu nilipatwa na tatizo Kama hili ila pesa kwangu haijarudi Leo siku ya tano, vipi ya kwako ilirudi?Nikweli kuna tatizo.
Hata mimi juzi usiku nilifanya transactions kulipia huduma online ikagoma,
Nikahisi tatizo la card, nikajaribu kuhamisha pesa kuzirudisha MPESA ila zikapotelea hewani,
Yaani kwenye Mastercard zilitoka na kwenye Mpesa hazikufika.
Niliwapigia customer care wakasema kuna tatizo la kimtandao na ni wateja wengi limewakumba hilo tatizo, hivyo wakaniomba nitulie baada ya siku tatu hela itarudi yenyewe kwenye Acc.
Mimi nilikutana na tatizo kama hilo, nikawasiliana nao Vodacom kupitia WhatsApp, nikawaeleza na kuwatumia details zangu ndani ya masaa 72 tatizo likaisha sasa hivi naendelea kuitumia kama kawaida.Kwa wateja wa hii huduma he mnakumbana na tatizo la transactions kulipia huduma za mtandao .
Mimi kwangu Ina goma kila wakati haiwezi lipo tatizo sijui ni nini? na Voda wamekaa kimya
Nilifuta kadi nikatengeneza ingine lakini Tatizo liko vile vile
Je, wamesitisha huduma hii?
Je, Kuna tatizo la kiufundi?
Jaribu na wewe utupe mrejesho?
KIUKWELI WANA SHIDA, HATA UKIWAPIGIA WANATOA MAELEKEZO YALE YALE YALIYOSHINDIKANA. IKISHAEXPIRE TU KURENEW NI KAZI KWELI KWELI.Kwa wateja wa hii huduma he mnakumbana na tatizo la transactions kulipia huduma za mtandao .
Mimi kwangu Ina goma kila wakati haiwezi lipo tatizo sijui ni nini? na Voda wamekaa kimya
Nilifuta kadi nikatengeneza ingine lakini Tatizo liko vile vile
Je, wamesitisha huduma hii?
Je, Kuna tatizo la kiufundi?
Jaribu na wewe utupe mrejesho?
Njia nzuri ni kuwasiliana nao kwa WhatsApp, kupiga inaweza kuleta changamoto.KIUKWELI WANA SHIDA, HATA UKIWAPIGIA WANATOA MAELEKEZO YALE YALE YALIYOSHINDIKANA. IKISHAEXPIRE TU KURENEW NI KAZI KWELI KWELI.
Ni wiki ya tatu sasa, Nilitoa hela toka kwenye card kuja mpesa lakini haikufika nimesha wasiliana nao mara kibao hawatatui tatizo. Hela ilishatoka Mpesa Mastercard, ila kwenye mpesa acc haijafika.Nikweli kuna tatizo.
Hata mimi juzi usiku nilifanya transactions kulipia huduma online ikagoma,
Nikahisi tatizo la card, nikajaribu kuhamisha pesa kuzirudisha MPESA ila zikapotelea hewani,
Yaani kwenye Mastercard zilitoka na kwenye Mpesa hazikufika.
Niliwapigia customer care wakasema kuna tatizo la kimtandao na ni wateja wengi limewakumba hilo tatizo, hivyo wakaniomba nitulie baada ya siku tatu hela itarudi yenyewe kwenye Acc.
Hata Mimi mkuu nilipata shida hiyo leo Ni siku ya 7,nikiwapgia wanambia kuwa mvumilivu, mara Kuna watalaam kutoka nchi za nje ndo tunawasubiri waje kughulikia tatizo yaani ahadi Kila siku.Ni wiki ya tatu sasa, Nilitoa hela toka kwenye card kuja mpesa lakini haikufika nimesha wasiliana nao mara kibao hawatatui tatizo. Hela ilishatoka Mpesa Mastercard, ila kwenye mpesa acc haijafika.
Utanipa mrejesho mkuuBado haijarudi mkuu... Nataka j3 niende makao makuu
Sijui tuwafungulie Kesi ya wizi, Mana huu ni wizi wa waziwaziHata Mimi mkuu nilipata shida hiyo leo Ni siku ya 7,nikiwapgia wanambia kuwa mvumilivu, mara Kuna watalaam kutoka nchi za nje ndo tunawasubiri waje kughulikia tatizo yaani ahadi Kila siku.
Hii ndio takataka sasa! Hata refunds haikubari kupokea ikitokea unataka refund either Aliexpress ni kuhesabu maumivu tu...Tumieni Airtel money MasterCard ni bomba mnoo
yamenikuta mkuu vipi ilirudi iyo hela mana wameshachukua 85000 yangu dahNi wiki ya tatu sasa, Nilitoa hela toka kwenye card kuja mpesa lakini haikufika nimesha wasiliana nao mara kibao hawatatui tatizo. Hela ilishatoka Mpesa Mastercard, ila kwenye mpesa acc haijafika.
Mbona mimi sijawahi Pata hili tatizo? Refund na kutoa hela baina ya Mpesa na card inakubali tu.Haya ma card yao bana yanataka uweke hela na kuifanyia manunuzi/malipo online.......BASI
Lakini linapokuja swala la kupokea hela au kutoa/withdraw kwenye kadi....... hakuna rangi utaacha kuiona
Mfano ukitumiwa hela/refund kuingia kwenye kadi ni kipengele
Na ukiwa na hela kwenye kadi utake kuitoa/withdraw ni kipengele pia
Mbona mimi sijawahi Pata hili tatizo? Refund na kutoa hela baina ya Mpesa na card inakubali tu.
Wanachoniboa sasa hivi ni hio 4% fee, ina scale vibaya mno, milioni ujue ni 40,000 hio plus kodi za serikali, shipping fees, na gharama nyengine za ajabu ajabu mwisho wa siku kitu cha 40,000 kina kuwa 80,000
Mbona mimi sijawahi Pata hili tatizo? Refund na kutoa hela baina ya Mpesa na card inakubali tu.
Wanachoniboa sasa hivi ni hio 4% fee, ina scale vibaya mno, milioni ujue ni 40,000 hio plus kodi za serikali, shipping fees, na gharama nyengine za ajabu ajabu mwisho wa siku kitu cha 40,000 kina kuwa 80,000
yan kwa upande wangu ni kwamba naweka ela nilipie matangazo km kawaida sasa kwa mfumo wa vodacom ni lazima uzitoe pesa kutoa m pesa to master card nikatoa 85000 ili nilipie matangazo yawake tena cha ajabu m pesa ela imetolewa ila master card haijaingia so ipo ewan master haipo na m pesa haipo nimewacheki viswahili vingi eti baada ya siku 8 nikaamua ntumie airtel mana wao ukiweka katika airtel money ndoo master card so hakunakuamisha tena ndo nikalipia tenaso ni km 85000 yangu wanayo voda natamani hata ningekua na namba ya magufuli nimpigie mana ni wizi haiwezekan ipite wiki wakati hela aijatumika popote vodacom wezi huu ni wizi kabisaMbona mimi sijawahi Pata hili tatizo? Refund na kutoa hela baina ya Mpesa na card inakubali tu.
Wanachoniboa sasa hivi ni hio 4% fee, ina scale vibaya mno, milioni ujue ni 40,000 hio plus kodi za serikali, shipping fees, na gharama nyengine za ajabu ajabu mwisho wa siku kitu cha 40,000 kina kuwa 80,000
Irudi wapi, Niliamua kuachana nao mana Nawasiliana nao kila mara wananitumia ujumbe tatizo limetatuliwa ila nikiangalia salio halionekani. Hiyo ni hela nyingi mkuu, Komaa nao ikiwezekana Nenda onana na Meneja wao na waambiae utawachukulia hatua.. la sivyo inapotea mkuuyamenikuta mkuu vipi ilirudi iyo hela mana wameshachukua 85000 yangu dah