utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
hiyo video youtube inaitwaje
bukoba boy
hiyo video youtube inaitwaje
la muhimu zaidi wamkamate Nchemba na kumuuliza CD aliyonayo inafanana na hiyo kama akisema ni yenyewe yeye Nchemba ndio atatakiwa atoe maelezo ya kina.kama hakisema siyo basi alazimishwe kuitoa hiyo aliyonayo. tatizo liko wapi wakati hiyo ni kazi ya siku moja
Dua la kuku limepishana njia na mwewe,CHADEMA hakitakufa kirahisi hivi.Mwenyewe nimeona hicho kitu na hata yule dada aliyekwenda dirishani,utagundua ni distance ndogo kutoka kwa Lwakatare lakini bado tu mazungumzo yalikuwa yanaendelea kitu ambacho hakileti mantiki
Ukitaka kuamin kuwa swala hil bado lina utata mkubwa, anzisha thread yoyote yenye jina "Lwakatare", hazitapita dk 10, karibia nusu ya wana Jf watakuwa wameshaiView.
Hii ni kwasababu watu wana kiu ya kuupata ukweli
Nadhan hata ukiandika tu jina "Lwakatare" bado watu watamiminika tu.
Kwel tuna kiu na hil swala, lakn tusitegemee polis kutupa majibu mapema mana hawako huru kiutendaji (wanasubir amr za watawala) na teknolojia yao ipo chini sana.
Hii inaitwa Public Spinning Technics, houni watu wote masahau issue kubwa na muhimu ambayo serikali ilikuwa haina majibu. KUFERI KWA FORM IV na maandamano ya kuiwajibisha serikali. CHADEMA wameacha kabisa kuishughulikia, kwa sasa wanafikiria namna ya mumtetea Lwakatale, wananchi wamesahaurishwa kwamba licha ya kwamba serikali inakusanya kodi kutoka kwao, wanatumia kulipana maposho tuu, bila kuwahudimia ilikuwapa watotowao elimu bora. Tujifunze hilo.
usishangae mkuu hata tuliletewa aliyemtesa ulimboka baada ya kujipeleka mwenyewe kanisani kutubu!!! Watanzania tunaonekana wazuzu kuteletewa vitu vya kupikwa pikwa tena wapikaji hawatumii intelligensia ya juu ili mtu uumize kichwa!!kwa mtu mwelewa wa editing ataipinga kwa asilimia mia moja hiyo clip, ila kwa wale wasiojua ama washabiki tu wa siasa wataendelea kuamini udanganyifu huu.
kwa kuwasaidia polisi au wachunguzi wajambo hili wafanye yafuatayo.
1. kuanzia mwanzo wa clip yenyewe mpaka dk 1:43 (hapo wanaposalimiana) ndio pana majibu yote na hakuna haja ya kwenda zaidi ya hapo. Ile MARAHABA ALIITIKIA LWAKATARE ILA IKAKATWA KWA KUINGIZA YA UONGO, siju habari za siku nyingi..na kadhalika..
2.Pili, wamefanya kosa kubwa kwa kutokujua kuwa sasa si enzi za mwalimu, huyo MTU ALIYESALIMIA (RICH), ANAWEZA KUWA SHAHIDI NA NIRAHISI KUMPATA KWA SURA TU, kama kweli wachunguzi wapo makini.
3. Na mwisho, source ya video yenyewe, najua imewekwa youtube then ikawashared JF. LAKINI WAKIKUBALI KUMTAFUTA ALIYEIWEKA NI KITU CHA SIKU AU MASAA. LABDA PAWE TU NA MKONO WA SERIKALI NDIO ZOEZI LITASITISHWA, maana ni aibu kwao.
Sina ushabiki wowote wa kisiasa ila kutokana na uvivu wa jeshi la polisi la kutegemea kuchukua tu vitu bila kuwa na source maalum itawapa shida sana, na hapa ndipo wataona umuhimu wa kuwa na polisi wasomi kweli na si hawa wa kwenda kwata kwa miezi tu.
kwa mtu mwelewa wa editing ataipinga kwa asilimia mia moja hiyo clip, ila kwa wale wasiojua ama washabiki tu wa siasa wataendelea kuamini udanganyifu huu.
kwa kuwasaidia polisi au wachunguzi wajambo hili wafanye yafuatayo.
1. kuanzia mwanzo wa clip yenyewe mpaka dk 1:43 (hapo wanaposalimiana) ndio pana majibu yote na hakuna haja ya kwenda zaidi ya hapo. Ile MARAHABA ALIITIKIA LWAKATARE ILA IKAKATWA KWA KUINGIZA YA UONGO, siju habari za siku nyingi..na kadhalika..
2.Pili, wamefanya kosa kubwa kwa kutokujua kuwa sasa si enzi za mwalimu, huyo MTU ALIYESALIMIA (RICH), ANAWEZA KUWA SHAHIDI NA NIRAHISI KUMPATA KWA SURA TU, kama kweli wachunguzi wapo makini.
3. Na mwisho, source ya video yenyewe, najua imewekwa youtube then ikawashared JF. LAKINI WAKIKUBALI KUMTAFUTA ALIYEIWEKA NI KITU CHA SIKU AU MASAA. LABDA PAWE TU NA MKONO WA SERIKALI NDIO ZOEZI LITASITISHWA, maana ni aibu kwao.
Sina ushabiki wowote wa kisiasa ila kutokana na uvivu wa jeshi la polisi la kutegemea kuchukua tu vitu bila kuwa na source maalum itawapa shida sana, na hapa ndipo wataona umuhimu wa kuwa na polisi wasomi kweli na si hawa wa kwenda kwata kwa miezi tu.
kwa mtu mwelewa wa editing ataipinga kwa asilimia mia moja hiyo clip, ila kwa wale wasiojua ama washabiki tu wa siasa wataendelea kuamini udanganyifu huu.
Kwa kuwasaidia polisi au wachunguzi wajambo hili wafanye yafuatayo.
1. Kuanzia mwanzo wa clip yenyewe mpaka dk 1:43 (hapo wanaposalimiana) ndio pana majibu yote na hakuna haja ya kwenda zaidi ya hapo. Ile marahaba aliitikia lwakatare ila ikakatwa kwa kuingiza ya uongo, siju habari za siku nyingi..na kadhalika..
2.pili, wamefanya kosa kubwa kwa kutokujua kuwa sasa si enzi za mwalimu, huyo mtu aliyesalimia (rich), anaweza kuwa shahidi na nirahisi kumpata kwa sura tu, kama kweli wachunguzi wapo makini.
3. Na mwisho, source ya video yenyewe, najua imewekwa youtube then ikawashared jf. Lakini wakikubali kumtafuta aliyeiweka ni kitu cha siku au masaa. Labda pawe tu na mkono wa serikali ndio zoezi litasitishwa, maana ni aibu kwao.
Sina ushabiki wowote wa kisiasa ila kutokana na uvivu wa jeshi la polisi la kutegemea kuchukua tu vitu bila kuwa na source maalum itawapa shida sana, na hapa ndipo wataona umuhimu wa kuwa na polisi wasomi kweli na si hawa wa kwenda kwata kwa miezi tu.
kwa mtu mwelewa wa editing ataipinga kwa asilimia mia moja hiyo clip, ila kwa wale wasiojua ama washabiki tu wa siasa wataendelea kuamini udanganyifu huu.
kwa kuwasaidia polisi au wachunguzi wajambo hili wafanye yafuatayo.
1. kuanzia mwanzo wa clip yenyewe mpaka dk 1:43 (hapo wanaposalimiana) ndio pana majibu yote na hakuna haja ya kwenda zaidi ya hapo. Ile MARAHABA ALIITIKIA LWAKATARE ILA IKAKATWA KWA KUINGIZA YA UONGO, siju habari za siku nyingi..na kadhalika..
2.Pili, wamefanya kosa kubwa kwa kutokujua kuwa sasa si enzi za mwalimu, huyo MTU ALIYESALIMIA (RICH), ANAWEZA KUWA SHAHIDI NA NIRAHISI KUMPATA KWA SURA TU, kama kweli wachunguzi wapo makini.
3. Na mwisho, source ya video yenyewe, najua imewekwa youtube then ikawashared JF. LAKINI WAKIKUBALI KUMTAFUTA ALIYEIWEKA NI KITU CHA SIKU AU MASAA. LABDA PAWE TU NA MKONO WA SERIKALI NDIO ZOEZI LITASITISHWA, maana ni aibu kwao.
Sina ushabiki wowote wa kisiasa ila kutokana na uvivu wa jeshi la polisi la kutegemea kuchukua tu vitu bila kuwa na source maalum itawapa shida sana, na hapa ndipo wataona umuhimu wa kuwa na polisi wasomi kweli na si hawa wa kwenda kwata kwa miezi tu.
Mkuu Tamar, wala usiwe na wasiwasi, kubaini genuinity ya ile clip wala hakuhitaji hata metal data, kama una mac, just save the video, then import kwenye final cut pro, creat time line, utaona kila kilichofanyika, utaona sound track kama ni original or impoted na kama ina continuity au ilikuwa imposed, utanirudia na kunishukuru kwa kuwaambia ukweli mapema!.
Pasco.
Hivi kweli kuna mtu anadhani serikali ya Tanzania ikitaka kujua mtu aliyeiweka ile video YouTube itashindwa?
Kuna watu wako so illiterate na kompyuta wanadhani kuwa uki-uplaod video Youtube na ID feki basi huwezi kuwa tracked down.
Everything that people do on the Internet, including on YouTube, can be tracked down so easily. I mean everything.
Sioni ugumu wowote wa kum-track aliyeweka ile video.
Na kwa vile ile video inaongelea conspiracy to kill someone na kwa vile terms na conditions za YouTube zinakataza ku-upload video za aina hiyo, Google watakuwa tayari ku-cooperate na Tanzania kumpata aliyeiweka ile video ya conspiracy to commit a deadly crime.
haiwezekani ukweli ni kuwa tukishajua internet cafe tutatembela komputer zote na kuchukua finger print zote, tuki eka kwenye data base ya finger print tutapaat tu sample space.
hahaha
kifupi huezi kwepa kama kweli wakiamua ila ndio hivyo.