Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,789
- 1,732
Mmepata jibu.Kwanini chadema inalazimisha maswala binafsi ya Lwakatare na familia yake kuwa maswala ya kisiasa ya chama?
Mmepata jibu.Kwanini chadema inalazimisha maswala binafsi ya Lwakatare na familia yake kuwa maswala ya kisiasa ya chama?
CHADEMA chali! Na hukumu ikitoka ikathibitika ni magaidi ndiyo tutawaokotea bonde la msimbazi.
Mkafanye kazi halali kuliko kuja kujificha CHADEMA kwa kivuli cha chama cha Siasa.
Natumaini babako na mamako wanajua sasa kua sio gaidi!
Kafie mbele
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Wakuu, sio siri tangu alipokamatwa Mkurugenzi wa usalama wa cdm maanadamano ya cdm kupitia kauli mbiu ya M4C ni kama yamefutika rasmi. Ninawashauri hawa jamaa watafute kauli mbiou nyingine ya kuweza kuwahadaa watanzania.
Wakuu, sio siri tangu alipokamatwa Mkurugenzi wa usalama wa cdm maanadamano ya cdm kupitia kauli mbiu ya M4C ni kama yamefutika rasmi. Ninawashauri hawa jamaa watafute kauli mbiou nyingine ya kuweza kuwahadaa watanzania.
Ha! Ha! Ha! Ha! Umemkomesha huyo Sumu , safi sana ! maana kila mtu atakumbushwa upuuzi wake wa siku za nyuma !