DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,636
- 81,533
Lyatonga Mrema , Maalim Self, Lipumba, Mbowe , Mama Tanzania pamoja na Zitto je historia ya Tanzania itawakumbukaje hawa watu ?.
.
.
Ahaaa hakikaMtoe Maalim seif .
Hao wengine wote Majukum juu ya Majukumu. 🤣🤣Mama Tanzania anaongeaga kwa Uchungu sana kama kweli Ref kifo Cha Dr Mvungi
No 1 mpaka 4 walikubali kuketi meza moja na ibilisi shetani .. Wakapoteza kila kitu..Lyatonga Mrema , Maalim Self, Lipumba, Mbowe , Mama Tanzania pamoja na Zitto je historia ya Tanzania itawakumbukaje hawa watu ?.
.