Mkuu siasa za Bongo ndio hizo.. Lwakatare hawezi kujisafisha ikiwa hakuna madai ya tuhuma hizo wazi. Alichokifanya ni kuwasilisha tuhuma hizo kama zilivyotoka na kama umesoma vizuri hotuba zote zimekuwa zikimlenga Mh. Mwenyekiti na wajumbe waliohudhuria kupata jibu japo ufafanuzi..Je, kwanini Mh Lwakatare hajisafishi katika tuhuma ambazo aliambiwa kuwa alifanya ubadhirifu wa fedha ya chama?
Kukaa kimya maana tutaelewa kuwa tuhuma zilikuwa ni za kweli.
Pundamilia07,
Mkuu siasa za Bongo ndio hizo.. Lwakatare hawezi kujisafisha ikiwa hakuna madai ya tuhuma hizo wazi. Alichokifanya ni kuwasilisha tuhuma hizo kama zilivyotoka na kama umesoma vizuri hotuba zote zimekuwa zikimlenga Mh. Mwenyekiti na wajumbe waliohudhuria kupata jibu japo ufafanuzi..
Ina maana kama kungekuwa na jibu la hoja zake Mwenyekiti au wajumbe wangesherehesha lakini kama ilivyoandikwa hoja zote za Lwakatare ni simulizi ama vile alivyoambiwa na watu fulani.. Hakuna mtu ndani ya CUF anakubali kusimama na kutoa shutuma hizo dhidi ya Lwakatare wala kusimamisha madai hayo kama mshuhuda..Kifupi Lwakatare kisha tafutiwa FITNA, and he has to go!.. katika siasa za fitna siku zote hakuna masimulizi wala explanations.. watu hawawezi kukutazama machoni, Ukianzisha tu watu hugeuza shingo zao wakaondoka.. life goes on!
Pundamilia07,
Mkuu siasa za Bongo ndio hizo.. Lwakatare hawezi kujisafisha ikiwa hakuna madai ya tuhuma hizo wazi. Alichokifanya ni kuwasilisha tuhuma hizo kama zilivyotoka na kama umesoma vizuri hotuba zote zimekuwa zikimlenga Mh. Mwenyekiti na wajumbe waliohudhuria kupata jibu japo ufafanuzi..
Ina maana kama kungekuwa na jibu la hoja zake Mwenyekiti au wajumbe wangesherehesha lakini kama ilivyoandikwa hoja zote za Lwakatare ni simulizi ama vile alivyoambiwa na watu fulani.. Hakuna mtu ndani ya CUF anakubali kusimama na kutoa shutuma hizo dhidi ya Lwakatare wala kusimamisha madai hayo kama mshuhuda..Kifupi Lwakatare kisha tafutiwa FITNA, and he has to go!.. katika siasa za fitna siku zote hakuna masimulizi wala explanations.. watu hawawezi kukutazama machoni, Ukianzisha tu watu hugeuza shingo zao wakaondoka.. life goes on!
Mwisho aliwauliza watu waliohudhuria mkutano huo je wanaonaje aendelee kukaa katika chama cha CUF au ahamie Chadema? Umati mkubwa sana uliokuwa umehudhuria ni watu wawili tu walionyoosha mkono kwamba aendelee kubakia CUF na wengine wote katika mkutano walinyoosha mkono walipoulizwa ni wangapi wanataka ahamie Chadema.
Kwanza nikushukuru Mkuu kwa kutujuvya habari hii. Lakini mbona imekaa kushotokushoto, nikimaanisha kuwa maeneo niliyoyapigia mstari na italiki katika stori yako. Nilipata kajifikra kuwa huwenda ww umejaaliwa sana mwenzetu na macho ya uoni wa mbali, kiasi kuwa umeweza katika "umati mkubwa sana uliokuwa umehudhuria", kubaini mikono ya watu wawili tu, na tena umati huo wooote uliuona ukinyooosha mikono ukitaka Mh. Lwakatare ahamie CHADEMA.
Kwanza nikushukuru Mkuu kwa kutujuvya habari hii. Lakini mbona imekaa kushotokushoto, nikimaanisha kuwa maeneo niliyoyapigia mstari na italiki katika stori yako. Nilipata kajifikra kuwa huwenda ww umejaaliwa sana mwenzetu na macho ya uoni wa mbali, kiasi kuwa umeweza katika "umati mkubwa sana uliokuwa umehudhuria", kubaini mikono ya watu wawili tu, na tena umati huo wooote uliuona ukinyooosha mikono ukitaka Mh. Lwakatare ahamie CHADEMA.
Umenena vyema!! Mkutano ulikuwa wa chama cha CUF, na wanachama wote wa CUF isipokuwa wawili tu walimtaka ahamie Chadema, hapo kuna walakini wa kuripoti au habari amekuwa exagerated kwa malengo maalumu, hata kama kuna chembe ya ukweli ndani yake.
Mkuu mm sipingi.Wawili=abaki CUF
Waliobaki wote=aende chadema
Mbona mgumu wa kuelewa mkuu? Kweli inaumiza kwa ndugu zangu wana kafu lakini ndio ukweli tena ukweli mtupu. Fuatilia. Hiyo ndio Bukoba. Tafuta source zako mwenyewe toka Bukoba kuhakiki habari hii, usianze kupinga tu.
MF