juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,022
Nilidhani umeanzisha uzi huu kuripoti yanayojiri kwenye hiyo press conference nikaingia mbio kumbe ndo wale wale wapumuliaji mashine siku CHADEMA ikifa tu na Lumumba wanasitisha ajira zenu.umewahi kuanzisha uzi huu makusudi kushusha thamani ya threads ambazo zingeanzishwa kuripoti habari hii kwa usahihi.umeanza kukanusha taarifa ambayo haipo maana haijatolewa,so huu ni uzushi untill proven otherwise.na hata Lwakatare akija na ishu hiyo hiyo,wewe umeshaanza kumruka boc wenu maana kaja hadi humu kuomba msamaha anatapatapa.au ndo mshamwacha peke yake manake hamkawii nyie!anyway,wenye akili tumekuelewa,haya nenda kwa boc mwambie tayari umemaliza kunya akuchambishe,stupid,mss!