CCM wanadhani jimbo la Mtera limekosa mwakilishi makini na hivyo juhudi zinafanyika ili wamng'oe, na mimi sina hakika kama wakati kama huu mwakani tutakuwa naye maana CCM wakimkosakosa nina hakika UKAWA hawatamwacha, lazima atamumwaga. Hatuwezi kuwa na wabunge ambao kkazi yao kubwa ni vijembe na halafu akafikiria atachaguliwa tena kwa vijembe vyake. Tundu Lissu alipodai apewe dakika zaidi ya dk tatu ambazo spika alizokuwa ameamua zitumike alikuwa amefuata kanuni na taratibu za bunge na ndiyo maana spika alikubaliana naye, sasa mbunge ambaye siku zote yuko bungeni lakini hajui hata hizi taratibu rahisi anakaaje bungeni. Wabunge wote wa aina yake lazima wawapishe wenye uwezo wakatufanyie kazi.