Lwakatare aizika rasmi M4C

Lwakatare aizika rasmi M4C

Status
Not open for further replies.
Mtoto hubeba jina la wazazi! i.e akifanya tukio lolote,swali la 1 watu waulizalo ni kuwa 'huyo mtoto ni wa nani'? .hence: Lwakatare ni CDM na CDM ni Lwakatare!
Hata akina LOWASSA,R.AZIZ,MKAPA,D.BILALI,KINANA,etc.CCM isingewalinda,wangekuwa courtin
 
Mpaka sasa bado sijaelewa kwanini chadema wanaigeuza kesi binafsi ya Lwakatare na rafiki yake Ludovick kuwa kesi ya chama!!!
Siku ukielewa kwa nini TISS na Police wanafanya kazi ya CCM kutaka kuiangamiza CDM na hili utalielewa tu.
 
Makupa,
Usipofanya utafiti punde utaaibika. Muda mfupi tu uliopita katika ukumbi wa Morogoro Hotel, nimefungua Mafunzo ya Wakufunzi wa Wakufunzi 30. Kati Yao 20 wakitoka kwenye Kanda 4 zilizokwisha kuzinduliwa yaani Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Ziwa Magharibi, Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Kanda ya Ziwa Mashariki. hawa ndio watakaotoa Mafunzo kwa viongozi 428 wa Kanda 5 za kwanza, nao wataenda kufundisha viongozi 428 wa ngazi ya majimbo nao watateremka nazi ya kata na kuwafundisha viongozi 9,704 wa ngazi ya Kata. Ukijumlisha wanafunzi viongozi hao, bado kutakuwa na viongozi 9,704 wa BAVICHA na 9,704 wa BAWACHA. Jumla takriban viongozi wapatao 30,000 ukijumlisha wote pamoja na wa nazi ya Taifa.

Chadema inafanya kazi kisayansi. Chadema haiandai viongozi wake kufundisha viongozi wake kununua shad a za kupitia kura, wall main za kuiba kura. Chadema inawafundisha na kuandaa viongozi waadilifu, wenye kujali na kujaa Tunu za kitaifa, na wenye main za kiuongozi za kisayansi na ya kisasa. Chadema ni Chama kinachojiaandaa seriously kushika doll, na hatuna cha kuficha. Mipango na mikakati yetu yote ikon hadharani, ndio maana tunatahadhatisha TISS isihangaike kununua taarifa zetu. Wane tutawape Kama hizi hazitoshi.

Kama unawake kuona M4C ya kisayansi subiri baada ya Juni/jJuly one moto wa M4C. Ninaomba wana JF kuepuka kupewa taarifa na watt wasiofanya utafiti, wanapenda kuongea kwa hisia kwa malengo yao ikiwa ni pamoja na upotoshaji, Propaganda isiyo na Tija. Kama kuna mtu anahitaji taarifa yeyote, usiogope pig simu, au iwapo simu haipokelewi kwa kuwa niko kwenye shughuli nyingine, nitumie SMS. Nitakujibu kikamilifu.



Wakuu, sio siri tangu alipokamatwa Mkurugenzi wa usalama wa cdm maanadamano ya cdm kupitia kauli mbiu ya M4C ni kama yamefutika rasmi. Ninawashauri hawa jamaa watafute kauli mbiou nyingine ya kuweza kuwahadaa watanzania.
 
Kiongozi,
Naomba nisaidie kuelewa hii kesi inakuwaje ya chama?
Jamaa yangu Wabunge wameisimamia Bungeni leo eti izungumziwe Ki-Bunge kama ni Suala la Serikali eti Waziri mhusika awajibishwe kwa kumlea Mkurugenzi wa UWT (TISS) ngoja tusubiri jioni tuone maamuzi kama Kesi iliyo Mahakamani Mtu unaweza izungumzia nje Mahakama na kuwataja Watuhumiwa na kutoa namba zao za simu ili kusaidia Mwenendo wa kesi
 
Makupa,
Usipofanya utafiti punde utaaibika. Muda mfupi tu uliopita katika ukumbi wa Morogoro Hotel, nimefungua Mafunzo ya Wakufunzi wa Wakufunzi 30. Kati Yao 20 wakitoka kwenye Kanda 4 zilizokwisha kuzinduliwa yaani Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Ziwa Magharibi, Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Kanda ya Ziwa Mashariki. hawa ndio watakaotoa Mafunzo kwa viongozi 428 wa Kanda 5 za kwanza, nao wataenda kufundisha viongozi 428 wa ngazi ya majimbo nao watateremka nazi ya kata na kuwafundisha viongozi 9,704 wa ngazi ya Kata. Ukijumlisha wanafunzi viongozi hao, bado kutakuwa na viongozi 9,704 wa BAVICHA na 9,704 wa BAWACHA. Jumla takriban viongozi wapatao 30,000 ukijumlisha wote pamoja na wa nazi ya Taifa.

Chadema inafanya kazi kisayansi. Chadema haiandai viongozi wake kufundisha viongozi wake kununua shad a za kupitia kura, wall main za kuiba kura. Chadema inawafundisha na kuandaa viongozi waadilifu, wenye kujali na kujaa Tunu za kitaifa, na wenye main za kiuongozi za kisayansi na ya kisasa. Chadema ni Chama kinachojiaandaa seriously kushika doll, na hatuna cha kuficha. Mipango na mikakati yetu yote ikon hadharani, ndio maana tunatahadhatisha TISS isihangaike kununua taarifa zetu. Wane tutawape Kama hizi hazitoshi.

Kama unawake kuona M4C ya kisayansi subiri baada ya Juni/jJuly one moto wa M4C. Ninaomba wana JF kuepuka kupewa taarifa na watt wasiofanya utafiti, wanapenda kuongea kwa hisia kwa malengo yao ikiwa ni pamoja na upotoshaji, Propaganda isiyo na Tija. Kama kuna mtu anahitaji taarifa yeyote, usiogope pig simu, au iwapo simu haipokelewi kwa kuwa niko kwenye shughuli nyingine, nitumie SMS. Nitakujibu kikamilifu.

Asante kwa ufafanuzi dokta, Mungu akupe maisha marefu utukomboe watanzania.
cc: Makupa , Chilisosi, ZeMarcopolo , bungeni
 
kweli tunahitaji msaada zaidi wa kuzibua akili zetu maana naona kunawachangia sijui kama ni watanzania halisi au la
 
Asante kwa ufafanuzi dokta, Mungu akupe maisha marefu utukomboe watanzania.
cc: Makupa , Chilisosi, ZeMarcopolo , bungeni

Maswali ya msingi hayajajibiwa lakini umeridhika!!! Sasa sijui ni kipi kilichokuridhisha lakini nikikumbuka usemi usemao "baunsa hashibi, anatosheka tu" nakumbuka kuwa inawezekana wewe ni "baunsa" uliyeamua kutosheka tu ingawa hujashibishwa.
 
mtasema mengi sana ukweli video waliorekodi mwigulu nape na wenzake ndo utawaumbua
 
Chama kinayumba sana saivi, hata bungeni si unaona wanavyotukana

kama kutukana ni kuyumba kwa chama basi ccm karibu itaanguka kabisa maana wao ndio wanaongoza kwa matusi ndani na nje ya bunge
 
Wakuu, sio siri tangu alipokamatwa Mkurugenzi wa usalama wa cdm maanadamano ya cdm kupitia kauli mbiu ya M4C ni kama yamefutika rasmi. Ninawashauri hawa jamaa watafute kauli mbiou nyingine ya kuweza kuwahadaa watanzania.

Ukombozi wa nchi hauwezi kuletwa na watu legelege kama wewe, watu wenye ufinyu wa akili na uwezo mdogo sana kama chembe ya haradani kama wewe, nadhan wewe si mzalendo, kama ni mzalendo basi uzalendo wako ni batili kwani unafanya mambo usiyoyajua, nchi hii ni teule, laikin imegeuzwa pango la walanguzi na chama tawala, imebakwa na kukosa mtetezi kwa mda mrefu sana, ni aibu kwani hatima ya nchi iko mikononi mwa vijana lakini kijana kama wewe badala ya kuwa na mawazo chanya juu ya mabadiliko unabeza na kujiona unajua zaidi kumbe bure kabisa, wanaohadaa watanzania ni akina nani?wanaopiga kelele na kuelimisha uma juu ya haiki zao au waliochukua nchi milongo mitano iliyopita lakini nchi bado imekosa mwelekeo pamoja na mali asili tuliyonayo? unajua mali walizokwapua viongozi wako au unaganga njaa?au nakuonea kwa sababu ya uelewa wako kuwa mfinyu?
 
Kwani alieyemshtaki Lwakatare na rafiki yake Ludovick ni nani? na je, mshitaki huyo amehusisha vipi mashitaka hayo na chama? Njoo na evidence zinazonyesha kuwa aliyemshitaki Lwakatare amehusisha kesi hiyo na chama.

Walimkamata kwa video ya mtandaoni ambayo imerekodiwa nyumbani kwake (inavyosemekana).....Lakini walikwenda mara mbili kupekua ofisi za makao makuu ya chama.
Na hiyo video iliwekwa mtandaoni kuituhumu CHADEMA...na iliwekwa na polisi ambao ndio wako upande wa jamhuri!
 
Maswali ya msingi hayajajibiwa lakini umeridhika!!! Sasa sijui ni kipi kilichokuridhisha lakini nikikumbuka usemi usemao "baunsa hashibi, anatosheka tu" nakumbuka kuwa inawezekana wewe ni "baunsa" uliyeamua kutosheka tu ingawa hujashibishwa.

Mpigie simu au mtumie sms...au kama vipi m-PM.... nadhani atakujibu maswali yako maana ameahidi mwenyewe Katibu Mkuu.
 
Makupa,
Usipofanya utafiti punde utaaibika. Muda mfupi tu uliopita katika ukumbi wa Morogoro Hotel, nimefungua Mafunzo ya Wakufunzi wa Wakufunzi 30. Kati Yao 20 wakitoka kwenye Kanda 4 zilizokwisha kuzinduliwa yaani Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Ziwa Magharibi, Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Kanda ya Ziwa Mashariki. hawa ndio watakaotoa Mafunzo kwa viongozi 428 wa Kanda 5 za kwanza, nao wataenda kufundisha viongozi 428 wa ngazi ya majimbo nao watateremka nazi ya kata na kuwafundisha viongozi 9,704 wa ngazi ya Kata. Ukijumlisha wanafunzi viongozi hao, bado kutakuwa na viongozi 9,704 wa BAVICHA na 9,704 wa BAWACHA. Jumla takriban viongozi wapatao 30,000 ukijumlisha wote pamoja na wa nazi ya Taifa.

Chadema inafanya kazi kisayansi. Chadema haiandai viongozi wake kufundisha viongozi wake kununua shad a za kupitia kura, wall main za kuiba kura. Chadema inawafundisha na kuandaa viongozi waadilifu, wenye kujali na kujaa Tunu za kitaifa, na wenye main za kiuongozi za kisayansi na ya kisasa. Chadema ni Chama kinachojiaandaa seriously kushika doll, na hatuna cha kuficha. Mipango na mikakati yetu yote ikon hadharani, ndio maana tunatahadhatisha TISS isihangaike kununua taarifa zetu. Wane tutawape Kama hizi hazitoshi.

Kama unawake kuona M4C ya kisayansi subiri baada ya Juni/jJuly one moto wa M4C. Ninaomba wana JF kuepuka kupewa taarifa na watt wasiofanya utafiti, wanapenda kuongea kwa hisia kwa malengo yao ikiwa ni pamoja na upotoshaji, Propaganda isiyo na Tija. Kama kuna mtu anahitaji taarifa yeyote, usiogope pig simu, au iwapo simu haipokelewi kwa kuwa niko kwenye shughuli nyingine, nitumie SMS. Nitakujibu kikamilifu.

Asante kwa ufafanuzi Dr.Slaa,ingekua vema sana kama mngejitokeza mara kwa mara kujibu hoja pamoja na ulizoita propaganda ili kuondoa mkanganyiko kwa wale ambao hawajui kinachoendelea.
 
itabaki kuwa ndoto ya Abunuasi kwa hii kesi kufufua M4C kifupi DCM mmechemka hapo jipange muone mnatokaje!!!
 
kama ni yachama basi viongozi wote wa ngazi ya juu ya chama watakamatwa kwa kufadhili rwakatale na wanachama wengine
 
Wakuu, sio siri tangu alipokamatwa Mkurugenzi wa usalama wa cdm maanadamano ya cdm kupitia kauli mbiu ya M4C ni kama yamefutika rasmi. Ninawashauri hawa jamaa watafute kauli mbiou nyingine ya kuweza kuwahadaa watanzania.
Mmmm? unaota au uko macho?
 
Makupa,
Usipofanya utafiti punde utaaibika. Muda mfupi tu uliopita katika ukumbi wa Morogoro Hotel, nimefungua Mafunzo ya Wakufunzi wa Wakufunzi 30. Kati Yao 20 wakitoka kwenye Kanda 4 zilizokwisha kuzinduliwa yaani Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Ziwa Magharibi, Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Kanda ya Ziwa Mashariki. hawa ndio watakaotoa Mafunzo kwa viongozi 428 wa Kanda 5 za kwanza, nao wataenda kufundisha viongozi 428 wa ngazi ya majimbo nao watateremka nazi ya kata na kuwafundisha viongozi 9,704 wa ngazi ya Kata. Ukijumlisha wanafunzi viongozi hao, bado kutakuwa na viongozi 9,704 wa BAVICHA na 9,704 wa BAWACHA. Jumla takriban viongozi wapatao 30,000 ukijumlisha wote pamoja na wa nazi ya Taifa.

Chadema inafanya kazi kisayansi. Chadema haiandai viongozi wake kufundisha viongozi wake kununua shad a za kupitia kura, wall main za kuiba kura. Chadema inawafundisha na kuandaa viongozi waadilifu, wenye kujali na kujaa Tunu za kitaifa, na wenye main za kiuongozi za kisayansi na ya kisasa. Chadema ni Chama kinachojiaandaa seriously kushika doll, na hatuna cha kuficha. Mipango na mikakati yetu yote ikon hadharani, ndio maana tunatahadhatisha TISS isihangaike kununua taarifa zetu. Wane tutawape Kama hizi hazitoshi.

Kama unawake kuona M4C ya kisayansi subiri baada ya Juni/jJuly one moto wa M4C. Ninaomba wana JF kuepuka kupewa taarifa na watt wasiofanya utafiti, wanapenda kuongea kwa hisia kwa malengo yao ikiwa ni pamoja na upotoshaji, Propaganda isiyo na Tija. Kama kuna mtu anahitaji taarifa yeyote, usiogope pig simu, au iwapo simu haipokelewi kwa kuwa niko kwenye shughuli nyingine, nitumie SMS. Nitakujibu kikamilifu.

Dr asante kwa ufafanuzi mzuri,kila la kheri,huyo makupa ni miongoni mwa wana lumumba yani bila kufanya hivyo posho hakuna.
 
Maswali ya msingi hayajajibiwa lakini umeridhika!!! Sasa sijui ni kipi kilichokuridhisha lakini nikikumbuka usemi usemao "baunsa hashibi, anatosheka tu" nakumbuka kuwa inawezekana wewe ni "baunsa" uliyeamua kutosheka tu ingawa hujashibishwa.
Swali gani labda moja tu "la msingi" ambalo halijajibiwa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom