meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Mbunge wa Mtera amemchana spika Makinda na kumwambia kuwa kiti chake kinapwaya.
Lusinde ameshangazwa na kile kilichotokea bungeni pale mh Tundu Lissu alipogoma kutumia dakika tatu alizopewa na spika na badala yake akasema atatumia dakika kumi na makinda aliridhia.
Lusinde ameshangazwa na kile kilichotokea bungeni pale mh Tundu Lissu alipogoma kutumia dakika tatu alizopewa na spika na badala yake akasema atatumia dakika kumi na makinda aliridhia.