Spika Tulia VS Mbunge Lissu: Lingekuwa Bunge la aina yake

MtuHabari

JF-Expert Member
Oct 16, 2020
321
1,019
Nimeona Spika Tulia akizinyanyasa hoja za wananchi zilizoletwa na Waitara kuhusu mauaji ya watu Tarime na ya Ole Sendeka kuhusu Loliondo.

Kwa kutumia ujuzi wake wa sheria ameamua kutumia kiti chake cha uspika kuwa mtetezi wa serikali na kuwagaragaza wabunge hao waliokuja na hoja zenye nguvu toka kwa wananchi.

Ndipo likanijia wazo jee kama Tundu Lissu & Co ya wale wabunge machachari wangekuwepo Bungeni Tulia angeweza kuzicheza hizi "legal acrobatics" anazocheza bila kubutuliwa na kufedheheka mbele ya jamii?

Je, Watanzania wameelewa ubaya wa kuwekewa wabunge wa serikali bungeni?

Spika aliye wageuka wananchi kwa kutumia ujuzi wake wa sheria anastahili kukutana na wabunge wa "wananchi" wabobezi wa sheria aina ya kina Lissu.

IMG-20220621-WA0000.jpg
 
Manyang'au safari hii watanzania tumewaweza. Kila mnapotia vijambio vyenu sisi tunaviziba na vibunzi. Sasa mmekimbilia kwa Lisu mkizani atawa save katika mikakati yenu ya kung'angania ardhi yetu. Rudini kwenu mkapiganie haki zenu huko kwenu. Haya ya huku Tanzania tuachieni wenyewe.

Japo mmefanikiwa kukamata akili za mazezeta wachache, msifikiri ndo mnaweza kukamata akili za nchi nzima. Hizi thread za hawa wakenya mods ziunganisheni na zingine ili iwe moja tu. Maana zimejazana hapa na hazina tija yoyote kwa taifa, pia waandishi ni ile ile jamii ya wachungaji ng'ombe wa kenya.
 
Nimeona Spika Tulia akizinyanyasa hoja za wananchi zilizoletwa na Waitara kuhusu mauaji ya watu Tarime na ya Ole Sendeka kuhusu Loliondo.

Kwa kutumia ujuzi wake wa sheria ameamua kutumia kiti chake cha uspika kuwa mtetezi wa serikali na kuwagaragaza wabunge hao waliokuja na hoja zenye nguvu toka kwa wananchi.

Ndipo likanijia wazo jee kama Tundu Lissu & Co ya wale wabunge machachari wangekuwepo Bungeni Tulia angeweza kuzicheza hizi "legal acrobatics" anazocheza bila kubutuliwa na kufedheheka mbele ya jamii?

Je, Watanzania wameelewa ubaya wa kuwekewa wabunge wa serikali bungeni?

Spika aliye wageuka wananchi kwa kutumia ujuzi wake wa sheria anastahili kukutana na wabunge wa "wananchi" wabobezi wa sheria aina ya kina Lissu.

Lissu ni tunu mojawapo tuliyojaliwa kwenye sheria
 
Nimeona Spika Tulia akizinyanyasa hoja za wananchi zilizoletwa na Waitara kuhusu mauaji ya watu Tarime na ya Ole Sendeka kuhusu Loliondo.

Kwa kutumia ujuzi wake wa sheria ameamua kutumia kiti chake cha uspika kuwa mtetezi wa serikali na kuwagaragaza wabunge hao waliokuja na hoja zenye nguvu toka kwa wananchi.

Ndipo likanijia wazo jee kama Tundu Lissu & Co ya wale wabunge machachari wangekuwepo Bungeni Tulia angeweza kuzicheza hizi "legal acrobatics" anazocheza bila kubutuliwa na kufedheheka mbele ya jamii?

Je, Watanzania wameelewa ubaya wa kuwekewa wabunge wa serikali bungeni?

Spika aliye wageuka wananchi kwa kutumia ujuzi wake wa sheria anastahili kukutana na wabunge wa "wananchi" wabobezi wa sheria aina ya kina Lissu.

Huyu njiti ana roho mbaya sana
 
Nimeona Spika Tulia akizinyanyasa hoja za wananchi zilizoletwa na Waitara kuhusu mauaji ya watu Tarime na ya Ole Sendeka kuhusu Loliondo.

Kwa kutumia ujuzi wake wa sheria ameamua kutumia kiti chake cha uspika kuwa mtetezi wa serikali na kuwagaragaza wabunge hao waliokuja na hoja zenye nguvu toka kwa wananchi.

Ndipo likanijia wazo jee kama Tundu Lissu & Co ya wale wabunge machachari wangekuwepo Bungeni Tulia angeweza kuzicheza hizi "legal acrobatics" anazocheza bila kubutuliwa na kufedheheka mbele ya jamii?

Je, Watanzania wameelewa ubaya wa kuwekewa wabunge wa serikali bungeni?

Spika aliye wageuka wananchi kwa kutumia ujuzi wake wa sheria anastahili kukutana na wabunge wa "wananchi" wabobezi wa sheria aina ya kina Lissu.

Tulia angetulizwa; Tulia angeomba Po mbele ya TL! sana sana angeamuru atolewe nje lakini sio kwa kushindwa hoja! ndio maana Anna makinda alikuwa hataki kukabiliana na Lissu hata siku moja! Jana OLe sendeka hakujipanga vizuri, angewasiliana na mwana sheria mwanaharakati Ole ngurumwa na wanaharakati wa NGO ya Pingos, wangemsaidia jinsi ya kuwasilisha hoja yake, hata hivyo ujumbe umefika kwamba Haridhiki na kuhamisha wamasai! Viva Ole sendeka.
 
Back
Top Bottom