acha ujuha ww...huyo gaidi hatumtaki huku uraiani.
mungu hawezi kuwa upande wa walisha watu sumu, magaidi na watesaji
Ataongezewa mashtaka ya kupanga kumwagia watu tindikali
Anatakiwa aendelee kukaa jela ili akome kupanga mateso na utekaji kwa waandishi wa habari.
gaidi hana haki hata moja.
inauma sana haki kuminywa namna hii, inabidi hata mhimili wa mahakama hapa nchini uwe huru, kuanzia jaji mkuu na wengine wasiteuliwe ila iwe post ya kuomba na ipitishwe na bunge
Labda nikukumbushe alichofanya lwakatare ni kwamba alipatikana na kosa la kigaidi la kupanga kumdhuru mhariri wa gazeti la mwananchi ndugu denis msack nadhani umepata picha mkuu.Nimeswali leo saa tisa usiku,nimeongea na mwenyezi ameniahid kua leo tutakua nae uraian.i beleave with God. Hebu sasa tumuachiyeye alio tuumba,lwakatare amekosa nini mpaka ateseke?alipo mwenyez shetwan hua anaufyata so we're going to see picha mpya na upande wa haki unakwenda kushinda kwa kishindo
Masalia bwana munadhani nchi hii ni ya mama zenu munajidai kwa sababu raisi dhaifu ameocuppy IKULu ole wenuLabda nikukumbushe alichofanya lwakatare ni kwamba alipatikana na kosa la kigaidi la kupanga kumdhuru mhariri wa gazeti la mwananchi ndugu denis msack nadhani umepata picha mkuu.
Eeeeh teh teh aaah!!!Leo utasikia hakimu anasumbuliwa na busha ameshindwa kufika mahakamani
I have sent an abuse report .... just waiting
Mkuu jaribu kubadilika umezidi kuongea pumba sana humu. Hili jukwaa halikufai
gaidi hana haki hata moja.
Labda nikukumbushe alichofanya lwakatare ni kwamba alipatikana na kosa la kigaidi la kupanga kumdhuru mhariri wa gazeti la mwananchi ndugu denis msack nadhani umepata picha mkuu.