mimi nyakageni namhurumia sana kumbe tumemu overdose bana,si unaona hata majibu yake.Kumbe Mwanza ni mbele ya Chamazi na una-fly kwa UDA?PHP:
mimi nyakageni namhurumia sana kumbe tumemu overdose bana,si unaona hata majibu yake.
Eti eeeh?
Kumbe mama wa yesu siyo maria?
Sasa mama yake yeesu ni nani??
Maria mtakatifu ni miongoni mwa wanawake wenye heshima.
Qur an imemuelezea mama yule kwa heshima ya hali ya juu.
Hata isa a.s mtoto wake ambae nyinyi mnamuita mungu..qur an imemuelezea kuwa ni nabii wa mungu mwenye hishma kubwa.
Na sio kuwa yeye ni mungu...wala mama yake mario siyo mama wa mungu.
Sijui mmeyapata wapi maneno hayo.
Tatizo hamna akili.
Hamuhoji wala hamtafakari.
Nyakegeni cannot challenge what I have posted here now he is to shy or too scared to admit that he now know about Mayahudi.
By the way according to swahili language conscience grammar [E.Ashton] rules on classes:
Wa- Watu (singular mtu, mchaga = Wachaga)
mi- miti (sing. Mti)
n- nyumba ( sing and plural)
ki- kisu (Visu)
ma- mawe (sing. Jiwe)
u- uji (singular amd plural)
pa- pale (singular and Plural)
ku-kuku (sing and plural)
singular word like Yahudi is no different than Baniani to be called Mabaniani so we call them Mayahudi, Kadiani - makadiani, kafiri - makafiri, mkristo- wakristo (not kiswahili word it is a borrowed word) but Nasara - Manasara [ Nazarene = Nazarenes]
Punjab Singh, stop drawing conclusion out of illogical fallacies
napenda nijibishane na wewe and not majini yako through CONTROL + V
Teh teh teh......!!!!
Kuna kitu kinitwa IMANI. (maana yake ni kuamini na kuwa na hofu ya kile unachokiamini) ninacho kiona hapa dhahiri ni watu kutoa hoja zinazoambatana na IMANI (UDINI) kila mtu anajaribu kuzungumzia mgogoro katka namna ya KIIMANI. Ifahamike wazi popote penye IMANI ata kama ni ya uongo ama ya ukweli kuibadirisha ni zaidi ya vita... ebu kidogo kwa uelewa wangu kilichokua kikijadiliwa pale si kuhusu IMANI na ninan mwenye mamlaka na ile ardhi... mdahalo ulikua ukizungumzia HUMAN RIGHTS hasa kwa pande zote mbili ikizingatiwa waathirika zaidi. 2krud katka fact ni nan anaebisha kua ile si GENOCIDE (mauaji yenye lengo la kuangamiza kikundi cha watu fulani) nguvu inayo2miwa na israel ni kubwa na yenye lengo la kuiangamiza PALESTINA. na ikumbukwe wazi PALESTINA wana kila haki ya kutetea ardhi yao nani asietambua kua israel inatumia mabavu kutaka kuchukua UKANDA WA GAZA na kua katka himaya yake...?
Tafadhari ukiwa katka hoja jaribu kuweka IMANI pembeni hapo kutakua na majadiliano yenye kuhafikiana.
Ahsanteni
Naomba maelezo kutoka kwa yeyote anaejua:
1. Je serikali ya palestina ilikuwa inaongozwa na kiongozi(rais, mfalme,sultani,waziri mkuu n.k) aliyeitwa nani (jina) hapo mnamo mwaka 1948 inaposemekana ndipo taifa la Israel lilipoundwa?
2. Hiyo palestina ilishawahi kutawaliwa kabla? Mkoloni aliitwa nani? (i.e. Nchi iliyoitawala palestina) Na ilipata uhuru mwaka gani?
3. Kwa kuwa inaaminika kuwa israel haikuwepo ila iliivamia ardhi ya palestina, je hawa wayahudi walizuka tu hapa duniani? Je hawana ardhi yao ya asili? Kama ipo ardhi yao ya asili, je ni wapi?
4. Kwenye vitabu vya dini, Biblia na Qur'an vyote vinatambua uwepo wa wana wa israel, je, kwa mujibu wa vitabu hivi, hawa wana waisrael walikuwa wanaishi wapi wakati huo? Hilo eneo/ nchi waliyokuwa wanaishi kipindi hicho, lipo hadi leo hii au lilitoweka halipo tena? Naomba nijibiwe kwanza hayo maswali japo ninayo mengine ya ziada.
The C+V I did here is an academic dialogue between two prominent Jewish Scholars, one a Judaism expert and the other is a Roman Catholic scholar, I amazed with your name calling these two spiritual guides to an so called envangelical born again Christian like you and you are calling them Majini of Control +V. I gave you the links now go to Dr. Freedman's blog and dispute with him because I did not write those things it them people of your own self styled Judeo-Christian cult.
Teh teh teh. I warned you Nyakageni read the letter to the end. I knew you will come back angry to yourself of being dupped all those years. So don't get angry with me at least I gave you an eye opener. Go back to Kakobe or Mzee wa Upako and claim back your sadaka under the Zionist Israel and American flagged podium.
Indeed as they said "Wajinga ndio waliwao"
Well said it Genocide and includding violation of aspect of humanity.
Lwaitama is a real PhD, he is among few critical intellectual this mother land is blessed with.
Ulijifanyia evaluation nzuri sana kwa kujiita chuma chakavu.
Lweitama hata useme nini, Waizrael hawatawanyiki tena, watakaa hapohapo hata mfanye nini
Ezekel 37:21
21 Ukawaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitawatwaa wana wa Israeli toka kati ya mataifa walikokwenda, nami nitawakusanya pande zote, na kuwaleta katika nchi yao wenyewe;
22 nami nitawafanya kuwa taifa moja katika nchi hiyo, juu ya milima ya Israeli; na mfalme mmoja atakuwa mfalme wao wote; wala hawatakuwa tena mataifa mawili, wala hawatagawanyikana kuwa falme mbili tena, hata milele.
Mkuu acha kukariri fungua ubongo wako sasa hivi israel ina hali mbaya sana kiuchumi, na imeamua kupunguza budget yake kutokana na kuyumba kwa uchumi , pamoja na kusaidiwa na marekani lakini hali ni mbaya fuatilia utajua.
Unamjua joan rivers, aliwatetea sana israel kwenye vita hii ya juzi, kwa kusema wapalestina wanastahili kuuliwa na israel. Hivi navyokwambia yupo mahututi hospitali, na wamarekani wengi walitoa comment za kumdhihaki baada ya kupata taarifa za kuumwa kwake.
Be wise tumia akili uskariri,mungu ni wa wote , hata israel as long as ni binaadamu, wanatakiwa wawe na ustaarabu na watende haki, otherwise watapata dhambi na laana kama mtu mwingine yoyote, dont be fooled by your skin colour, or race. Unajidharau mwenyewe.