ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
Swali gani labda moja tu "la msingi" ambalo halijajibiwa?
Kwanini chadema inalazimisha maswala binafsi ya Lwakatare na familia yake kuwa maswala ya kisiasa ya chama?
Swali gani labda moja tu "la msingi" ambalo halijajibiwa?
Wakuu, sio siri tangu alipokamatwa Mkurugenzi wa usalama wa cdm maanadamano ya cdm kupitia kauli mbiu ya M4C ni kama yamefutika rasmi. Ninawashauri hawa jamaa watafute kauli mbiou nyingine ya kuweza kuwahadaa watanzania.
Mpaka sasa bado sijaelewa kwanini chadema wanaigeuza kesi binafsi ya Lwakatare na rafiki yake Ludovick kuwa kesi ya chama!!!
Chama kinayumba sana saivi, hata bungeni si unaona wanavyotukana
Ni kesi ya CDM kwa kuwa siku zote mnapanga na mnataka kuwahadaa umma kuwa CDM ni chama korofi!!! Kwa kutumia hawa mamluki wenu Lwakatare na Ludovick!! I salute CDM kwa action walioitumia!! So shameful!
Hilo ni jibu lako au jibu rasmi la chadema?
Chadema wamejivunjia sana kujiingiza kwenye ugaidi.
Not every question deserves an answer, I don't remember the last time I answered silly questions!!!!Kwanini chadema inalazimisha maswala binafsi ya Lwakatare na familia yake kuwa maswala ya kisiasa ya chama?
Kwa watu wenye akili fupi mtazamo wako una mantiki.
Kwa watu wenye akili fupi mtazamo wako una mantiki.Tatizo watu wana mapenzi na Chadema wapo radhi hata kutetea ugaidi.
Tatizo watu wana mapenzi na Chadema wapo radhi hata kutetea ugaidi.
Easy peasy fellas...cheap talk does not become you...don't generalise everything for hatred...you belittle your stand as a man...everyone has a constitutional right to join any party ...you are fine with CCM, so me got issues with it...Hao ni watu waliolaghaiwa...
Easy peasy fellas...cheap
talk does not become you...don't generalise everything for hatred...you
belittle your stand as a man...everyone has a constitutional right to
join any party ...you are fine with CCM, so me got issues with it...
Just try to adjust it in ur medula that at the end of the day...its same
oxygen we all breathing...easy gents eeeeeaaaaasssssyyyyyyy!
Makupa,
Usipofanya utafiti punde utaaibika. Muda mfupi tu uliopita katika ukumbi wa Morogoro Hotel, nimefungua Mafunzo ya Wakufunzi wa Wakufunzi 30. Kati Yao 20 wakitoka kwenye Kanda 4 zilizokwisha kuzinduliwa yaani Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Ziwa Magharibi, Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Kanda ya Ziwa Mashariki. hawa ndio watakaotoa Mafunzo kwa viongozi 428 wa Kanda 5 za kwanza, nao wataenda kufundisha viongozi 428 wa ngazi ya majimbo nao watateremka nazi ya kata na kuwafundisha viongozi 9,704 wa ngazi ya Kata. Ukijumlisha wanafunzi viongozi hao, bado kutakuwa na viongozi 9,704 wa BAVICHA na 9,704 wa BAWACHA. Jumla takriban viongozi wapatao 30,000 ukijumlisha wote pamoja na wa nazi ya Taifa.
Chadema inafanya kazi kisayansi. Chadema haiandai viongozi wake kufundisha viongozi wake kununua shad a za kupitia kura, wall main za kuiba kura. Chadema inawafundisha na kuandaa viongozi waadilifu, wenye kujali na kujaa Tunu za kitaifa, na wenye main za kiuongozi za kisayansi na ya kisasa. Chadema ni Chama kinachojiaandaa seriously kushika doll, na hatuna cha kuficha. Mipango na mikakati yetu yote ikon hadharani, ndio maana tunatahadhatisha TISS isihangaike kununua taarifa zetu. Wane tutawape Kama hizi hazitoshi.
Kama unawake kuona M4C ya kisayansi subiri baada ya Juni/jJuly one moto wa M4C. Ninaomba wana JF kuepuka kupewa taarifa na watt wasiofanya utafiti, wanapenda kuongea kwa hisia kwa malengo yao ikiwa ni pamoja na upotoshaji, Propaganda isiyo na Tija. Kama kuna mtu anahitaji taarifa yeyote, usiogope pig simu, au iwapo simu haipokelewi kwa kuwa niko kwenye shughuli nyingine, nitumie SMS. Nitakujibu kikamilifu.
Maswali ya msingi hayajajibiwa lakini umeridhika!!! Sasa sijui ni kipi kilichokuridhisha lakini nikikumbuka usemi usemao "baunsa hashibi, anatosheka tu" nakumbuka kuwa inawezekana wewe ni "baunsa" uliyeamua kutosheka tu ingawa hujashibishwa.
Hao ni watu waliolaghaiwa...
Easy peasy fellas...cheap talk does not become you...don't generalise everything for hatred...you belittle your stand as a man...everyone has a constitutional right to join any party ...you are fine with CCM, so me got issues with it...
Just try to adjust it in ur medula that at the end of the day...its same oxygen we all breathing...easy gents eeeeeaaaaasssssyyyyyyy!