Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Mkuu mm sipingi.
Huo umati ulioelezea hapo ni mkubwa mno kiasi kuwa hawa wawili tu ndio uliwaona ww (au umehadithiwa Mkuu?) pia si vibaya ushatusaidia, halafu zaidi heading inasema "wananchi wa Bukoba wataka...." wakati mkutano ni wa CUF waliohudhuruia hapo ni wanachama wa CUF(au niseme ni wa Lwakatare),halafu mkuu unaapa? unasema "...ukweli mtupu..."
*Nani alikwambia kwamba mkutano wa hadhara unahudhuriwa na wananchi wa chama kimoja?. Kwa taarifa yako watu walionipa taarifa ni wanachama wa vyama 3 maarufu nchi hapa ikiwamo sisi M.
*Nimeshakwambia kuwa nimehadithiwa mkuu kama ninavyokuhadithia mimi. Lakini nina source zaidi ya moja.
*Kwa habari ya heading unaweza kuweka unayoona inafaa lakini habaari ndiyo hiyo. Inaumiza lakini sasa ukweli nitaubadili uwe uongo?
*Hapa ndipo vyama vya upinzani mnatuacha hoi. Badala ya kuanza mikakati ya kuwekana sawa na mwenzenu kila kitu mnaona ni uongo.Na hapa ndipo Busanda iliwaponyoka.
*Haya basi subiri matokeo utajua MF alikuwa anasema nini. Au mpaka usome kwenye magazeti?