- Thread starter
- #61
lwakatare anataka kusema nini zaidi ya kujichanganya,
Wale washika dau wakubwa wa CHADEMA wanataka kumtumia kama mtaji ili chama chao kipate 'public sympathy'.
Watanzania sio wepesi namna hiyo kulubuniwa kwa mbinu hii.
lwakatare anataka kusema nini zaidi ya kujichanganya,
P, huyo Ludo kakitumikia chama cha magambaz na zaidi kamtumia Mwigulu Nchemba,Dah! mkuu, si wamemtelekeza mahabusu, hawa watu kwenye matamko yao utakuta wanasema "tumeanza na Mungu, tupo na Mungu, Tutamaliza na Mungu", sasa sijui ni Mungu gani asie samehe?
CHADEMA, mkumbukeni yule kijana, amekitumikia chama chenu jama.
Kumbukeni, msiache mbachao kwa msala upitao.
unanyege nyingi sana mkuu alafu unaenda kupiga chabo. Wanawake wengine bwana. Wewe post zako huwa za kuisifu CCM, Kumpamba Hawala yako Mwigulu (SAVIMBI) Kuwa anapendwa yani ukimpenda wewe basi kilamtu kampenda.
Sasa habari za chadema zinakuhusu nini leo.
HAMY-D (AMINA DAUDI) TAFUTA MTU AKUKUNE naona unawashwa kweli
Mwanaume ukiwa mmbeya unachukiza sana.
Hatua hii ya kupewa dhamana hawakuiweka kwenye mipango yao!mkuu mbona unawashwa sana? Heading unasema aitisha, then kwenye content unatuambia ataitisha....
Si usubiri hiyo saa nne, kuliko kujifanya Shekh Yahaya?
Mkuu, Lwakatare nae atakuwa na ID yake fake humu (wenda), kwahiyo nilicho kifanya ni kumpa angalizo, awe makini na wana siasa uchwara, ni hilo tu.
Habari wana-JF?
Leo majira saa 4 asubuhi bwana Lwakatare ambae ni mkurugenzi wa ulinzi na usalama CHADEMA atakuwa na mazungumzo na waandishi wa habari, ajenda ikiwa kuhusiana na sakata zima la kesi yake.
My take;
Huyu bwana Lwakatare akumbuke hayuko huru, ametoka kwa dhamana tu, pia najua kwa sasa huko CHADEMA kuna shehena ya watu walio bobea kwa siasa za majitaka na siasa uchwara.
Aidha, kwa siasa zao hizo 'reja reja' watamshinikiza huyu bwana Lwakatare aichafue CCM kwa makusudi kabisa kwamba imehusika na kuunda tuhuma hizo.
Rai yangu kwa bwana Lwakatare, asikubali kwa namna yeyote kushinikizwa kuwa suala la kesi yake ni la kichama, kama minong'ono mingi ilivyo.
Hili lilitokea hata mahakamani alivyo achiwa kwa dhamana, kwani kuna vijana wa CHADEMA walisikika wakisema mipango ya CCM imeshindwa.
Lwakatare, be smart.
P, huyo Ludo kakitumikia chama cha magambaz na zaidi kamtumia Mwigulu Nchemba,
Mwambieni asimtelekeze, akamtoe, na kwa issue ya Kibanda kamsaidi maggid
Washauri wasimtose just ten million only?
...Kumbe hujui kuwa uchafu wa CCM ni pamoja na kutowashughulikia hao wasaliti? au wanajisafisha kwa kuwasamehe kama walivyowasamehe wale wezi wa EPA, kwa kujiuzuru kama alivyojiuzuru Lowasa na Luhanjo? mifano ipo mingi ya jinsi hao unaowaita wasaliti wanavyotamba tena wengine wanatufisadi na wanatudai mabilioni kama Rostam wa DOWANSWatanzania bado wana matumaini nayo na wako tayari kukifia chama chao, kwani chama hiki kimetoa taifa hili mbali.
Wewe na wenzako wachache ndio wenye mawazo kuwa CCM ni chafu.
Jamani, kama mbinguni tu palipatikana na usaliti (bwana Ibilisi), sembuse CCM?
Hawa kina Hamy D ndo majobless wanaokula kodi zetu kwa njia ya mafungu yasiyo rasmi kutetea akina Savimbi Nchemba walioshindwa nchi kwa 50yrs..mwambie aende kujitaftia
...asamehewe kosa gani? hebu sema vizuri.Dah! mkuu, si wamemtelekeza mahabusu, hawa watu kwenye matamko yao utakuta wanasema "tumeanza na Mungu, tupo na Mungu, Tutamaliza na Mungu", sasa sijui ni Mungu gani asie samehe?
CHADEMA, mkumbukeni yule kijana, amekitumikia chama chenu jama.
Kumbukeni, msiache mbachao kwa msala upitao.
Mwigulu Nchemba kamtelekeza baada ya dili kubuma, always mshahara wa double agent mwisho wake huwa ndio huo hakulijua hilo.Yule kijana msaidizi wa Lwakatare aliyekuwa anaonyesha alama ya Chadema mahakamani naye atakuwepo?
Marando kwa kutaja namba simu tu ccm walianza kutafutana! Mlisha yavulia nguo yaogeni!Mkuu, ukiwekwa kati na mtu kama Marando akakushinikiza kusema uongo ni rahisi sana kushawishika, nilikuwa nampa tu angalizo.