Lwakatare mahakamani na HATIMA yake leo

Status
Not open for further replies.
Hakika mahakama imekosa kuwa mhimili kwa Taifa letu ila ngoja tu kwa haki siku zote haijawahi kushindwa!
Mungu mwenye haki kaonekane daima kwani kwako hakuna kinachoshindikana!
 
Hakimu bado yuko likizo...

Hata hiyo kesho tusitegemee kama atapata dhamana. Mtoa dhamana atakuwa anasubiri majibu toka kwa boss na sio kupitia ombi kwani kesi hiyo inafahamika ina dhamana na sio la kupekua sana.
 
Kila la kheri Lwakatale , jasho lako linalotiririshwa kwa nguvu haliwezi kupotea bure .
 
Mahakama za Tanzania hakuna mfano wake duniani!!! Of course kila kitu bora liende!!! Hakuna uwajibikaji!!! Negligence kwa kwenda mbele ili mradi mwisho wa mwezi bakuli linajazwa plus zile za mlango wa uwani!!!
 
Mahakama bila kuwa chombo huru ni vigumu sana kufikia malengo ya haki na ukweli.
Kutoa hukumu kwa shinikizo kisiasa ni dhambi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Yule jamaa wa IKULU aliyemteka Ulimboka ananeemeka kwa maovu yake, Mtu asiye na kosa na kwa ushahidi wa kutengenezwa anateseka kiasi hiki kweli!!!! Ipo siku watajuta kwa haya yote wanayoyafanya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom