Lwekatare wa CUF kuhamia CHADEMA

Hivi ukivaa chupi iliyotoboka watu barabarani watajuaje?
CCM ina migogoro, tena siyo myepese. Ila tofauti ya CCM na hivi vyama ''vya upinzani'' ni kwamba hivi vyama havijui siri ya kuvaa chupi iliyotoboka. Wanavaa chupi iliyotoboka halafu wanaanza kujitetea, oooh hili tundu ndio mtindo wake! tusingejua kama kuna tundu iwapo msingeliweka hadharani.
Tumeshachoshwa na migogoro sasa, ''vyama vya upinzani'' migogoro yenu ongeeni kwenye vikao vyenu, mkija hadharani tujadili mikakati ya kuendeleza umma.
 
Wakuu nimejaribu kumsoma huyu bwana na maandiko yake mengi lakini sijaona chochote cha kusema kinanistua... sio kwamba nakuwa mean lakini nimeona amelalamika zaidi ya kusema kile ambacho anafikiri kitarekebisha hali iliyomtokea.Halafu sehemu kubwa ya andiko lake imenifanya kuona kuwa huyu bwana he is selfish sana yaani ni kujiongelea yeye tu na matatizo yake.Nani amemwambia kuwa kuendesha VX ndio kuonekana nadhifu?Hii thinking yake kuwa yeye ana matatizo na kuamua kurudia rudia kua aliacha kazi kwa notisi ya masaa 24 na kuachia mishahara yake (As if hiyo mishahara ilikua ni mamilioni!!) imenifanya nimshangae sana huyu bwana.

Ni mawazo yangu tu

I guess tatizo la Mheshimiwa ni kubwa sana kiasi cha CUF kuona njia pekee ya kumnusuru ni kumuondoa katika wadhifa huo bila ya kumtaka ajiuzulu mwenyewe. Kisiasa Lwakatare anaonekana ni potential katika CUF, lakini hadi wamefikia hatua ya kusema mwenzetu kwenye kiti hiki basi, ujue tuhuma zake za ubadhirifu ni nzito sana.
Nachelea kuwapongeza CUF kwa kuliona hilo na kuchukua hatua mapema ili kukinusuru chama chao ambacho kwa upande wa bara kimedorora sana.
 
Wakuu nimejaribu kumsoma huyu bwana na maandiko yake mengi lakini sijaona chochote cha kusema kinanistua... sio kwamba nakuwa mean lakini nimeona amelalamika zaidi ya kusema kile ambacho anafikiri kitarekebisha hali iliyomtokea.Halafu sehemu kubwa ya andiko lake imenifanya kuona kuwa huyu bwana he is selfish sana yaani ni kujiongelea yeye tu na matatizo yake.Nani amemwambia kuwa kuendesha VX ndio kuonekana nadhifu?Hii thinking yake kuwa yeye ana matatizo na kuamua kurudia rudia kua aliacha kazi kwa notisi ya masaa 24 na kuachia mishahara yake (As if hiyo mishahara ilikua ni mamilioni!!) imenifanya nimshangae sana huyu bwana.

Ni mawazo yangu tu

Mzee kumbuka huyu ni mhaya kwa hiyo pompous ni lazima awe nazo.....
 
Hii barua kweli ni LWAKATARE? mbona sioni dalili yoyote hapa kama ni yake? any how ikiwa ni kweli,nafkiri amejitete sana at the same time amejikandia bila kujua yeye mwenyewe, ALIKUWEPO WAPI KATIKA KUIMARISHA CHAMA UPANDE WA BARA WAKATI YUPO KWENYE UONGOZI? kwa nini atetee suala la kujiuzulu viongozi wakati wa uchaguzi wa Busanda hali ya kuwa ni kweli uzembe umefanyika? nafkiri huu ni mwanzo wa mabadiliko ktk CUF na natumai sasa wameamua kuhakikisha wanasafisha chama na kuweza kuchukuwa dola,imeanza kwa Lwakatare imefatia kwa hao wa busanda na sasa ni kazi moja tu.. Ila nampongeza Lwakatare kwa kuamua kurudi jimboni kuhahakisha anarudisha jimbo lake..
 
Wilfred, hawa kafu ni wa kufa tu. Achana nao. Na anayependekeza uungane na Lyatonga eti pamoja mkomboe nchi, amesahau huyu mangi kasahau demokrasia kabisa, kiasi cha kuita Mkutano Mkuu wa TLP wa watu 163 aliowachagua binafsi.

Ungana na Chadema ushiriki kikamilifu ktk vita dhidi ya mafisadi. Tunajua umahiri wako tangia ukiwa Bungeni. You are of their calibre.
 
Wapendwa wana ukumbi, JF
Napenda kuwafikishia salamu za utangulizi juu ya kujiunga rasmi kwa aliyekuwa mbunge wa Bukoba mjini kwa tiketi ya CUF mwaka 2000-2005 hapa jukwaani, JF
Mh. Lwakatare atafanya hivyo kesho mida ya mchana. Kama ilivyo ada na utamaduni tunaoujenga hapa jukwaani, tunaombwa kumkaribisha mgeni huyu mwenye hazina muhimu kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu.
Binafsi natanguliza shukrani kwa Mh. Lwakatare kwa kukubali mwaliko huu ili aweze kuzungumza moja kwa moja na Watanzania walio katika majukwaa ya mitandao.
MawazoMatatu,
Natumaini alitimiza
Ameingia kwa ID gani? Tungependa kujua ili afafanue vizuri bandiko katika thread hii.
 
Mi nilishaanza kumhisi tangu jana

Masanilo na Mpita Njia pamoja na wana JF kwa ujumla,

Naomba kuweka bayana kuwa Omutwale si Lwakatare bali nakubaliana na Lwakatare katika baadhi ya masula ya kisiasa na movements zenye mlengo wa kimaendeleo.

Baada ya kujitambua kuwa nina extreme affection na Lwakatare sikupenda kabisa kuwa mchangiaji katika hii thread. Maana nilijua kwa ukweli kabisa kuwa siwezi kuwa neutral. Sipendi kuwabore kama yule ndg yetu ambaye akipenda mtu hataki asemwe vibaya.

Ukinifanya mimi kuwa Entare (yaani simba kama anavyoitwa BK) unanipa hadhi ya juu sana katika jamvi hili ambayo kulingana na taaluma yangu kwa nadra nitaifikia kabla ya kurudi ardhini. Yote yanawezekana, lakini si Omutwale kuwa Entare Lwakatare
 
Sipendi kuwabore kama yule ndg yetu ambaye akipenda mtu hataki asemwe vibaya.

Kubaliana na wewe kabisa jamaa huwa anabore sana

Lakini Bro kuna ule wimbo wa Bob Marley aliweka maneno makali sana "You can fool people for sometime BUT not all the time. Wanaohisia sidhani kama wako mbali na ukweli

Kila laheri Omutwale Entare aka..........................!
 
Kubaliana na wewe kabisa jamaa huwa anabore sana

Lakini Bro kuna ule wimbo wa Bob Marley aliweka maneno makali sana "You can fool people for sometime BUT not all the time. Wanaohisia sidhani kama wako mbali na ukweli

Kila laheri Omutwale Entare aka..........................!

Look down here:

Omutwale
Join Date: Mon Feb 2008
Posts: 144
Thanks: 54
Thanked 117 Times in 48 Posts
Rep Power: 22
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif

Credits: 346,873,775

Man, understand me! I have been here long time kitambo. Kwa nini nitake attention kama mie ndiye Lwaks?
 
Look down here:

Omutwale
Join Date: Mon Feb 2008
Posts: 144
Thanks: 54
Thanked 117 Times in 48 Posts
Rep Power: 22
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif

Credits: 346,873,775

Man, understand me! I have been here long time kitambo. Kwa nini nitake attention kama mie ndiye Lwaks?

Usikonde mazee Time will tell as it been so since memorial era!
 
Mimi sio kuwa namtetea Rwakatare, lakini mtu akiachishwa hata kama hajamtaharifu si anapewa chake kulingana na taratibu na kama ameiba wamwambie basi uiliiba hauna chako hapa ili arudi kwao kulima.

Jamani swala ni taratibu zilizotumika hapa, kama chama chenyewe hakina madaraka wanaburunda namna hii kikipata madaraka si itakuwa hatari, ndio maana sometimes watu wanaona ni bora zimwi likujualo kuliko jipya kabisa maana hata jinsi ya kuishi nalo hutaju

Kwa hali kama hii CCM will rule forever in Tanzania and will get support from all kind of people unless hivi vyama uchwara vijue jinsi ya kufuata taratibu za uongozi ndani ya vyama vyenyewe.
 
Mimi sio kuwa namtetea Rwakatare, lakini mtu akiachishwa hata kama hajamtaharifu si anapewa chake kulingana na taratibu na kama ameiba wamwambie basi uiliiba hauna chako hapa ili arudi kwao kulima.

Jamani swala ni taratibu zilizotumika hapa, kama chama chenyewe hakina madaraka wanaburunda namna hii kikipata madaraka si itakuwa hatari, ndio maana sometimes watu wanaona ni bora zimwi likujualo kuliko jipya kabisa maana hata jinsi ya kuishi nalo hutaju

Kwa hali kama hii CCM will rule forever in Tanzania and will get support from all kind of people unless hivi vyama uchwara vijue jinsi ya kufuata taratibu za uongozi ndani ya vyama vyenyewe.


Wewe wasema nini? wao wakishindwa wanayo kauli mbio mpya ya kuwa wakaelimishwe wanakijiji.
 
........ kulingana na taratibu na kama ameiba wamwambie basi uiliiba hauna chako hapa ili arudi kwao kulima.


Jamco_Za,

Rejea mahojiano kati ya M/Kiti Prof. Ibrahim Lipumba na waandishi wa Habari wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya Lwakatare kujiuzuru.

Katika kipande cha mahojiano ambacho kimenukuliwa ndani ya MwanaHalisi ya wiki hii (siyo la kesho), Prof. amesema wazi kuwa Lwakatare amejiuzuru pasipo msukumo wa mtu au shuruti kwa sababu HAKUWA NA SHUTUMA YOYOTE.
 
Jamco_Za,

Rejea mahojiano kati ya M/Kiti Prof. Ibrahim Lipumba na waandishi wa Habari wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya Lwakatare kujiuzuru.

Katika kipande cha mahojiano ambacho kimenukuliwa ndani ya MwanaHalisi ya wiki hii (siyo la kesho), Prof. amesema wazi kuwa Lwakatare amejiuzuru pasipo msukumo wa mtu au shuruti kwa sababu HAKUWA NA SHUTUMA YOYOTE.

Mkuu Omutwale,
Mbona maelezo ya Lwakatare yanatofautiana na hayo yaliyotamkwa na Mwenyekiti wake kwenye mahojiano?
Ni kwa vipi Mh Lwakatare alisahau kuhoji hiyo kauli ya Mwenyekiti wake katika maelezo yake tuliyonayo hapo juu? Was it an oversight? or was he overwhelm na jambo jingine?
 
Mkuu Omutwale,
Mbona maelezo ya Lwakatare yanatofautiana na hayo yaliyotamkwa na Mwenyekiti wake kwenye mahojiano?
Ni kwa vipi Mh Lwakatare alisahau kuhoji hiyo kauli ya Mwenyekiti wake katika maelezo yake tuliyonayo hapo juu? Was it an oversight? or was he overwhelm na jambo jingine?

Sijakupata vizuri jinsi gani yanatofautiana. Labda ni vema kujua nani alitangulia kutoa maelezo na hivyo kupata msingi wa nani angeweza kujibu hoja za mwenzie.

Lwakatare alitoa haya maelezo wakati anawasilisha barua ya kujiuzuru tarehe 9 June, 2009. M/Kiti Prof. Lipumba akaitisha press conference siku zilizofuata baada ya maelezo ya Lwakatare. Ningefikiri kwamba Prof. ndiye alikuwa anajibu hoja za maelezo ya Lwakatare
 
Sijakupata vizuri jinsi gani yanatofautiana. Labda ni vema kujua nani alitangulia kutoa maelezo na hivyo kupata msingi wa nani angeweza kujibu hoja za mwenzie.

Lwakatare alitoa haya maelezo wakati anawasilisha barua ya kujiuzuru tarehe 9 June, 2009. M/Kiti Prof. Lipumba akaitisha press conference siku zilizofuata baada ya maelezo ya Lwakatare. Ningefikiri kwamba Prof. ndiye alikuwa anajibu hoja za maelezo ya Lwakatare

Oh, nimekupata vizuri mkuu, kumbe hayo maelezo aliyatoa baada ya kujiuzulu hivi karibuni.
tuko kwenye page moja.

Je, kwanini Mh Lwakatare hajisafishi katika tuhuma ambazo aliambiwa kuwa alifanya ubadhirifu wa fedha ya chama?
Kukaa kimya maana tutaelewa kuwa tuhuma zilikuwa ni za kweli.
 
Je, kwanini Mh Lwakatare hajisafishi katika tuhuma ambazo aliambiwa kuwa alifanya ubadhirifu wa fedha ya chama? Kukaa kimya maana tutaelewa kuwa tuhuma zilikuwa ni za kweli.


Baada ya kujitambua kuwa nina extreme affection na Lwakatare sikupenda kabisa kuwa mchangiaji katika hii thread. Maana nilijua kwa ukweli kabisa kuwa siwezi kuwa neutral. Sipendi kuwabore kama yule ndg yetu ambaye akipenda mtu hataki asemwe vibaya.
By Omutwale
 
Mkuu ulisema haya:-

Natumaini alikwisha elezwa hilo. Na nilifurahi kusikia kuwa anawajua hata wale waliojaribu kuingia na majina yao, wakakaribishwa, wakachangia lakini kilipoanza kibano, wakaacha ku-log-in kwa hayo majina. Miongoni mwao ni "Dowans", etc

Halafu tena haya:-

Nina hakika alifika hapa jukwaani jana.

Kwa leo na siku 2-3 zinazokuja natumaini atakuwa busy kujiandaa na safari ya kwenda BK kupata ushauri wa wananchi juu ya nini afanye na nini kifuate.

Wananchi watampa majibu juu ya kwa nini ahame CUF, na wanataka ahamie chama gani.

Sasa kwa kifupi tu ni kwamba jamaa yako hajajiunga na jamvi nimeangalia list nzima ya members humu hakuna mwenye jina la Wilfred Lwakatare wala Lwakatare Wilfred wala Rwakatare Wilfred na kama kajiunga basi kajiunga na jina bandia jambo ambalo linapingana na quote yako ya kwanza hapo juu!

Hivyo inanifanya nifikilie mambo mawili

Mosi: Pengine hakukuagiza utangaze humu kua atakuja bali kwa ushabiki wako uliamua tu kutangaza
Pili: Kama la kwanza si kweli basi Jamaa yako si mtu wa kutimiza ahadi zake kama ulivyotuaminisha hapo awali
Ushauri: Usitukane mamba kabla hujavuka mto! Ulimkejeri Zito kua anakimbia sasa hii ya huyu jamaa yako tuiiteje? Unafikiri Zito ye hayuko busy na wananchi anaowawakilisha?
 
Back
Top Bottom