Lwakatare aizika rasmi M4C

Lwakatare aizika rasmi M4C

Status
Not open for further replies.
mnaweweseka na hii clip

 
Last edited by a moderator:
Mtaangaika sana mwaka huu.. Aibu inakuja


M4C ni kama topic darasani CHADEMA wameshafundisha na imeeleweka sasa ni Mtihani 2015
 
Wakuu, sio siri tangu alipokamatwa Mkurugenzi wa usalama wa cdm maanadamano ya cdm kupitia kauli mbiu ya M4C ni kama yamefutika rasmi. Ninawashauri hawa jamaa watafute kauli mbiou nyingine ya kuweza kuwahadaa watanzania.

Jumapili CHADEMA walikuwa Kibaha....kama unaombea waache M4C nadhani unajidanganya.....
Wakati akiwa huko Lupango,wakili wake alienda kufanya mkutano wa M4C huko Loliondo.....nadhani haupo Tanzania na kama upo Tanzania basi huna hela ya kulipia king'amuzi...
 
Sasa Mkuu nitoke nje ya mada kidogo niijadili hiyo signature yako,,
hiyo miili anayosema JK ipimwe DNA kutambua jamaa zao then what next??
dah nchi hii ina maajabu sana..

Jiulize hao jamaa zao watatambulikaje ilhali hakuna sample test ya pili? haya turudi kwenye topic THE BIG SHOW
 
Last edited by a moderator:
Yani mikutano yote umeona useme uongo? Juzi walikuwa kibaha ulidhani walikwenda kuuza sura? Kwa nini uwe muongo?
 
unaogopa lazima usimame kizimbani namba yako iko wapi bro M4C kanda ya Pwani imefunguliwa with big bang inaelekea kanda ya kati kawaambie akina zoka mission aborted

Pwani hamtaiweza nyie na manguo yenu ya mgambo
 
CCM wanajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe.

'Chadema yagundua mtandao wa ugaidi unaofanya njama zake kupitia ikulu na tiss'
 
CHADEMA chali! Na hukumu ikitoka ikathibitika ni magaidi ndiyo tutawaokotea bonde la msimbazi.

Mkafanye kazi halali kuliko kuja kujificha CHADEMA kwa kivuli cha chama cha Siasa.

Tunaheshimiana kwa michango yetu kwa kuwa wote ni binadamu. zaidi ya hapo wewe ni LeProfeseri
 
Mtakuja na kila aina ya maneno mwaka uu mwisho wenu umeshafika wapumbavu nyie
 
Imebakia na dhana ya ukamanda kumbe hata kulinda kuku wa manyumbani kwao hawawezi.
Buriani cdm Rip.
 
Mpaka sasa bado sijaelewa kwanini chadema wanaigeuza kesi binafsi ya Lwakatare na rafiki yake Ludovick kuwa kesi ya chama!!!
hayo ndo yalikuwa malengo ya ile mipunga wenzako riziwan, nchemba, nchimbi na usalama wa taifa
 
Mkuu,
Hii ni kesi ya chama. We angalia mtiririko tu wa events ujue. Lakini wasichojua CCM ni kwamba walipolalia wao Chadema ilishaamkia hapo siku nyingi.
Jasusi mkuu, dont waste your valueable time kumquote huyu jamaa. Hana cha kupoteza maana hao walishajivua nguo za ndani na ni watupu. Ukiona mtu mzima anaujua ukweli lakini anaukana ujue huyo si ridhiki ila yupo tuu kama ling`ombe
 
"Hiyo mibange mnayovuta ni stimu za kuranduka!kama siyo fani yako kwa kweli UTAUMBUKA"Sir.J Nature.
 
Kiongozi,
Naomba nisaidie kuelewa hii kesi inakuwaje ya chama?
Hii kimsingi kama ingekuwa kwenye nchi zinazozingatia vyema sheria, haki na utawala bora kama vile Czech republic basi Bwana Lwakatare angepaswa ajisafishe mwenyewe. Lakini hapa wanaomshataki tayari wanahusisha (linalodhaniwa kuwa) kosa lake na chama hivyo ni lazima chama kimlinde na kumtetea maana kusafishika kwake ni kusafishika kwa chama. Labda nikuulize pia, ni kwa nini unafikiri inabidi iwe kesi yake na si ya chama?
 


....usishangae tazama vizuri... ni
sisimizi wamebeba pembe.....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom