Lwakatare aizika rasmi M4C

Lwakatare aizika rasmi M4C

Status
Not open for further replies.
Akili zako+upeo wako wa kufkr ni sawa na wabunge weng wa chama chako(ccm)!hauwez endeleza m4c wkt ccm wanatumia usalama wa taifa+walopokaj km m. Michemba kutengeneza matukio.2.Ni vzr na busara kabsa cdm wakajpanga upya kupambana na hii michezo michaf kwan kuendeleza maandamano or m4c raia tutaendelea kupoteza maisha kwan policcm wana silaha za kutosha na kaz yao ni kutuua hili tukichukie chama.3.Napenda uelewe pia kuwa ccm wanatumia akili ndogo sn kufanya /kupanga jambo but cdm wanatumia akil nyng kutatua/kulipatia ufumbuz.
 
Kinachonifurahisha nyie waleta mada za hivi mpo kazini na mnalipwa kwa hilo lakini upande sisi wengine ni member na wala hatujahi kuonana na viongozi wa CHADEMA yani nikifikiria hivyo naona jinsi CCM ilivyo tahabani.
 
Hii kimsingi kama ingekuwa kwenye nchi zinazozingatia vyema sheria, haki na utawala bora kama vile Czech republic basi Bwana Lwakatare angepaswa ajisafishe mwenyewe. Lakini hapa wanaomshataki tayari wanahusisha (linalodhaniwa kuwa) kosa lake na chama hivyo ni lazima chama kimlinde na kumtetea maana kusafishika kwake ni kusafishika kwa chama. Labda nikuulize pia, ni kwa nini unafikiri inabidi iwe kesi yake na si ya chama?

Mkuu!
Hili swali unamuuliza ZeMarcopolo? ukitegemea majibu? ni sawa na kumpa mtoto wa darasa la tatu swali la logarithm...sidhani kama utapata majibu!!
 
Last edited by a moderator:
Wengi waliochagia hapa ni walewale wanafiki ambao mpango wao umekwama. Watanzania sio wajinga, wako tofauti na mnavyofikiri, wanaelewa mambo, hawadanganyiki. Shame on you mafisadi

watanzania wapi wa jf au
 
Hii kimsingi kama ingekuwa kwenye nchi zinazozingatia vyema sheria, haki na utawala bora kama vile Czech republic basi Bwana Lwakatare angepaswa ajisafishe mwenyewe. Lakini hapa wanaomshataki tayari wanahusisha (linalodhaniwa kuwa) kosa lake na chama hivyo ni lazima chama kimlinde na kumtetea maana kusafishika kwake ni kusafishika kwa chama. Labda nikuulize pia, ni kwa nini unafikiri inabidi iwe kesi yake na si ya chama?

Kwani alieyemshtaki Lwakatare na rafiki yake Ludovick ni nani? na je, mshitaki huyo amehusisha vipi mashitaka hayo na chama? Njoo na evidence zinazonyesha kuwa aliyemshitaki Lwakatare amehusisha kesi hiyo na chama.
 
Wakuu, sio siri tangu alipokamatwa Mkurugenzi wa usalama wa cdm maanadamano ya cdm kupitia kauli mbiu ya M4C ni kama yamefutika rasmi. Ninawashauri hawa jamaa watafute kauli mbiou nyingine ya kuweza kuwahadaa watanzania.
..aisee kumbe alichosema mbowe na slaa pale ubungo ni kweli bhana daah ! sasa naamini chadema ipo makini kuliko serikali ya ccm. bado magamba wanasubiri maandamano wakati sasa umezinduliwa mkakati mpyaaa wa kikanda na strategy mpyaa ambazo haziwezi kuwa inturupted na ccm wala polisi wala usalama.. Big up chadema, mimi na nyumba yangu tutawapigia kura na kampeni...
 
"Hiyo mibange mnayovuta ni stimu za kuranduka!kama siyo fani yako kwa kweli UTAUMBUKA"Sir.J Nature.


Hata kwnye mitihani yako ya kidato cha nne uliandika hivyo hivyo...!
Hatuwezi kushangaa,Rudi shule kijana..
Elimu ni Ufunguo wa maisha yako..
 
ZeMarcopolo,unasema hujaelewa hii kesi ya Lwakatare CDM wanaigeuzaje kuwa kesi ya chama!Basi fungua macho na utege masikio toka kwa DDP wa CMM Ndg.Mwigulu.
Mpaka sasa bado sijaelewa kwanini chadema wanaigeuza kesi binafsi ya Lwakatare na rafiki yake Ludovick kuwa kesi ya chama!!!
 
Wakuu, sio siri tangu alipokamatwa Mkurugenzi wa usalama wa cdm maanadamano ya cdm kupitia kauli mbiu ya M4C ni kama yamefutika rasmi. Ninawashauri hawa jamaa watafute kauli mbiou nyingine ya kuweza kuwahadaa watanzania.
Wacha kwanza wajipange manake hilo kombora la Lwakatare ni zito.
 
Wakuu, sio siri tangu alipokamatwa Mkurugenzi wa usalama wa cdm maanadamano ya cdm kupitia kauli mbiu ya M4C ni kama yamefutika rasmi. Ninawashauri hawa jamaa watafute kauli mbiou nyingine ya kuweza kuwahadaa watanzania.


watu wenye upeo mpana wa kifalsafa wanawaelewa vizuri sana CDM wanafanya nn lakini waliopungukiwa na hilo hawawezi kuwaelewa. hata ktk vita lazima utambue mbinu za adui zako na unaweza kuendelea kuendesha zoezi lako kwa mbinu tofauti na ukafanikiwa kumpiga kabisa, nenda jeshi kijana ndo utajua haya mambo usikae vijiweni kusiko na tija
 
Ukitaka kujua short cut kula nauli, Chadema wamekula nauli SASA wanatembea kwa miguu

wakati mwingine ni vizuri utembee kwa miguu ili njiani ujionee hali halisi na maisha ya watanzania yalivyomagumu na uwe sehemu/chachu ya mabadiliko.viva CHADEMA viva M4C
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom