Lwaitama, Makwaiya: Israel Commits Genocide?

Lwaitama, Makwaiya: Israel Commits Genocide?

sasa mkuu huoni kuwa umejiunga na hao wa 666?.

Hujui kuwa kina Rothchild ndo wazee wa new world order,dunia moja,serikali moja,dini moja na kuwa ndo hawahawa wameanzisha taifa la israel.
Kwamaana ingine wao ndo walijipa kazi ya masiha ya kulisimamisha taifa la israel.je wajua hata kiwanja cha UN pale manhatan alikitoa mmojawao wa hawa watu.unadhani ni kwanini kuna UN RESOLUTION nyingi against israel kuliko nchi zote za dunia combined lakini huwa hazifanyiwi kazi.?
Si ndo hawa yesu alidai kuwa ni wa sinagogi la shetani?
Na inasemwa hata mpinga kristo atakua myahudi?.
Kwanini sasa uwe upande wa hawa watu?

unachanganya alama ya shetani katika paji la uso na NEW WORLD ORDER
 
New International Version
I will make those who are of
the synagogue of Satan, who
claim to be Jews though they
are not, but are liars--I will
make them come and fall
down at your feet and
acknowledge that I have loved
you.
New Living Translation
Look, I will force those who
belong to Satan's synagogue--
those liars who say they are
Jews but are not--to come and
bow down at your feet. They
will acknowledge that you are
the ones I love.
English Standard Version
Behold, I will make those of
the synagogue of Satan who
say that they are Jews and are
not, but lie—behold, I will
make them come and bow
down before your feet, and
they will learn that I have
loved you
 
Wote wasiokua na alama ya mnyama kama mnavyoamini,hawataruhusiwa kuuza ama kununua.
Wote wasiotii New world order vilevile hawataruhusiwa kuuza ama kununua hence Economic sanction.
 
Revelation 2:9
King James Version
"I know thy works, and
tribulation, and poverty, (but
thou art rich) and I know the
blasphemy of them which say
they are Jews, and are not, but
are the synagogue of Satan."
Revelation 3:9
King James Version
"Behold, I will make them of the
synagogue of Satan, which say
they are Jews, and are not, but
do lie; behold, I will make them
to come and worship before thy
feet, and to know that I have
loved thee."
Could this actually be conclusive
proof that the Bible is referring
to the Zionist Conspiracy to
bring forth the New World
Order though World War 3 who
don't represent the actual
innocent Jewish People at all?
 
mpinga KRISTO ni MWAMEDI

Kama kristo ni mungu kweli sisi tunapinga.

Kama yesu kristo unaemsema ni jesus au issa mwana wa mariam ni mungu sisi tunapinga kweli.

Unless otherwise wawe ni watu wawili tofauti.

Na ninachojua maria mtakatifu hakuzaa mapacha.

Na maria siyo mama wa mungu kama nyinyi makafiri mnavyoclaim.

Kama ni mama wa mungu baba wa mungu yuko wapi??

Au mungu yesu alimuingilia kimapenz mama yake mzazi iki azaliwe yeye mwenyewee kisha aje kupigwa na kuuliwa na wanadamu aliowaumba yeye mwenyewe??

Aisee...you must be so so dumb and dull to believe such kind of longo longo aisee.

Hivi nyinyi hamna akili??

Hamtafakari??
 
kwa teknolojia ya leo usidhani hapo usoni utawekwa chapa ya 666.sikuhizi kuna facial recognizing technology.

alama za shetani usoni hauhitaji sophisticated technology kuziona. Maana ya hizo namba ni sifa za agent wa shetani
 
people with low intelligence quotient normally plagiarize! Kukopikopi Kijingajinga, use your mind
Elungata,
Punjab Singh
kahtaan
Gavana

toeni mawazo yenu, worse enough mnatoa kwenye sources which lack credibility and authenticity. Some sources are hoaxes
Nyakageni, I give you the best reference where Jesus and Christians are mocked with Dharau, Kejeli and Matusi nguoni - "The Talmud"

This is the so called Holy book of the Jews, you will find there that Jesus and his follower are nothing, He is a thief, a liar, a prostitute, an illegitimate child and afalse King of the Jews and you name it. I WILL NOT GO VERSE BY VERSE but to give you a clue check in the chapter "Sanehridin" na more you will find. Poor you self proclaimed black jews. Teh teh teh. You will wish you had known then!!!

By the way the custodian of the keys of the Church of Nativity in Bethlehem is an Arab family not a jew not a white man not an African.
 
Last edited by a moderator:
Kama kristo ni mungu kweli sisi tunapinga.

Kama yesu kristo unaemsema ni jesus au issa mwana wa mariam ni mungu sisi tunapinga kweli.

Unless otherwise wawe ni watu wawili tofauti.

Na ninachojua maria mtakatifu hakuzaa mapacha.

Na maria siyo mama wa mungu kama nyinyi makafiri mnavyoclaim.

Kama ni mama wa mungu baba wa mungu yuko wapi??

Au mungu yesu alimuingilia kimapenz mama yake mzazi iki azaliwe yeye mwenyewee kisha aje kupigwa na kuuliwa na wanadamu aliowaumba yeye mwenyewe??

Aisee...you must be so so dumb and dull to believe such kind of longo longo aisee.

Hivi nyinyi hamna akili??

Hamtafakari??

ze big choo,

welcome aboard, hope nawe una akili na si kuiga kila ujinga wa yule kilaza mkojoa vibakulini,aliyekufa kwa sumu huku gobole limesimama wima!

YESU SI isa michuzi
 
Nyakageni, I give you the best reference where Jesus and Christians are mocked with Dharau, Kejeli and Matusi nguoni - "The Talmud"

This is the so called Holy book of the Jews, you will find there that Jesus and his follower are nothing, He is a thief, a liar, a prostitute, an illegitimate child and afalse King of the Jews and you name it. I WILL NOT GO VERSE BY VERSE but to give you a clue check in the chapter "Sanehridin" na more you will find. Poor you self proclaimed black jews. Teh teh teh. You will wish you had known then!!!

By the way the custodian of the keys of the Church of Nativity in Bethlehem is an Arab family not a jew not a white man not an African.


Tatizo la makafiri.

Hawana akili.

Hawahoji wala hawatafakari.

Hata lengo la kuumbwa kwao hawalitambui.

Na akhera wana adhabu kali kabisa iumizayo kwa huku kumzulia kwao mwenyezmungu uwongo na kumpa mwenyezmungu washirika.

Ni wa kuonewa huruma tu hawa.
 
Last edited by a moderator:
Nyakageni, I give you the best reference where Jesus and Christians are mocked with Dharau, Kejeli and Matusi nguoni - "The Talmud"

This is the so called Holy book of the Jews, you will find there that Jesus and his follower are nothing, He is a thief, a liar, a prostitute, an illegitimate child and afalse King of the Jews and you name it. I WILL NOT GO VERSE BY VERSE but to give you a clue check in the chapter "Sanehridin" na more you will find. Poor you self proclaimed black jews. Teh teh teh. You will wish you had known then!!!

By the way the custodian of the keys of the Church of Nativity in Bethlehem is an Arab family not a jew not a white man not an African.

At least you have used your brains, though tabular rassa like your icon MWAMEDI

I know what you think i dont know!

Whatever it takes Judea, Samaria and Gaza belong to JEWS

Utukutu wao is part of Daniel's, Ezekiel's & Revelation prophecy
 
Last edited by a moderator:
ze big choo,

welcome aboard, hope nawe una akili na si kuiga kila ujinga wa yule kilaza mkojoa vibakulini,aliyekufa kwa sumu huku gobole limesimama wima!

YESU SI isa michuzi

Hapa si tunajadili mkuu??

Huna haja ya kutukana.

Mimi nachofaham mariam au mary mtakatifu alikuwa ana mtoto mmoja tu.

Masih...issa bin mariam..

Hakuwa na mapacha.

Sasa huyo yesu bin mariam tena unaemsema wewe mimi ananishangaza kidogo.

Mbaya zaid unasema ni mungu wenu mkuu.

Hapo hapo unasema katoka kwenye tumbo la mama yake i.e maria mtakatifu.

Sasa kama mungu mkuu anae mama yake...baba yake ni nani?na yuko wapi??

Kama unasema mama yake alipata mimba kimaajabu kwa kupuliziwa roho na mungu...sasa tunauliza...kapuliziwa roho na mungu yupi tena??hivi wewe hapo huoni contradictions hizo??

So...needless to say kwamba mungu yesu alishirikiana na mama yake kimapenz ili aje azaliwe yeye mwenyewe?

Kisha tena aje kupigwa kisha kuuwawa na wanadamu aliowaumba yeye mwenyewe ili akamilishe maandiko yake mwenyewe??

Hivi wewe una akili kweli?

Dhambi ufanye wewe...kisha mtu mwingine aje kujitoa muhanga kwa ajili ya dhambi zako??

Shauri lako.

Jehaanam inakusubir huko.
 
Tatizo la makafiri.

Hawana akili.

Hawahoji wala hawatafakari.

Hata lengo la kuumbwa kwao hawalitambui.

Na akhera wana adhabu kali kabisa iumizayo kwa huku kumzulia kwao mwenyezmungu uwongo na kumpa mwenyezmungu washirika.

Ni wa kuonewa huruma tu hawa.

wakati huo wewe umezawadiwa mabikra 72 ! Uume hausinzii bali ni kugegeda tu huku mkinywa pombe toka mtoni ahera

Mwamedi atakuwa anatoa bikra ya Mariamu (MAMA WA ISA SIYO WA YESU)

majangaaaa
 
ivi amjapata kusikia kuhusu jiwe kuu walilolikataa waashi litakuwa jiwe kuu la pembeni.
 
Kuna myahudi mmoja anaitwa Albert Pike,yeye akimwandikia rafiki yake mazzin(kama sikosei huyu ndo mwanzilishi wa mafia mob huko italy),kuwa hawa watu walikua wamepanga ndani ya miaka 100 lazima pawepo na vita vikuu vya dunia vitatu ili kufikia malengo ya kuwa na new world order.
New world order ni serikali ya dunia itakayokua na dini moja ya kuabudu Lucifer.
Toka mwaka 1914 mpaka 2014 ni miaka 100.
Vita mbili tayari bado ya tatu dalili zipo wazi.
Pengine mungu akaepusha lakini,walianza na 9/11 kuchochea moto na bush akasema wazi kuwa tunaelekea New world order ,you are either with us or against us.
Toka hapo dunia imechafuka mamilion wamekufa vitani.
Ili new world order ifanikiwe ilibidi nchi za kiarabu ziharibiwe na pasiwepo amani mpaka waombe msaada wa kuwa chini ya hawa jamaa.
Ikaanzishwa kampeni ya arab spiring,misri,tunisia,libya zikaanguka.walijaribu iran baada ya uchaguzi wakashindwa.wakajua ili kuibomoa iran tuanze na syria.
Wakaanza nae syria assad akakomaa akisaidiwa na iran.
Marekani akaamua kushambulia mwenyewe waziwazi bahati russia akakinga kifua.
Wakaona ooh kumbe russia na anatuwekea usiku wakaanza kampeni kampeni kule ukraine ili waweke makambi yao ya jeshi na kuizunguka russia na wakati huohuo wakamrudia syria na irag ambae alikua amemgeuka marekani na kuwa karibu na iran.wakaja na style ya ISIS.
Mpaka sasa hali ni tete.ni hatima ya haya mambo.je watafanikiwa kuanzisha vita kuu ya dunia ili wafikie malengo.
Kumbuka paymaster wa new world order ni Rothchild.na huyuhuyu ndo kafinice vita ya kwanza na ya pili.
Na ndie aliefanya kampeni ya kuundwa taifa la israel.
 
Back
Top Bottom