Lwakatare mahakamani na HATIMA yake leo

Lwakatare mahakamani na HATIMA yake leo

Status
Not open for further replies.
Hadi Uchaguzi mgogo wa madiwani upite ndio ataelekea uraiani. Mahakama za Tanzania zinaendeshwa kwa ku balance isshues. Hii itaweza kuleta impact za campeni za chaguzi ndogo. Utasikia sijui nani anaumwa. Hakuna ethinics ya kazi hapa.
 
Aliposhinda Lema, mahakama ilikuwa inatenda haki au sio? leo hata hukumu haijatolewa imeshakuwa mahakama haina uhuru?

Jee hujui kuwa mhimili wa Mahakama uko huru? soma uelewe kijana.
lakini mkuu hili la hakimu kwenda likizo na funguo za mahakama limekaaje?
 
Leo wewe ndiyo upo zamu? Naona semina elekezi ya lumumba inafanyakazi, kila mlumumba achangie uharo zaidi ya mara kumi na tano kwenye post moja ili tuweze kukabana na hawa makamanda wa magwanda,si unajua walivyo wengi?na walivyo na hoja nzito? Komaeni vijana,hoja ya kuwaongeza posho ipo mezani.
na wewe ni great thinker???? look at you!!!!!!!!
 
Haya yote ni kwa ajili ya mchawi mwigulu na ccm yao. 2015 watakapokabidhi serikali either by force or harmony lazima haya yawatokee puani. Ikiwepo suala la rip mwangosi.
 
vpi wakuu mlioko huko? hakimu gari ilipata pacha amechelewa mahakamani nini?
 
Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu imeshindwa kwa mara nyingine kumpa dhamana mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema Wilfred Lwakatare.

Hakimu anayesikiliza kesi hiyo amesema ameshindwa kutoa uamuzi kwa sababu alikuwa likizo na anaomba siku ya leo aitumie kwa kupitia maombi hayo ya dhamana.

Hakimu huyo amesema atatoa uamuzi wa ama kutoa dhamana ama kumnyima dhamana Lwakatare kesho saa 2 asubuhi.

Viwanja vya mahakama vilifurika umati mkubwa wa wafuasi wa Chadema ambao muda wote walikuwa wakiimba Peoples Power!
 
....mwenyekiti wa ccm mkoa wa shinyanga anaogopa sana hiyo pipoooz pawaa..! kitaeleweka tu...
 
Haki ikicheleweshwa huwa siyo haki tena. Ashakum, hivi huyo hakimu angefariki dunia dhamana isingefanyiwa kazi? Sheria zingine bhana.
 
Tunashukuru kwa taarifa mkuu lakini hizi mahakama ni tatizo kwani hakimu akiondoka anaondoka na funguo ya ofisi hii ni hatari sana
 
Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu imeshindwa kwa mara nyingine kumpa dhamana mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema Wilfred Lwakatare.

Hakimu anayesikiliza kesi hiyo amesema ameshindwa kutoa uamuzi kwa sababu alikuwa likizo na anaomba siku ya leo aitumie kwa kupitia maombi hayo ya dhamana.

Hakimu huyo amesema atatoa uamuzi wa ama kutoa dhamana ama kumnyima dhamana Lwakatare kesho saa 2 asubuhi.

Viwanja vya mahakama vilifurika umati mkubwa wa wafuasi wa Chadema ambao muda wote walikuwa wakiimba Peoples Power!

Huu ndiyo uzembe uliokithiri wa serikali hii ya jk.
Hakimu alikuwa likizo ameshindwa hata kupitia maombi ya dhamana na inakubalika!
Kwani hakimu ndiye mahakama? Mahakama ni mhimili unaojitegemea, na maamuzi pamoja na kwamba yanasomwa na hakimu, hayapaswi kuwa 'maamuzi' ya hakimu peke yake. Kwani alipokuwa likizo ina maana ya kuwa kesi zote zilisimama? Je akifa usiku wa leo itakuwaje? Viongozi wa Tanzania acheni longolongo timizeni wajibu wenu. Acheni kuwa 'mihuri' ya uongozi wa kidhalimu. Leo kashindwa kutoa maamuzi kwa kuwa alikuwa likizo, kesho atakuja na jipya...
Mnatia kichefuchefu...
Hamjui ya kwamba mnajipalia makaa, siku inakuja!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom