Lwakatare Video: Metadata Information Can Easily Reveal Secret

Nasikia polisi ipo nyingine baada ya hii kuonekana ina mapungufu
Hapo na mm ndipo niliposhituka aisee. Inamana walirekodi mara mbili kipande hicho hicho au recorders walikuwa wengi?? sasa kwann zitofautiane contents kama ilivyoelezwa????J3 jamaa ataachwa huru maana wanajua wakienda mbele watu wazima wataumbuka.
 
kama katumia kwenye internet cafe atapatikana kweli?

Kwa nini internet cafe ina-connect internet kupitia sayari ya Pluto?

Cyber criminals wrongly think that using an internet café would pretty much dust off their fingerprints.
 
Hakuna chama nachoweza kukuta bila kufanya umafia kwa maadui au watu hatari kwake kumbuka Kolimba nk ajabu nini hadi hii ionekane ni ajabu? Someni historia mtaona mifano mingi sana, hata hivyo hili nalo litawarudia magamba Kama like la kadi ya Slaa mmechemka mmetuma mambumbu wafanye kazi nyeti.
 
kila kitu kimenunuliwa kwa ajili ya kazi hiyo tuu mkuu, si unajua kunapesa zimewekwa kwa ajili ya propaganda, kwahiyo watu wanakuwa very smart mkuu!

haiwezekani ukweli ni kuwa tukishajua internet cafe tutatembela komputer zote na kuchukua finger print zote, tuki eka kwenye data base ya finger print tutapaat tu sample space.
hahaha
kifupi huezi kwepa kama kweli wakiamua ila ndio hivyo.
 
kwa hiyo mnataka kukataa kwamba yule sio lwakatare kwenye ile video au?maana hamueleweki naona toka juzi mnatapa tapa tu,hebu acheni sheria ichukue mkondo wake acheni kuweweseka,sheria ni msumeno haijali cha upinzani wala nini

Ungekuwa polisi unachunguza hii kesi, what would have been your lines of inquiries?

Yaani ungeichomoa tuu ile video YuouTube na kumpelekea kwa DPP kama ushahidi tosha wa kumtia hatiani mtuhumiwa?

Unadhani kweli ile video na yale maandishi machache pekee yanaweza kumtia hatiani mtuhumiwa?

Kuna ubaya wowote kama polisi wakitaka kuzungumza na aliye-upload ile video YouTube ili kuisadia polisi kwenye uchunguzi wao?

Mimi bado sijawelewa inakuwaje mtu ana video ya mtuhumiwa akipanga kufanya a deadly crime badala ya kupeleka sehemu husika anaishia kuiweka YouTube.

Labda ni udhibitisho kuwa hata huyo aliyeiweka hiyo video Youtube amekosa matumaini kabisa na vyombo vyetu vya ulinzi usalama?

Kwamba kutokana na kutokuwa na matumaini na polisi basi siku ukiona mwizi ananyemelea kuiba kwa jirani ni bora kumchukua video na kuiweka YouTube kuliko kumripoti sehemu husika.

By the way, na huyu alishakamatwa?

[video=youtube_share;T5-f1Ga_Hu0]http://youtu.be/T5-f1Ga_Hu0[/video]
 
Mimi kwanza siajona mantiki ya kumtafuta au kumkamata aliyeweka clip ya Lwakatare wakati yeye mwenyewe anahojiwa na kweli clip na picha ni yake
Sioni km kuna kosa kwa mimi kuipata clip ya hatari au mapenzi na kuiweka katika Mtandao ni kwani nini msiwakamate walioonekana
kuna thread nyingine humuhumu
JF inaonesha wameshapatikana
sasa mimi kwenye YOUTUBE KUWAWEKEA NINA MAKOSA GANI?
Nimekuwa nje ya suala hili. Hivi Lwakatare mwenyewe ameshaikana hiyo video au kuitolea maelezo kiasi cha kusababisha huu mjadala wa kwamba ni ya kughushi au sio kupamba moto?

Mungu mkubwa!

Habari za uhakika nilizozipata dakika kadhaa zilizopita zinasema mtuhumiwa mkuu wa utekaji na utesaji wa Kibanda, Ludovick Joseph, amekamatwa punde tu mjini Iringa.

Tulikotoka: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...u-siri-za-kutekwa-kibanda-hazitajulikana.html

UPDATE:



Kwa hio inaonekana jina lake lilitajwa kimakosa kwenye ile recording ya Lwakatare? na kama lilitajwa kwa makusudi inawezekana Lwakatare kamtaja au?
 
Hivi Mwigulu na Nape wanafahamu kuhusu metadata. Safari hii wataumbuka sana!
The only way to work out on this political ambiguity!

Metadata usually hide information that can embarrassingly lead to revelation of secrets resulting in leakage of business deals, hidden agendas and other crucial information, and hence a danger of exposing secrets which can be very costly!

It is known that (I will not put refs for now) even for reputable companies with server-based metadata removal, 10% of all information (provided they are in electronic form) going out of company server have metadata.

Metadata can reveal how an electronic file was created. Metadata for example can tell you whether this video was taken continuously from one place or just a combination of parts taken from different places in different times. It provides plenty of other information as well.

"One of the factors that distinguishes electronic documents from their paper counterparts and contributes to the complexity of electronic document records management is that electronically stored data is accompanied by metadata. Metadata "describes" the underlying data. It may include information such as what language it’s written in; where the data is stored; number of characters, pages and words; what tools were used to create it; when the data was created/modified and by whom." Reference: (E-discovery: What does your metadata reveal? : Municipal Association of SC)

I'm certain for large percentage, that this video is a forgery. The only way to clear this dilemma is to work it the clever way by extracting the meta information associated with the video file!

I'm convinced that there is little chance for people (who may also be not intelligent enough) who created this video to have ever thought of the meta info hidden in the file. And because the video is posted on internet, that means they cannot take it all back in order to remove metadata. Metadata can be extracted by just executing a small piece of code in the command prompt.

Yes, information should be submitted to the court as an evidence or let some geek do it before the public in the court so that everyone can witness!

Alternatively: Extract images from a video, then get EXIF (exchangeable image file) to analyze.
 
Nadhani badala ya kuongea sana, wataalam wa metadata humu jamvini wafanye kazi tujue ukweli. Maana kusema tu kuna njia hizo huku hatutaki kuzitumia haitasaidia chochote.
 
kwa hiyo mnataka kukataa kwamba yule sio lwakatare kwenye ile video au?maana hamueleweki naona toka juzi mnatapa tapa tu,hebu acheni sheria ichukue mkondo wake acheni kuweweseka,sheria ni msumeno haijali cha upinzani wala nini

Kuna sheria gani ktk nchi hii? mbona unaonyesha ukomo wa upeo wa uelewa wa vitu rahisi?.Ni sheria gani hiyo unayotaka kutuaminisha itachukua mkondo wake? sababu hakuna utawala wa sheria na uwajibikaji kwa kuzingatia epa, richmond, rada, jairo,mabillion ya uswis, meremeta,nk. nafikiri labda umekosea pengine hukumanisha mkondo labda tueleze. kama hatukubali ukweli na kuwa wa kweli basi hatutapata maendeleo ya kweli. wacha bla bla
 
Mkuu Tamar, wala usiwe na wasiwasi, kubaini genuinity ya ile clip wala hakuhitaji hata metal data, kama una mac, just save the video, then import kwenye final cut pro, creat time line, utaona kila kilichofanyika, utaona sound track kama ni original or impoted na kama ina continuity au ilikuwa imposed, utanirudia na kunishukuru kwa kuwaambia ukweli mapema!.

Pasco.

Una uhakika na unachokisema? unasave video file (.flv) then unaimport kwenye FCP, kweli?
 
Halafu tunalalamika Tz hatuna wasomi, welldone ukweli utafahamika coz naona kama tukio la Lwakatare linataka kuunganishwa na la Kibanda
 
kwa hiyo mnataka kukataa kwamba yule sio lwakatare kwenye ile video au?maana hamueleweki naona toka juzi mnatapa tapa tu,hebu acheni sheria ichukue mkondo wake acheni kuweweseka,sheria ni msumeno haijali cha upinzani wala nini

Tumia akili na sio kamas katka kufikri unadhani huo mchezo wa a e i o u,tatzo hapa sio picha ni ya nani hapa waelewa wanatafta kinachotamkwa na sio hivyo tu kwani walivyo tengeneza video ya bush kashikishwa ukuta na osama kwa akili zako ndogo ilikuwa kweli?
 
The only way to work out on this political ambiguity!

Metadata usually hide information that can embarrassingly lead to revelation of secrets resulting in leakage of business deals, hidden agendas and other crucial information, and hence a danger of exposing secrets which can be very costly!

It is known that (I will not put refs for now) even for reputable companies with server-based metadata removal, 10% of all information (provided they are in electronic form) going out of company server have metadata.

Metadata can reveal how an electronic file was created. Metadata for example can tell you whether this video was taken continuously from one place or just a combination of parts taken from different places in different times. It provides plenty of other information as well.

"One of the factors that distinguishes electronic documents from their paper counterparts and contributes to the complexity of electronic document records management is that electronically stored data is accompanied by metadata. Metadata "describes" the underlying data. It may include information such as what language it’s written in; where the data is stored; number of characters, pages and words; what tools were used to create it; when the data was created/modified and by whom." Reference: (E-discovery: What does your metadata reveal? : Municipal Association of SC)

I'm certain for large percentage, that this video is a forgery. The only way to clear this dilemma is to work it the clever way by extracting the meta information associated with the video file!

I'm convinced that there is little chance for people (who may also be not intelligent enough) who created this video to have ever thought of the meta info hidden in the file. And because the video is posted on internet, that means they cannot take it all back in order to remove metadata. Metadata can be extracted by just executing a small piece of code in the command prompt.

Yes, information should be submitted to the court as an evidence or let some geek do it before the public in the court so that everyone can witness!

Alternatively: Extract images from a video, then get EXIF (exchangeable image file) to analyze.

the uploaded file misses the metadata this makes the reality of the video to be in jeopardy.
 
65 Reactions
Reply
Back
Top Bottom